Naughty by nature
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 2,123
- 2,359
- Thread starter
- #81
Boda boda wao ni uhai na kifo, hawana mbambamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boda boda wao ni uhai na kifo, hawana mbambamba
Kwahiyo ukila chakula kilichochocha bila wasiwasi huumwi!!!ugonjwa unaanzia kwenye wasiwasi,kama ukila chakula ukiwa na wasiwasi lazima uharishe,kichaa hana wasisiawsi!
Mungu huyo Hayupo.Vichaa na Watoto wachanga ni Mungu huwalinda.
kweli hauumwi,,,angalia kichaa anaingia jalalani anachukua chakula kilichooza kabisa wakati mwingine kina mchanganyiko wa kinyesi lakini haumwi!!!!!,,,,lini uliona kichaa amelazwa hospitali kwa ajili ya malaria,UTI,,,,,shirika lafya duniani lilikiri kipindi cha corona ktk jiji la SAO PAULO -BRAZIL,,,pamoja na vichaa kutokaa lockdown,,lakini unaambiwa hamna ata mmoja aliyepelekwa hospital kwa tatizo la upumuaji,,,wala kufa,,,,sio huko tu,,,,wewe mwenywe angalia mazingira unayoishi,,,ulishawai hudhuria msiba wa kichaa kisa maraddhi???'''sanasana ni ajali za gari au vifo vya kiasili tu!!Kwahiyo ukila chakula kilichochocha bila wasiwasi huumwi!!!
Hanaga akili, ujuaji wa bureIla na wewe akili zako zilishayumba, kwani hivyo unavyoviita najisi havitupwi jalalani?
Mtume Muhammad alimnajisi mtoto mdogo Aysha kwa kumbakaMnakula najisi hamjishangai.
Hao wanakula vyakula mnawashangaa¿