political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,827
- 5,994
- Thread starter
- #21
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wahindi wakiwaleteeni movie zao wanakufa wanazaliwa tena mnazigombea lkn mgabon hpo kitu inauhalisia kabisa mnamkataaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wahindi wakiwaleteeni movie zao wanakufa wanazaliwa tena mnazigombea lkn mgabon hpo kitu inauhalisia kabisa mnamkataaa
Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wahindi wakiwaleteeni movie zao wanakufa wanazaliwa tena mnazigombea lkn mgabon hpo kitu inauhalisia kabisa mnamkataaa
Naunga mkonoMie nadhani inabidi mindset ya watu wa mpira ibadilike badala ya kuangalia umri wa mtu waangalie zaidi kipaji na uwezo.
Hii itapunguza sana tabia za udanganyifu wa umri na mambo mengine kama hayo. Wachezaji wengi wazuri wamewekwa kando kwa kigezo kidogo tu Cha umri kitu ambacho naona sio sawa
Mchawi tech' dada.Hivi kwanini wanaongopa?
Only in Africa..
Yah...umeeleza vyemaMchawi tech' dada.
Age fraud sio suala la africa, ni universal issue. Sema sisi imekuwa common (pia kwa sasa inapungua) kwa sababu ya ugumu wa kuverify taarifa za uzazi. Wenzetu wazungu haya mambo wameyavuka kwa kuwa wameendelea kiteknolojia ya kuthibitisha umri, ukiacha electronic databases lakini MRI imesaidia sana kuumbua watu so huwezi danganya tena. So, sio kwamba wazungu ni wastaarabu sana bali teknolojia.
Wale ni 39+Unaweza Kuta kumbe hata Boko na saido Wana miaka 60[emoji23][emoji23]
Africa tuko vizuri kupika dataWale ni 39+
Mzize mtoto kabsaa yuleMzize afadhali wamemwacha kwenye umri Ila hiyo story mbona ya zamani.
Ni sawa na yule Khalfan Ngasa, wakati yupo Yanga akiwa na miaka 19, aligundulika kuwa na mtoto wa miaka 7.Mzize mtoto kabsaa yule
[emoji23][emoji23] daaah...alizinguaNi sawa na yule Khalfan Ngasa, wakati yupo Yanga akiwa na miaka 19, aligundulika kuwa na mtoto wa miaka 7.