King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mama lazima afumue CHAWA wa MEKO ili kazi zake ziende vizuri,anachofanya hata ungekabidhiwa wewe ungepangua tu safu,hivi kweli Mama anaweza kufanya kazi na mtu kama andakava sabaya?Ameanza na mguu mbovu! Ni dhahiri kazungukwa na wajanja wajanja! Anabomoa kila kitu kwa kauli na matendo.
Afahamu tunamsikiliza na wengi wanabaki na mshangao! Kama mwendo ndio huu tutegemee anguko la CCM tukipata wapinzani serious! Hope wapinzani watakuwa huru zaidi sasa [emoji41]
Rais hana msimamo, leo anateua huyu kesho anatengua, mara atangaze hivi kesho akanushe, hii biashara gani ya kubahatisha ameipeleka ikulu, hapa watu wasilete habari za anashawishiwa na remnants wa awamu iliyopita, kama anakubali kushawishiwa maana yake she is weak, hafai kukaa ikulu kama mtu hana msimamo wake binafsi.
Hii nchi inaenda kugeuzwa shamba la bibi muda sio mrefu, dalili zote zinanionesha hilo, ile ikulu yetu ina vacuum.
Tangu lini Chadema wakaitakia mema ccm hadi wajipe kazi ya kumsifia rais Samia?.
Kazi ya kumsifia rais Samia ni ya MATAGA siyo ya chadema
heheheh! mtasubiria sana na MKIZINGUA MTAZINGULIWA mbona kelele nyingi wastaafu walikejeliwa wakatulia sasa tulieni sindani ipenye.Leo zao la CCM Linakuwa bora.
In short mama hana vision hayuko consistent...
Basi tu ni vile wako na Hasira, kwa kifupi hawaamini kama kuna Utawala wa Awamu nyingine.Why watu waliokuwa wanalipwa kumpamba na kumtetea Magufuli wanamponda Rais?
Nani anaewalipa?
Rais hana msimamo, leo anateua huyu kesho anatengua, mara atangaze hivi kesho akanushe, hii biashara gani ya kubahatisha ameipeleka ikulu, hapa watu wasilete habari za anashawishiwa na remnants wa awamu iliyopita, kama anakubali kushawishiwa maana yake she is weak, hafai kukaa ikulu kama mtu hana msimamo wake binafsi.
Hii nchi inaenda kugeuzwa shamba la bibi muda sio mrefu, dalili zote zinanionesha hilo, ile ikulu yetu ina vacuum.
Nimesoma yote, maajabu ya wana sijayaona.Wassalam...!
Kwanza lazima tukubali tu kuwa kwa sasa tuna Rais mwingine na ni Awamu nyingine kuanza kutafuta kuokoteza maneno maneno na kuyaanzishia thread za kukosoa Utawala wa Awamu ya 6 chini ya mama shupavu SSH ni kukosa hoja na kuonesha kuwa kuna watu walikuwa wanafaidika moja kwa moja..
Kiama kimewazukia MATAGA.Rais hana msimamo, leo anateua huyu kesho anatengua, mara atangaze hivi kesho akanushe, hii biashara gani ya kubahatisha ameipeleka ikulu, hapa watu wasilete habari za anashawishiwa na remnants wa awamu iliyopita, kama anakubali kushawishiwa maana yake she is weak, hafai kukaa ikulu kama mtu hana msimamo wake binafsi.
Hii nchi inaenda kugeuzwa shamba la bibi muda sio mrefu, dalili zote zinanionesha hilo, ile ikulu yetu ina vacuum.
Wewe ndio unaefaa kuwa ikulu, haya toka sasa uende.Rais hana msimamo, leo anateua huyu kesho anatengua, mara atangaze hivi kesho akanushe, hii biashara gani ya kubahatisha ameipeleka ikulu, hapa watu wasilete habari za anashawishiwa na remnants wa awamu iliyopita, kama anakubali kushawishiwa maana yake she is weak, hafai kukaa ikulu kama mtu hana msimamo wake binafsi.
Hii nchi inaenda kugeuzwa shamba la bibi muda sio mrefu, dalili zote zinanionesha hilo, ile ikulu yetu ina vacuum.
Eti unajiita mtazamo. Sijui ni mtazamo gani huo!Ameanza na mguu mbovu! Ni dhahiri kazungukwa na wajanja wajanja! Anabomoa kila kitu kwa kauli na matendo.
Afahamu tunamsikiliza na wengi wanabaki na mshangao! Kama mwendo ndio huu tutegemee anguko la CCM tukipata wapinzani serious! Hope wapinzani watakuwa huru zaidi sasa [emoji41]
Hapa hakuna cha Chadema wala nini.Tangu lini Chadema wakaitakia mema ccm hadi wajipe kazi ya kumsifia rais Samia?.
Kazi ya kumsifia rais Samia ni ya MATAGA siyo ya chadema
Yaani unamzungumzia mtu aliepo kwenye siasa na kushika nafasi za juu za uongozi wa Tanzania hii for years kwamba hana vision???Leo zao la CCM Linakuwa bora.
In short mama hana vision hayuko consistent...
Mama ni msikivu, mwenye busara na hekima.Mitandao imekuwa ndiyo VAR ya mama, akiteua anakuja kuangalia wadau tunasemaje.
Utawala wa Awamu ya 6 chini ya mama shupavu SSH ni kukosa hoja na kuonesha kuwa kuna watu walikuwa wanafaidika moja kwa moja.
Kwa hizi akili, hili taifa unaweza kuweka hata mbuzi ikulu maisha yakaenda tu.Wewe ndio unaefaa kuwa ikulu, haya toka sasa uende.
Na huu upumbavu mliouanzisha wa kusema hii nchi inaenda kugeuzwa shamba la bibi unashangaza kweli. Hivi mnadhani kila mtu ni mkabila na mlafi wa madaraka??
Nyie vitulizeni hebu na mumuache mama afanye kazi
Mama ni msikivu, mwenye busara na hekima.
Watu tuliswali swala kuu kumuomba Mungu alie juu atuondolee dhulma na kila baya katika nchi yetu. Atujaalie upendo na atupe viongozi wenye hekima na busara, huruma na upendo, wenye kutuskiliza.
Unajua matokeo ya swala zetu???
Kaa kwa kutulia na umuache mama afanye kazi.