Maajabu ya vichaa: Wanakula vichafu lakini hawaumwi

Maajabu ya vichaa: Wanakula vichafu lakini hawaumwi

Vichaa na Watoto wachanga ni Mungu huwalinda.
Mungu huyo Hayupo.

Mungu huyo angekuwa yupo na analinda kweli watoto wachanga

Watoto hawa wachanga wasio na ufahamu wowote ule wasinge kufa vifo vibaya hivi [emoji116][emoji116]


Huko Israel na palestina maelfu ya watoto wanakufa tu.View attachment 2801550View attachment 2801548View attachment 2801549
FB_IMG_1696846067931.jpg
 
Kwahiyo ukila chakula kilichochocha bila wasiwasi huumwi!!!
kweli hauumwi,,,angalia kichaa anaingia jalalani anachukua chakula kilichooza kabisa wakati mwingine kina mchanganyiko wa kinyesi lakini haumwi!!!!!,,,,lini uliona kichaa amelazwa hospitali kwa ajili ya malaria,UTI,,,,,shirika lafya duniani lilikiri kipindi cha corona ktk jiji la SAO PAULO -BRAZIL,,,pamoja na vichaa kutokaa lockdown,,lakini unaambiwa hamna ata mmoja aliyepelekwa hospital kwa tatizo la upumuaji,,,wala kufa,,,,sio huko tu,,,,wewe mwenywe angalia mazingira unayoishi,,,ulishawai hudhuria msiba wa kichaa kisa maraddhi???'''sanasana ni ajali za gari au vifo vya kiasili tu!!
 
Back
Top Bottom