Maajabu ya tairi mbovu na utajiri uliojificha ndani yake

Okay nikileta mzigo wangu tani 1 toka huku mkoani unaweza kuchakatwa kwa siku ngapi?
 
Mtoa mada juu ya jambo hili wanaonekana ana uelewa nalo vizuri sana ndiyo maana hata baadhi ya maswali amejibu kwa kunyooka. Labda tungetowa maelekezo kadhaa ikiwemo soko la bidhaa zitokanazo na tajiri, viwanda vinapatikana wapi katika kuchakatia hizo tair. Na idadi ya kuanzia kwa tairi
 
Usafirishaji wamzigo kwa tani inaweza gharimu kiasi gani na gharama huwa juu ya nani kaka🙏 na ubarikiwe Sana.
Magaril yapo mengi kama ni mzigo mkubwa kuna namna ya kuyakata ili mzigo uingie mwingi
Gharama za usafiri ni makubaliano
 
Mzee kama unayahitaji sema, mim Niko kwenye kiwanda flani hapa aisee yako kibao tena Yale makubwa yakwenye excavator.. kama uko serious tuongee biashara ila ni mbali kidog na dar
Yapo kiasi gani
 
Okay nikileta mzigo wangu tani 1 toka huku mkoani unaweza kuchakatwa kwa siku ngapi?
Wewe Kazi yako ni kuuza tu mzigo na kuchukua chako.. Michakato mengine na faida zake ni vya mwenye kiwanda
 
Okay nikileta mzigo wangu tani 1 toka huku mkoani unaweza kuchakatwa kwa siku ngapi?
Wewe Kazi yako ni kuuza tu mzigo na kuchukua chako.. Michakato mengine na faida zake ni vya mwenye
Masoko ya I.D.O
.Viwanda vyote vinavyotumia boilers kama nishati mbadala
.Wajenzi wa barabara kwa ajili ya mitambo na kuchemshia lami
. majokofu makubwa ya huhifadhia vitu vingi kama maua nk
Masoko ya vumbi (Carbon black) au black carbon
Viwanda vya saruji

Masoko y waya
Viwanda vya nondo
Hardware zile binding wire

Masoko ya gesi.. Bado hili halijafanyiwa Kazi.. Lakini tunaweza kuiweka kwenye mitungi na kuuza
 
Goodafternoon Sir!
 
Motivation Speaker huwa hawakupi profit loss ni faida mara dufu mkuu.

Tani mona inazalisha kila tone moja ya kila kitu kutoka kwenye first materials 🙂
 
Nanukuu "mabaki ya tairi kwa watengeneza ndala yale yanaitwa maini, na kuna unga wa tairi toka viwanda vinavyofanya retrading. Bei ni kuanzia milion 100"

Kwa hali hii hayo maini na huo unga vitakuwa adimu sana kwa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…