Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Unajua Factors za kufanya uwe na immunity kubwa..?Ummunity yao ni kubwa sana...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua Factors za kufanya uwe na immunity kubwa..?Ummunity yao ni kubwa sana...
Sijui mkuu,tufumbue macho tuzijue...Unajua Factors za kufanya uwe na immunity kubwa..?
KirangaIv wakuu, ni sayansi au ni kitu gani au wana kipi special wendawazimu na vichaa, kiasi kwamba wanakula vyakula vibovu majalalani, lakin kamwe hawaumwi typhod fever wala cholera,
jana nilikuwa morogoro kule hosp. Ya mkoa nikakutana na kichaa mmoja, yule kichaa tangu utoto wetu,mpaka sasa naendea 45yrs, nimestaajabu jana kumkuta hai na yupo bonge vilevile,..ebu wanasayansi uchwara kina Kiranga watuambie kuhusu ili, maana wanatukanya tusiseme nikaz ya Mungu
Ahahahah moja wapo ni kuzingatia mlo kamili....Sijui mkuu,tufumbue macho tuzijue...
Hapana sijuiUnajua adhabu ya mtu ambae anakula kitimoto hapo badae 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
ugonjwa unaanzia kwenye wasiwasi,kama ukila chakula ukiwa na wasiwasi lazima uharishe,kichaa hana wasisiawsi!Iv wakuu, ni sayansi au ni kitu gani au wana kipi special wendawazimu na vichaa, kiasi kwamba wanakula vyakula vibovu majalalani, lakin kamwe hawaumwi typhod fever wala cholera,
jana nilikuwa morogoro kule hosp. Ya mkoa nikakutana na kichaa mmoja, yule kichaa tangu utoto wetu,mpaka sasa naendea 45yrs, nimestaajabu jana kumkuta hai na yupo bonge vilevile,..ebu wanasayansi uchwara kina Kiranga watuambie kuhusu ili, maana wanatukanya tusiseme nikaz ya Mungu
Tatizo anataka kuambiwa na wanasayansi uchwara.
noma sana mkulungwa!!!Mtu mzinifu, muongo, mshirikina, msengenyaji.. ila bado anakuambia hawezi kula kitimoto ni najisi😂😂
Kumbe kaweka neno uchwara? Sikuliona mkuu!! Sasa hapa keshaharibu! Kama una moyo wa kumjibu kisayansi fanya kumjibu tu! Hilo neno uchwara tufanye kama hatujalionaTatizo anataka kuambiwa na wanasayansi uchwara.
😂😂😂😂🙌Ndo nakuambia sasa UTI ya watoto wa chuo unaijua wewe😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌 chuo cha dasalamu
Sio poa hiyo...😂😂😂😂🙌
Hawana hofu....!Hawana majukumu, hawawazi, hawana stress, hawateswi na mapenzi
Sasa kwanini wasinenepe?
Usipokuwa na hofu ndio utakufa mapema zaidi kwa sababu utakuwa huchukui tahadhari yoyote kwenye jambo loloteHofu ndio ugonjwa mkubwa sana duniani.
Ukitaka uishi kwa amani basi epuka kuwa na hofu. Hofu ndiyo inayoongoza kuua duniani.
Maradhi mengi tunayapata kwakuwa na hofu.
Kichaa mfumo wake wa ubongo hauna hofu hata kidogo nandomana anaweza kula chochote asidhurike.
Mtu mwenye akili timamu kwenye ubongo kuna kitu kinaitwa hofu, ukila kitu kichafu lazma udhurike kwaajili ya hofu.
Tena mkuu hawa zeeki kwa kasi.Iv wakuu, ni sayansi au ni kitu gani au wana kipi special wendawazimu na vichaa, kiasi kwamba wanakula vyakula vibovu majalalani, lakin kamwe hawaumwi typhod fever wala cholera,
jana nilikuwa morogoro kule hosp. Ya mkoa nikakutana na kichaa mmoja, yule kichaa tangu utoto wetu,mpaka sasa naendea 45yrs, nimestaajabu jana kumkuta hai na yupo bonge vilevile,..ebu wanasayansi uchwara kina Kiranga watuambie kuhusu ili, maana wanatukanya tusiseme nikaz ya Mungu
Exactly, kichaa hawazi kwamba nikila uchafu nitaumwa tumbo lakini timamu yeye anauwaza ugonjwa na anautengea mpaka budget! Sasa kwanini ugonjwa usije wakati unasubiriwa kwa hamu?Maradhi yanaanzia akili ukidhani unaumwa utaumwa kweli
Tumekunywa maji ya mtoni lakini sikuwahi kusikia typhoid kijijini kwetu
Masai anakula nyama nyekundu tena mbichi lakini hana pressure
Watu kijijini hawanywi maji wanakunywa gongo wanafikia miaka 100
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa Watanzania wengi wanaoandika hapa JF wenyewe wana vichaa pia, bado havijaaguliwa tu. Tanzania watu kusema una kichaa mpaka uokote makopo na kula majalalani.Kama Kiranga katembelea huu Uzi ngoja nijifanye sioni🤔