Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
AdaptationHata mimi inanishangaza sana[emoji848]
AdaptationJibu tuone..?
Waliuza Iphone fake?Vichaa wengine ni vijana wa Makumbusho
Adaptation kwa vitu vyenye magonjwa kweli....??Adaptation
Nilipima kwa Mara ya kwanza nikaambiwa nina UTI ....nikatupa vidongeπUTI uliyoipata ilikua ni underground au chipukizi πππππ
Ni watu wa setupWaliuza Iphone fake?.
Ulikusudia immuniy?Ummunity yao ni kubwa sana...
Kweli wewe ni poor brainAdaptation kwa vitu vyenye magonjwa kweli....??
Ipoje hiyo
Hii Imeniumiza na Kunisikitisha..kuna machizi hukuhuku dar wapo watatu mamΓ‘ nawanae wawili mkubwa wakike mdogo wakiume.
sasa huyu mshikaji wakiume Ana kama miaka 25 hivi binti nae kama miaka 27 hivi
huyumshkaji anawapelekea moto hawa wenzie dada na mamΓ‘ nikama mademu zake tuu popote walipo yupo anawalinda hataki kugongewa
wanalala kitanda kimoja wanapiga madili wote sehem ikiwa na msiba wanaenda kukaa hapo hapo nakusaidia shuhuli mbalimbali
watu wanasema walirogwa
Mi si kijana wa Makumbusho mkuuMbona unawasema wenzako mkuu ππππππππππ
Si kumejaa vijana wa SystemπHuko makumbusho ni wapi? Inaonekana kuna takataka nyingi[emoji3][emoji3][emoji3]
Ndo nakuambia sasa UTI ya watoto wa chuo unaijua weweπππππππππ chuo cha dasalamuNilipima kwa Mara ya kwanza nikaambiwa nina UTI ....nikatupa vidongeπ
πππππππππKweli wewe ni poor brain
Jina lako linasadifu.
Fact hiiKuwa mwendawazimu ukale majalalani alafu uone kama hutoumwa. Vitu mnavyoongea ni story za vijiweni. Huwa wanatibiwa, na wanaumwa vile vile tena hadi kutapika. Na wengine huwa wanapita tunawapa vyakula wale kabisa. Na maji. Nenda kinondoni biafra utaelewa.
Sawa ila mnajuana ngoja tuwoneMi si kijana wa Makumbusho mkuu
πππππππUlikusudia immuniy?