Uchaguzi 2020 Maajabu ya kampeni CCM Arusha, Joshua Nassari aubamiza Upinzani

Ungemalizia kabisa ili manyumbu yafuatayo:

"Hata Lissu mwenyewe ni CCM na jiwe amepanga kumpa kakazi kadogo baada ya uchaguzi."

Yatakuwa yamestuka. Hata ka like kidogo yamekunyima? Kwamba ukweli hayaujui?

Ni njaa tu ndiyo ufahamu wote inayatoa.
Wanashindwa kuelewa kila mtu hapa duniani yupo kwaajili ya kutafutia tumbo, hata huyo Lissu Sasa anaonekana mpinzani halisi kwakua ana matumaini ya Urais, Ila ikitokea kaukosa, na asione masilahi yoyote ndani ya Chadema kwa Miaka 10 ijayo, si ajabu akaunga juhudi.
 
Kabla jogoo hajawika Yesu alimtabiria mtu kuwa utanikana Mara tatu ila pamoja nakukana haijazuia ukombozi hivyo acha kijana ajitafutie ugali
 
Ndio maana nchi za wenzetu huko dunian, wameamua kuweka siasa pembeni na kupiga kazi tu.hawa wanasiasa sio watu wazuri kabisa..hako ka Nassari kameahidiwa ukuu wa mkoa ndio maana kanajitoa ufahamu
 
Huenda Mungu asiwe na ushirika na Magufuli kwakile mnachodai kuwa Ni muuaji, lakini pia aiwe na ushirika na wewe kwa mmbo kengine madogomadogo, hivyo basi, achana na kazi ya kutoa hukumu.

Heri asiwe na ushirika na mimi au na wengine kwa mambo madogo madogo. Lakini kwa makubwa ya kuuwa, kuteka na kutesa, that is out of proportions.

Hata duniani pana makosa madogo na makubwa.

Kwa hapa nchini tu kuuwa, kuteka na kutesa kwa kukusudia adhabu yake ni kunyongwa mpaka kufa.

Usiyafanye kuuwa, kuteka, kutesa kuwa ni sawa sawa au halali kwa ubinafsi wako tu ati kwa kuwa hayajakukuta.

Jiweke katika nafasi ya wapenda haki na wapenda uhuru.

Jiweke katika nafasi ya waathirika wa moja kwa moja wa asiyokuwa na taabu nayo jiwe. Jiweke kwenye nafasi ya Lissu, jamaa wa Lissu, Azory, Ben na waliopotea au kufa kwenye mazingira haya.

Ungemshangilia wewe jiwe kwenye haya?

Sasa hivi ni wakati wake wa hukumu kwa kura. Ng'ombe hanenepi siku ya mnada.

Atavuna alichopanda.
 
Jamaa yetu huyo! Endelea kupiga kelele jukwaani kamanda ila huku chini kama kawa.

Jamaa yetu huyo!
 
Ndio maana nchi za wenzetu huko dunian, wameamua kuweka siasa pembeni na kupiga kazi tu.hawa wanasiasa sio watu wazuri kabisa..hako ka Nassari kameahidiwa ukuu wa mkoa ndio maana kanajitoa ufahamu

Kupiga kazi tu ni kuamua kuwasusia fisi bucha.

Ni mipango yao na maafisa vipenyo wametumwa kujaribu njia zote zikiwamo kushawishi watu wasuse kupiga kura kwa jina la kuwa wanasiasa hawaaminiki.

Safari ni tofauti. Letu la zaidi ni kuwa tunafarijika mno na uwepo wa ICC ambapo sasa hayupo aliye juu ya sheria.

Tutapambania haki na uhuru wetu uncompromisingly. Kwenye kampeni, sanduku la kura na hata baada ya sanduku la kura.

Unyonge tuliokuwa nao ulikwisha baada ya kutambua kumbe jiwe si Mungu siku ya kumpokea shujaa yetu wasiyempenda siku ile pale JKNIA.
 
Jamaa yetu huyo! Endelea kupiga kelele jukwaani kamanda ila huku chini kama kawa.

Jamaa yetu huyo!

Vipi buku 7 imeshaingia? Asubuhi hii ndiyo mida mida ya supu hiyo jombi.
 
Mbowe kinachomgharimu in mwanasisa mstaarabu sana.

Manyumbu yanachukia sana kusikia hivyo. Maana mission ya mapato ya buku 7 inakuwa haina mafanikio. Wanakuwa kama lile tawi la Yesu lisilo zaa.
 
HUYU KIJANA AMEIFUTA CHADEMA RASMI HUKO ARUSHA.
Mkuu Arusha ipi unayoizungumzia ndo hii hii
Kaloleni
Kimandolu
Njiro
Sombetini
Mbauda
Moshono
Kijenge
Sokoni one
Themi
Kilombero
Mjini Kati
Ilboru
Daraja mbili
Kwamorombo
Sanawari
Matejo
Chekereni
Baraaa

Ama ni Arusha ipi hyo[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]
 
Hakuna makosa madogomadogo Kwa MUNGU, wapo watu ambao hawajaua, hawajatesa na pengine hawana hata mpango kabisa, lakini hiyo haiwafanyi kuwa watakatifu, na motoni wataenda kwa makosa mengine (hayo unayoyaita madogomadogo😂)

Kwahiyo wewe unaweza kuishi Kama masikini hapa duniani, na baadae ukaishia motoni, na mwenzako akaishi maisha ya raha hapa duniani kisha mkakutana wote huko motoni.

Maswala ya Imani Ni magumu Sana,hivyo achana na Hilo jukumu la kuhukumu binadamu wenzako,juu ya mahusiano yao na MUNGU.
 
Kwani Kuna Arusha nyingine wapi?
 
Ndio ujue maendeleo hayaji kwa sababu kama hz za kutanguliza tumbo mbele.

Watu wenye uwezo wa mawazo ya kujenga wanapopigwa risasi, kutekwa na hata kuuliwa na mtu anayeangalia chama badala ya TAIFA huyo hatufai.

Huwezi kuongoza hadi milele kwa hiyo lazima watakaopokea kijiti wawepo na sio tu wapewe ila je wanauwezo au kutumia nguvu
 
Mwanaume ukishatafunwa huwa hueleweki Tena, toka jamaa walipovamia wakaacha ushahidi wa kuuwa Mbwa. Jamaa alilainika sana ikabidi akajifiche Marekani
 
Ulitaka aseme shetani hoyeee?

Kumbe mna akili ndogo kiasi hiki sasa hili nalo la kulileta hapa?

Kwanza vile vi threads vyako vya korona vimeishia wapi?

Kila siku ulikuwa unabwabwaja tu humu eti hoo tutajuta! Umeona sasa faida za kutamka Mungu hoyeee badala ya shetani hoyeee?

Hiyi Mungu hoyeeeee ndio imekuokoa hata wewe na bibi zako kule vijijini wasife kwa corona.
 
Na ndiomaana nchi hii haitawaliwi na Rais mmoja tangu ipate Uhuru.
 
Siajabu akasema hata mbwa wake hakuuawa kwa kupigwa risasi, huwezi ukatoka upinzani ukahamia CCM kichwa kikaendelea kuwa salama,lazima kichwa kipate mawenge wenge.
 
Ndo kwisha habarii yenuuu, mwambieni jamaaa yenu arudi kwao moshii, awaache wanaarusha wajiongozee

Msiporokota makopo mwaka huu, mkatambike uchi (bila nguo) kabisa.

Iko kwenye mabano pale kuepusha utata. Msije kwenda saka nyeti za wengine.
 
TULIENI SINDANO IWAINGIEE. NASARI ANAWASIGINA VIZURIII.

Mtajishaua sana. Unadhani yule wa kazuramimba jana anakubaliana nawe kuwa pana hata sindano? Mwulize hata bashiri au mpole mpole watakwambia.

Kuweweseka hadi kuvamia mkutano wa wengine nje ya utaratibu wewe huoni nani sindano inamwingia?

Mbona hajavamia wa Spunda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…