Maajabu ya mwanamke

Maajabu ya mwanamke

2). Kila mwanamke anaamini kwamba mwanaume ndio anaanza kufa kuliko yeye.
Ni kweli kabisa, ukitaka kuthibitisha hii mwambie tuuze nyumba yetu tununue gari, atakuambia "we!!!! ...halafu wewe ukifa mimi na watoto tutakaa wapi?" Namaliza kunukuu
 
Kama ulikua huyajui maajabu ya MWANAMKE wacha nikufahamishe;-

1).Ubongo wa mwanamke unafanyakazi haraka kuliko wa mwanaume.

2). Kila mwanamke anaamini kwamba mwanaume ndio anaanza kufa kuliko yeye.

3)Wanawake ni wavumilivu kwenye mahusiano na hata katika changamoto za ndoa kuliko wanaume.

4)Wanawake wanazingatia sana usafi kuliko mwanaume,
Mwanaume anaweza kukaa hata siku 3-4 hata wiki bila kuoga lakin kwa mwanamke hicho hakipo.

5) Wanawake sio watunza siri kuliko wanaume,
wakiwa wanawake kuanzia 3-4 wamekaa jamvin au sehem yoyote wanaweza kujadili wanayofanyiwa na waume zao chumban,
utaskia 1 anasema mimi mume wangu hanilidhishi kabisa ,
lakini kwa wanaume hicho kitu chakujadili mambo ya chumbani hawawezi.

6)Mwanamke ni mshauri mzuri kuliko mwanaume.

7)Kila mwanamke anapenda kusifiwa na mumewe kua yeye ni mzuri na anajua kupika.

8).Wanawake ni rahisi sana kudanganywa na kutapeliwa kuliko wanaume.

9).Wanawake wanaulimi mfupi ( short tongue) kuliko wanaume .

10) Mwili wa mwanamke hutoa uchafu zaidi Kuliko wa mwanaume.

11) Mwanamke huongea maneno mengi zaidi kwa siku Kuliko mwanaume,
Mwanaume ukitaka kushindana na mwanamke kwa kuongea huto muweza kwa maneno sanasana atakutia aibu,
Ukigombana na mwanamke ukiona anaanza kuongea maneno yake ya shombo,
Msogelee mpige kibao cha uso halafu ondoka hilo eneo hatochukua muda mrefu atanyamaza kuongea.

12) Mwanamke ndie kiumbe hatari kuliko kiumbe chochote Duniani,
Unaweza ukabisha lakini huo ndio ukweli na wala hatuwaonei,
Machafuko mengi Duniani yamesababishwa na wanawake,
Wanaume wengi Duniani wameharibikiwa maisha sababu ni mwanamke,
Hutakiwi kumuamini mwanamke kwa asilimia 100%,
ndio maana mungu kasema tuishi nao kwa akili brother mungu sio mjinga.

13)Mwanamke hawezi kubana mkojo Kama mwanaume,
Ndio maana mwanamke akiwa na mkojo hutoka mbio akichelewa hujikojolea.
Asilimia 90% ya wanawake hujikojolea Kabla ya kufika chooni.

14) Mwanamke hata akiwa mkubwa kiasi gani hawezi kumzidi mwanaume kwa kujiamini,
Yaani ikitokea kwenye Nyumba Kuna wanawake wakubwa kiasi gani halafu wakiume akawepo mmoja tena mdogo,
Wanawake hujisikia wako salama zaidi Kuliko wangekua peke yao licha ya ukubwa wao.

15)Hakuna Mwanamke anaependa kuishi peke yake,
Hata ukimsikia Mwanamke anasema mimi mwanaume wa nini nikitaka Watoto nazaa huyo ni muongo,
Hayo ni maneno ya kujifariji tu lakini moyoni anaumia kinoma,
Moyoni mwake lazima anaumia kwasababu Mwanamke hawezi kujisimamia mwenyewe,
Anakua huru zaidi na furaha akiwa na mwanaume.

16)Usimpige Mwanamke Kwenye TITI LA KUSHOTO ni hatari,
Sehemu hiyo ndio Sehemu hatari zaidi kwa Mwanamke na Mara moja unaweza kusababisha kifo.

17) Wanawake kamwe hawapendani.
Hata ukiwaona wanacheka, Wana pika na kupakua au Wamezaliwa tumbo moja hawapendani.
Ukitaka kulijua hilo angalia wakiwa Pamoja wataongea vizuri lakini akitoka tu mmoja,
Vikao vinaanza vya kumsema huyo mwenzao.

Tofauti kabisa na sisi wanaume.

Makala hii imeletwa kwenu na Dhulkad Madara kutoka morogoro
Mimi sijui sana kuhusu haya yaliyoandikwa hapo juu. Lakini ninachokifahamuni kuwa mwanamke ni injini inayohitaji uangalifu mno

Ukiingia kichwakichwa inakutafuna unakwenda
 
Hiyo namba 13 kuna mmoja nilimsikia anamwambia mwenzake kipindi ana ujauzito ilikuwa mkojo unatoka tu hawezi kuuzuia hata kidogo [emoji1787][emoji1787]
 
Nyongeza:
Mwanamke ana uwezo na ujasiri wa kupiga stori na shetani na akaja kumshirikisha na mwenza wake stori walizopiga na shetani halafu asione kama kuna tatizo lolote. Sasa hivi wanapiga stori na mitume na manabii wa uongo na wanawashawishi wenza wao kufuata maelekezo ya utapeli ya manabii wa uongo.
Rejea stori ya Hawa na Adamu kwenye Biblia.
 
Umesahau moja la msingi, mwanamke hawezi kutelekeza familia yake na kwenda kuhamia kwa kimada akiwaacha watoto wake wanateseka ndani. Mwanaume yuko radhi hata akope mkopo aweke rehani nyumba akatumbue hela na kimada alafu nyumba ikiuzwa bado yeye ni mbabe. Hao ndio wanaume. Kongole kwenu.

Na hili pia, wanaume watatelekeza mtoto ila mtoto akifanikiwa baada ya miaka 20 wanataka mafao yao kama wazazi[emoji23]
Wanawake si wanaroga wanaume mimi kwenye mambo ya mapenzi siwalaumu baadhi ya wanaume maana sidhani kama wanafanya kwa kupenda asilimia kubwa ya wanawake wanaroga tena hasa akijua mwanaume ameoa ili amsahau mke wake mwanaume mpaka ameoa ujue amesarenda ila vimada wanashinda kwa sangoma hela zote zije kwake kabla hajaenda kwa mkewe.
 
Wanawake si wanaroga wanaume mimi kwenye mambo ya mapenzi siwalaumu baadhi ya wanaume maana sidhani kama wanafanya kwa kupenda asilimia kubwa ya wanawake wanaroga tena hasa akijua mwanaume ameoa ili amsahau mke wake mwanaume mpaka ameoa ujue amesarenda ila vimada wanashinda kwa sangoma hela zote zije kwake kabla hajaenda kwa mkewe.
Sasa mwanaume unaruhusu mwanamke akuroge, si mnawaruhusu wenyewe
 
Umesahau moja la msingi, mwanamke hawezi kutelekeza familia yake na kwenda kuhamia kwa kimada akiwaacha watoto wake wanateseka ndani. Mwanaume yuko radhi hata akope mkopo aweke rehani nyumba akatumbue hela na kimada alafu nyumba ikiuzwa bado yeye ni mbabe. Hao ndio wanaume. Kongole kwenu.

Na hili pia, wanaume watatelekeza mtoto ila mtoto akifanikiwa baada ya miaka 20 wanataka mafao yao kama wazazi[emoji23]
usisahahu mwnamke ndo kiumbe pekee anaechongnisha wtt na baba wasipendane apendwe yy tu"
 
sawa umefikiria na mama yako hawez bana mkojo?.
umefikiria na mama yako level ya kujiamini anazidiwa na mtoto wa kiume wa darasa la sita?
Huwezi elewa,..don't take it personal.

Nikupe mfano mm mwnyw, nikiwa primary kuna Siku nakumbuka nilikuwa navuka barabara mitaa ya Mnazi mmoja, kuna mama mtu mzima tu alikuwa karibu yangu nilimkuta anataka kuvuka akaniomba nivuke nae.
 
Umesahau moja la msingi, mwanamke hawezi kutelekeza familia yake na kwenda kuhamia kwa kimada akiwaacha watoto wake wanateseka ndani. Mwanaume yuko radhi hata akope mkopo aweke rehani nyumba akatumbue hela na kimada alafu nyumba ikiuzwa bado yeye ni mbabe. Hao ndio wanaume. Kongole kwenu.

Na hili pia, wanaume watatelekeza mtoto ila mtoto akifanikiwa baada ya miaka 20 wanataka mafao yao kama wazazi[emoji23]
Hili lilikuwa limekubalika zamani sio sasaivi. Wanawake waliotelekeza watoto na familia zao kwaajili ya pesa mbona wapo na ilishaanza kutokea kwa muda sasa. Wapo walioacha watoto ili waolewe, wapo walioacha familia kabisa kwaajili ya mali na wengine wengi. Times have changed mkuu!
 
Back
Top Bottom