Naomba nikuulize mkuu:Magufuli ni tatizo kwa nchi yetu. Hafai wala hajui anachoongea, waziri msaidizi wa afya alishapinga haya mambo ya kujifukiza kwa sababu maji ya moto ya zaidi ya centigrade 100 yanaharibu (yanaunguza) mfumo wa hewa. Sasa huyu rais analeta uongo wake, anataka watu waendelee kufa. Huyo Magufuli ni tatizo......tena tatizo kubwa!
This is too much!! Bonge la aibu!!! Heri angeongea hata kwa kutumia venacular mataifa mengine wasingejua kaongea nini. Kweli kila mtu ajishonee barakoa yake!!!!
Unapougua kila mtu anakuja na tiba yake ni kawaida kwa Africa yetu tumia tu hujui ipi itakuponya
Zaman mbona hiyo mifumo ya hewa ilikua haiaribiki?Epuka kuwa mtumwa.Magufuli ni tatizo kwa nchi yetu. Hafai wala hajui anachoongea, waziri msaidizi wa afya alishapinga haya mambo ya kujifukiza kwa sababu maji ya moto ya zaidi ya centigrade 100 yanaharibu (yanaunguza) mfumo wa hewa. Sasa huyu rais analeta uongo wake, anataka watu waendelee kufa. Huyo Magufuli ni tatizo......tena tatizo kubwa!
Humu jamvini watu kazi yao kuandika na kubeza. Siku ukipata maambukizi hakuna alternative cure utaacha kutumia, vinginevyo utakufa kibudu.Haya ni maamuzi binafsi umsikilize mwanasiasa au umsikilize mtaalamu
Mkuu ubarikiwe sana, kwa hakika wewe umri wako waweza kuwa Mkubwa. Watoto humu ni shida tupu.Labda kwaT anzania yalikuwa hayasemwa hadharani - sual la best sanitizer kuwa na at least 60% alcohol liko kwenye mitandao siku nyingi na ndilo lilisababisha gongo Uganda ikaadimika.
Sual la kutumia joto, lilisemwa siku nyingi sema tu waliolisema hawakuwa na nafasi ya kusikilizwa na audience kubwa. Hata yule mbunge Anna Tibaijuka alilizungumza bungeni mpaka akalalamika watu kufungiwa kusafirisha mkaa! Kwa vile bunge siyo live - ni wachache waliomsikia kwenye youtube; watu wa Kagera huiita Embiranyungu!
Hata Museveni amelizungumza juzi,
Suala la maji ya sabuni kumeng'enya koti la corona virus, nakumbuka padri mmoja alilifafanua vizuri jumapili iliyopita.
La muhimu - kwa kuwa sasa yamezungumzwa na mkuu wa nchi, basi tuyatangazwe bila kuogopa
Timu waabudu mwenge uamini kila kitu maadamu kimetokwa kwenye fikra za mwenyekitiHumu jamvini watu kazi yao kuandika na kubeza. Siku ukipata maambukizi hakuna alternative cure utaacha kutumia, vinginevyo utakufa kibudu.
Tuendelee kujikinga, stay away from corona virus
Muabudu wazungu huamini kila kitu maadamu mzungu kasema. Fikra mfu sanaTimu waabudu mwenge uamini kila kitu maadamu kimetokwa kwenye fikra za mwenyekiti
Hata smart unayotumia imetokwa kwao wapi utamkwepeaMuabudu wazungu huamini kila kitu maadamu mzungu kasema. Fikra mfu sana
Wa kulaumiwa si ukoloni mamboleo Bali ni hao waliokuwa na maarifa ya tiba wakashindwa kukirishisha kizazi hikiMkuu ubarikiwe sana, kwa hakika wewe umri wako waweza kuwa Mkubwa. Watoto humu ni shida tupu.
Kufukiza ni kitu kilikuwa kinafanyika sana tu huko nyuma. Ukoloni mamboleo umeathiri pakubwa jamii yetu.
Kwamba uchemshe pua na maji C 100
Hii hotuba Dah nimefikiria mengi
Sent using Jamii Forums mobile app