Mama pretty
JF-Expert Member
- May 1, 2020
- 2,082
- 4,103
Mtu mzinifu, muongo, mshirikina, msengenyaji.. ila bado anakuambia hawezi kula kitimoto ni najisiππYaani mi nishindwe kula kitimoto kisa vitabu vyenu vimeandikwa najisi!
Nyie endeleeni kula vyakula vyenu vya majalalani
Asante kwa ushauri wako mzuri sanaMambo Mengi ya Binadamu yapo set up in mind
Huyo kichaa once anaanza kula jalalani lazima Mwili uli-react na kuumwa ila siku zinavyozidi kwenda ile hali inapokelewa na Akili na Mwili na kukitafsiri chakula kichafu Kama kisafi
Then kuhusu hao vichaa wengi huwa wana life expectancy ndogo wengi hupoteza MAISHA kwa umri Mdogo .
Maana unaweza muona mtu mnene Kama unavyosema mtoa Mada lakini hakawa na Afya mbovu Sana , hivyo kusema vichaa hawaumwi nadhani sio Kweli Hawa watu huwa wanaumwa ikifika Muda wake na huwa wanakufa sema kwa idadi Yao ni ndogo na hakua anayewafatilia basi ni ngumu kulifahamu hili jambo.
Wakuu tujitahidi kuwa makini na Afya ya Akili hili tatizo linatesa na kuua ndoto zetu vijana kwa wazee , Kuna watu ukiwatazama kwa nje They are looking good ila upstairs has already shaken .
Mbona unawasema wenzako mkuu ππππππππππVichaa wengine ni vijana wa Makumbusho
Hapo kwenye utamu sijui umewaza nini...?? ππππππππWapo wale wanaobeba mimba, hivi wanajifungulia hospital ama kitaani?, na huduma za clinic wanapataga wapi?
Yaani ukiwaza sanaa ..... utamu anauhisijee ...? na hawana hata simu useme wanampigi ama ku chart na mtuuu
MmmhMnakula najisi hamjishangai.
Hao wanakula vyakula mnawashangaaΒΏ
Mybe vitisho kuhusu kula kitimoto ni very sensitiveMtu mzinifu, muongo, mshirikina, msengenyaji.. ila bado anakuambia hawezi kula kitimoto ni najisiππ
Najisi ni nini? Kwa mujibu wa nani? Maana ngamia ni najisi kwa mujibu wa maandiko matakatifu ya wakristo,lakini ni nyama takatifu kwa waislam.Mnakula najisi hamjishangai.
Hao wanakula vyakula mnawashangaaΒΏ
Hakuna bwana.,.Mybe vitisho kuhusu kula kitimoto ni very sensitive
Unajua adhabu ya mtu ambae anakula kitimoto hapo badae ππππππππππππππππHakuna bwana.,.
Yap nilikuwa nahisi dalili zote za marelia
Nikaenda KUPIMA nikaambiwa sina marelia
Nikameza DAWA TATU. nikalala keshoyake nimeamka nikawa nimesahaukabisa kamanilikuwa na dalili za mareliabadi ikawa imeisha hiyo mpk now nadunda
Fact ni kuwa mwili wa kila binadamu unauwezo wa kujitibu wenyewe ni vile wewe utakavyoweza seti MIND yako basi na zile TEZI NEVA UBONGO zitareact vile wewe unavyohitaji
Waambie hiyo adhabu maana sisi wengine tumeruhusiwa kula kama hamna chakula kingine.Unajua adhabu ya mtu ambae anakula kitimoto hapo badae ππππππππππππππππ
Boda boda wao ni uhai na kifo, hawana mbambambaHata boda boda hawaumwi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niliumwa UTI nikapona kwa maji na matunda mavidonge nikatupia huko.....kuna muda shetani anachezea akili zetuπMaradhi yanaanzia akili ukidhani unaumwa utaumwa kweli
Tumekunywa maji ya mtoni lakini sikuwahi kusikia typhoid kijijini kwetu
Masai anakula nyama nyekundu tena mbichi lakini hana pressure
Watu kijijini hawanywi maji wanakunywa gongo wanafikia miaka 100
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Kwan ndio kusema hujui kwamba kuwa na tatizo la afya ya akili ni Jumla ya kufikiri, kuwaza na kutenda jambo au mambo yanayo kuathiri, kudhuru na kukuumiza wewe mwenyewe?Iv wakuu, ni sayansi au ni kitu gani au wana kipi special wendawazimu na vichaa, kiasi kwamba wanakula vyakula vibovu majalalani, lakin kamwe hawaumwi typhod fever wala cholera,
jana nilikuwa morogoro kule hosp. Ya mkoa nikakutana na kichaa mmoja, yule kichaa tangu utoto wetu,mpaka sasa naendea 45yrs, nimestaajabu jana kumkuta hai na yupo bonge vilevile,..ebu wanasayansi uchwara kina Kiranga watuambie kuhusu ili, maana wanatukanya tusiseme nikaz ya Mungu
Hapana hata mimi siijui ila itakua wanatishiwa mnooo ππππππWaambie hiyo adhabu maana sisi wengine tumeruhusiwa kula kama hamna chakula kingine.
UTI uliyoipata ilikua ni underground au chipukizi πππππNiliumwa UTI nikapona kwa maji na matunda mavidonge nikatupia huko.....kuna muda shetani anachezea akili zetuπ
Kama hata hii sayansi ndogo ambayo hata mwanafunzi wa kidato cha pili anajibu ,inaonesha wewe ni wale mlioenda shule kusomea ujinga.Iv wakuu, ni sayansi au ni kitu gani au wana kipi special wendawazimu na vichaa, kiasi kwamba wanakula vyakula vibovu majalalani, lakin kamwe hawaumwi typhod fever wala cholera,
jana nilikuwa morogoro kule hosp. Ya mkoa nikakutana na kichaa mmoja, yule kichaa tangu utoto wetu,mpaka sasa naendea 45yrs, nimestaajabu jana kumkuta hai na yupo bonge vilevile,..ebu wanasayansi uchwara kina Kiranga watuambie kuhusu ili, maana wanatukanya tusiseme nikaz ya Mungu
Adaptation.Iv wakuu, ni sayansi au ni kitu gani au wana kipi special wendawazimu na vichaa, kiasi kwamba wanakula vyakula vibovu majalalani, lakin kamwe hawaumwi typhod fever wala cholera,
jana nilikuwa morogoro kule hosp. Ya mkoa nikakutana na kichaa mmoja, yule kichaa tangu utoto wetu,mpaka sasa naendea 45yrs, nimestaajabu jana kumkuta hai na yupo bonge vilevile,..ebu wanasayansi uchwara kina Kiranga watuambie kuhusu ili, maana wanatukanya tusiseme nikaz ya Mungu
Jibu tuone..?Kama hata hii sayansi ndogo ambayo hata mwanafunzi wa kidato cha pili anajibu ,inaonesha wewe ni wale mlioenda shule kusomea ujinga.