Maajabu ya baadhi ya Wana-JamiiForums kwa Utawala wa Awamu ya 6

Pole sana Sukuka Gang
 
Swadakta,hakika imebaki stori tu nw hawajui washike wap
 
Mama akifanya vibaya, furaha kwa wanasiompenda 😀

Mama akifanya vizuri, kisirani kwa wanaomchukia 😀

Binadamu ndivyo tulivyo, No one is perfect except God...

Mimi namuombea tu, Mungu amuongoze na amfanyie wepesi kwenye majukumu yake.
AMEN
 
Samia ni zao la mfumo.sijui una umri gani na alimu gani na ulisoma wapi ukakulia wapi? CCM ni ileile
Mfumo si mfumo mpaka ukubalike kuwa mfumo na watu husika.
Jiulize mfumo ni nini kiundani kabisa??? Ni watu!! km jibu ni hilo... Na huyu nae ni mtu ana watu nyuma yake.

Kumbuka mfumo una uhai......that means. ...
unazaliwa..
unakua na mwishowe
una kufa.
 
Ccm ife mara ngapi? Mbona sisi tunachoona ni dola tu, ccm iko wapi? Ilipo ccm kuna dola na ilipo dola ndipo kuna ccm. Where is this moribund party??
 
Mmeiga Western politics/ mfumo wa vyama vingi, uchumi mnawategemea, soko la dunia wanalimiliki, games na sports kila siku man utd, arsenal, Liverpool Madrid, etc hamuachi kuzungumzia, misaada kila siku hadi magari ya serikali yameandikwa DFP, ukoloni mamboleo bado unaoperate kwa kiasi kikubwa, Cha kujifunza ni kuwa na utawala bora tena yenye hatua dhabiti kwa nchi, hata kiongozi ambaye sio charismatic lakini visionary leader, kwa Africa bado hawajazaliwa.

Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
 

Tuombe Mungu First Gentleman asiwe mtu mwenye kupenda kuwa na influence katika utawala wa nchi. Vinginevyo, tujiandae kwa decisions zitazofanyika bedroom!
 
Sasa inabidi hiki kizazi chetuu kifanye mabadiliko. N a siyo kitu rahisi kwa sababu mabadiliko mengine huambatana na kafara na mapinduzi ya kweliu yanahitaji kujitoa. ni kwanini tusiwe tunatoa rai kwa viongozi wetu yaani hata iwekwe siku maalum ya mjadala kuhusu jambo fulani . lakini pia naamini kama raisi Magufuli na raisi Samilia walivyokuwa wanawamini wabunge basi hata wabunge wangechapa kazi kwa mwendo ule ule,...waangalie maslahi ya wananchi waliowachagua na kusimami ahaki zao kitaifa,,,,mbona ingekuwa bandika bandua!
 
Mheshimiwa Samia Suluhu anasema" tukiona bango umekwenda!" Tukisikia umemzuia mtu kuonyesha Bango umekwenda.! Obviously huyu Rais mahiri anataka kumpiku Magufuli katika fukuza fukuza.
Sasa,kweli,unaweza kusema huyu Rais yuko serious?
Pia kasema madini yanaibiwa Mererani wakati CDF yupo pale pale Mererani. Haionekani kama tutapiga miayo katika Awamu hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…