Uchaguzi 2020 Maajabu ya Gwajima: Waumini wananyeshewa mvua, yeye anaahidi kujenga barabara kwa pesa zake mwenyewe

Uchaguzi 2020 Maajabu ya Gwajima: Waumini wananyeshewa mvua, yeye anaahidi kujenga barabara kwa pesa zake mwenyewe

Wapinzani bwana hamna hoja kabisa
Mkuu.mim ni jpm dam dam.lakin kwa hapa nmeona umekwama.kwahyo gwajima unamwona ni mkwel pasi na mtoa mada kudadavua kilichopo.dah

Ccm tusiwe hiv..ndiomana wanatuita makondoo sabab ya kusapot hata palipo na hamna
 
Mkuu.mim ni jpm dam dam.lakin kwa hapa nmeona umekwama.kwahyo gwajima unamwona ni mkwel pasi na mtoa mada kudadavua kilichopo.dah

Ccm tusiwe hiv..ndiomana wanatuita makondoo sabab ya kusapot hata palipo na hamna
Wewe umejilidhisha wapi kuwa ni kweli Gwajima kasema hayo maneno?
 
Wapinzani bwana hamna hoja kabisa
Yaani kwa CCM yetu ni kama vile hakuna MAISHA nje ya madaraka. Mazoea mabaya kweli hayo. Yamevuruga hadi chaguzi zetu. Sasa wanataka vyote kabisa. Urais, Bunge na Halmashauri zote kabisa. Vijiji na mitaa walishachukua vyote.
 
Yaani kwa CCM yetu ni kama vile hakuna MAISHA nje ya madaraka. Mazoea mabaya kweli hayo. Yamevuruga hadi chaguzi zetu. Sasa wanataka vyote kabisa. Urais, Bunge na Halmashauri zote kabisa. Vijiji na mitaa walishachukua vyote.
Na hilo ndio lengo kuu la chama chochote kile cha siasa.
 
Na hilo ndio lengo kuu la chama chochote kile cha siasa.
Yaani kwa CCM yetu ni kama vile hakuna MAISHA nje ya madaraka. Mazoea mabaya kweli hayo. Yamevuruga hadi chaguzi zetu. Sasa wanataka vyote kabisa. Urais, Bunge na Halmashauri zote kabisa. Vijiji na mitaa walishachukua vyote.
 
Hivi kweli mwanadamu mwenye akili timamu kabisa na mwenye Roho wa Mungu, unaweza kumwamini Gwajima?

Huyu ni tapeli wa daraja la juu ambaye ameamua kuwatapeli watu kupitia imani. Ukiweza kumhadaa mtu kiimani, basi huyo ni mateka wako.

Gwajima ambaye hajawahi hata kujenga zahanati, alisema atanunua treni kwaajili ya Tanzania? Sijui pale Ikilomije kuna shetani gani maana inaonekana ni kijiji kilichowahi kutoa watu wa ajabu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wasukuma wa huko sio watu,
 
Gwaji boy

Mkono wa Baunsa,

Harmonize Alifanikiwa kumvuta sharubu Ndani ya Uno..

Uno ndio linalolegeza Chaga,
Sindilo gwajima alilomwagia kondoo.


Gwajima Kwa Punchline Mzee Huyu ananifurahisha.

Ana Punchlines zingine kama kavuta Weed analiamusha dude.

Kuna kipindi alimushambulia Pengo Mkatoliki,
Pengo umeliaaibisha kanisa,
Sijui amekula maharage yapi yule,
Analewa-lewa anabwaya-bwaya,

Ilikuwa burudani sana..

Kisha akawekamanuva ya Waraka Wa Paulo Kwa Wagalatia..

Wagalatia 3:1 Enyi Wagalatia Msio na Akili ni nani aliyewaloga..?

Ewe Pengo Usiye na Akili ni nani aliyekuloga..?


Hahaha Wacha kabisa Gwaji boy..

Hakuna wakumzuia Iwe Jeshi,Iwe Polisi,Iwe Mahakama, Iwe serikali.




Money is Evil, Give It to Me-Kanisa/Church.
 
Niliposikia anasubiri ruhusa ya rais kuzindua chuo, nikajua ni uhuni. Halafu ameshaanza kujiona mbunge tayari, juha kabisa
 
Gwajima anaeleweka .
Wasioeleweka ni waliompa hiyo nafasi
Na hapa ndipo inashangaza. Hivi kapewa nafasi kwa kigezo gani?
1. Kauli zake za kidini zenye maudhi kwa jamii. Chuki yake dhidi ya Waislam inatishia amani ya nchi.
2. Tapeli! Tapeli la nguvu. Ame-park Helcopter airport, anakusanyaTsh 500 za masikini Kawe.
3. Anawaambia waumini wamtumaini 'Mungu'', yeye anatumaini mabaunsa zaidi ya 10 kumlinda.
4. Anasema watu watii amri 10 ikiwemo kutosema uongo, yeye anaongopa . Leo anagombea Ubunge alioukana
5. Baba Askofu anakataza wastu wasizini yeye anaruhusiwa kwenda chemba!

CCM !
 
Wana JF,

Tangu nimjue Askofu Gwajima, sijawahi kuona amejnga shule muhimu kama mama Rwakatale, wala hajawaji kujenga kanisa lake mwenyewe m waumini wake daima wanakaa nje, sasa haya maendeleo anayotaka kutuletea kawe yatatoka wapi.

Huyu ahadi zake ni nyingi watu inabidi tuzipime tusije tukauuziwa mbuzi kwenye gunia.
Ndugu hili jitu jiongo, linajari kumdanganya hata Mungu, ataona aibu kulaghai Raisi na wananchi wake. Dawa yake ni tuendelee kuwaelimisha wananchi haswa ndugu zetu wa kikristo wasomi na wale wote wenye busara, wasimpigie kura, wasimsikilize, tunajua kuna campaign kubwa inayofanywa na vijana wa Kiislamu, kumnyima kura Gwaji Boy na kumrudisha Halima.

Halima kama anafanya madhambi, anayoyafanya ni yake binafsi, hashawishi unma, hamdanganyi Mola wake, hawaibii wananchi, Hadanganyi kuwa anafufua mtu amabaye anashikilia kiti huku eti anafufuliwa.

Kwa wale waislamu wanao muunga mkono Gwaji na kumpigia Campaign, wamekula rushwa ya pesa na Ngono na wasichana walipelekewa na wasaidizi wa Gwaji. Hao kwa waislamu wana laana
 
Huyu si ndo yule aliyemfufua binti aliyekufa shuleni jana yake, asubuhi akaletwa kanisani na mama yake na kumkalisha marehemu kwenye kiti.
Mze wa kuwapaka rangi ma beachboy na ili wawe misukule ili awafufue.
Tone ya sauti yake tu anapohubiri unajua huyu ni nani.
 
Hakuna mahali tapeli amewahi kuwa mkweli hata kwa kwake mwenyewe

Mkuu bado naamini kuwa walikuwa na sababu zilizowafanya wakamchagua kugombea jimbo hilo lakini hebu tujipe kazi kidogo ya kutaka kujua ni mambo gani hasa yalipelekea jamaa kupenya chujio lao pamoja na kauli na matendo mabovu ya ndugu huyu kama anavyojulikana katika jamii? je wanaamini sala gani itakayowafanya waislamu wasahau kauli zake za kugeuza misikiti kuwa Sunday school? ninini kitafanya watu waachane na kauli yake kuwa uaskofu ni bora kuliko uwaziri au ubunge? au tayari waliomteua walishakata tamaa na jimbo nao wakaona ngoja wampe msalaba huo? Sipati jibu isipokuwa moja tu nalo ni kutumia nguvu ya dola vinginevyo tutarajie tusiyoyatarajia!
 
Back
Top Bottom