Maajabu ya vichaa: Wanakula vichafu lakini hawaumwi

Maajabu ya vichaa: Wanakula vichafu lakini hawaumwi

Iv wakuu, ni sayansi au ni kitu gani au wana kipi special wendawazimu na vichaa, kiasi kwamba wanakula vyakula vibovu majalalani, lakin kamwe hawaumwi typhod fever wala cholera,


jana nilikuwa morogoro kule hosp. Ya mkoa nikakutana na kichaa mmoja, yule kichaa tangu utoto wetu,mpaka sasa naendea 45yrs, nimestaajabu jana kumkuta hai na yupo bonge vilevile,..ebu wanasayansi uchwara kina Kiranga watuambie kuhusu ili, maana wanatukanya tusiseme nikaz ya Mungu
Kiranga
 
Sijui mkuu,tufumbue macho tuzijue...
Ahahahah moja wapo ni kuzingatia mlo kamili....
Hivyo unavosema wana immunity kubwa kwa zile factor nyingi za immunity inakua ngumu kwa chizi kuwa na hiyo immunity kubwa mkuu
 
Iv wakuu, ni sayansi au ni kitu gani au wana kipi special wendawazimu na vichaa, kiasi kwamba wanakula vyakula vibovu majalalani, lakin kamwe hawaumwi typhod fever wala cholera,


jana nilikuwa morogoro kule hosp. Ya mkoa nikakutana na kichaa mmoja, yule kichaa tangu utoto wetu,mpaka sasa naendea 45yrs, nimestaajabu jana kumkuta hai na yupo bonge vilevile,..ebu wanasayansi uchwara kina Kiranga watuambie kuhusu ili, maana wanatukanya tusiseme nikaz ya Mungu
ugonjwa unaanzia kwenye wasiwasi,kama ukila chakula ukiwa na wasiwasi lazima uharishe,kichaa hana wasisiawsi!
 
Hofu ndio ugonjwa mkubwa sana duniani.

Ukitaka uishi kwa amani basi epuka kuwa na hofu. Hofu ndiyo inayoongoza kuua duniani.

Maradhi mengi tunayapata kwakuwa na hofu.

Kichaa mfumo wake wa ubongo hauna hofu hata kidogo nandomana anaweza kula chochote asidhurike.

Mtu mwenye akili timamu kwenye ubongo kuna kitu kinaitwa hofu, ukila kitu kichafu lazma udhurike kwaajili ya hofu.
Usipokuwa na hofu ndio utakufa mapema zaidi kwa sababu utakuwa huchukui tahadhari yoyote kwenye jambo lolote
 
Iv wakuu, ni sayansi au ni kitu gani au wana kipi special wendawazimu na vichaa, kiasi kwamba wanakula vyakula vibovu majalalani, lakin kamwe hawaumwi typhod fever wala cholera,


jana nilikuwa morogoro kule hosp. Ya mkoa nikakutana na kichaa mmoja, yule kichaa tangu utoto wetu,mpaka sasa naendea 45yrs, nimestaajabu jana kumkuta hai na yupo bonge vilevile,..ebu wanasayansi uchwara kina Kiranga watuambie kuhusu ili, maana wanatukanya tusiseme nikaz ya Mungu
Tena mkuu hawa zeeki kwa kasi.
 
Huyo kichaa sasa hivi atakuwa na miaka 80?

Huo ubonge na huo UMRI si.mchezo
 
Maradhi yanaanzia akili ukidhani unaumwa utaumwa kweli
Tumekunywa maji ya mtoni lakini sikuwahi kusikia typhoid kijijini kwetu
Masai anakula nyama nyekundu tena mbichi lakini hana pressure
Watu kijijini hawanywi maji wanakunywa gongo wanafikia miaka 100

Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly, kichaa hawazi kwamba nikila uchafu nitaumwa tumbo lakini timamu yeye anauwaza ugonjwa na anautengea mpaka budget! Sasa kwanini ugonjwa usije wakati unasubiriwa kwa hamu?
 
Kama Kiranga katembelea huu Uzi ngoja nijifanye sioni🤔
Hawa Watanzania wengi wanaoandika hapa JF wenyewe wana vichaa pia, bado havijaaguliwa tu. Tanzania watu kusema una kichaa mpaka uokote makopo na kula majalalani.

Sasa kichaa mmoja atajua vipi kwamba kichaa mwingine anaumwa au haumwi?

Watanzania kwenye general population tu wanaishi na magonjwa kibao bila kujijua, kwa sababu hawafanyi regular checkups.

Sasa kama hawa ambao hawaokoti makopo wanaumwa bila kujijua, kwa sababu hawafanyi checkups, hao tunaowaita vichaa tutajua vipi kwamba hawaumwi?

Au mnataka mpaka mtu adondoke mtaani ndiyo mjue anaumwa?
 
Back
Top Bottom