Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh huyu ni mwanaccm....alafu tuongozwe na viumbe vya hivi!!Safi... Kupiga kura ni kesho, yeye anaenda leo kama nani?
Nimekuuliza swali jibu kwanza Hilo..Mambo ya damu unayajua weweKwahiyo nchi inagawiwa kwa gharama ya kumwaga damu au?
"Baada ya kuachiwa na Makachero wa Magufuli Maalim asema Hakuna kurusha nyuma ni JINO kwa JINO"
Kinacholeta amani si kingine bali ni HAKI,HAKI,HAKI...hata wazanzibar wote wapigie kura upinzani bado atatangazwa Mwinyi kashinda Lengo ni kwamba mgombea wa upinzani ataki muungano ccm awawezi kumpa urais Maalim Seif Zanzibar labda kama angegombea mtu mwingine.
Na kama wameamua kukinukisha ndio itakuwa rasmi zanzibar ni mkoa wa Tanganyika kuwanzia uchaguzi huu
Na kama uliona jana wajeshi wanawapa kichapo raia. Ndio rasmi sasa Zanzibar itarudi Tanganyika kinguvu, tega sikio
Ni bora nije kukuibia mkeo au sioHaya nenda na Hilo jino lako uone Kama utarudi nalo
Wake mbona wengi jomba, tumeruhusiwa wanne..ukimchukua na Mimi nachukua wengine wawili..mbona wapo wengi wanasubiri kupata hudumaNi bora nije kukuibia mkeo au sio
Nije nikukabe nichukue kilichomo mfukoni kwako halafu wewe sema hewalaWake mbona wengi jomba, tumeruhusiwa wanna..ukimchukua na Mimi nachukua wengine wawili..wapo wengi wanasubiri kupata huduma
Hayo Ni yako..jikabe mwenyewe Kama unawezaNije nikukabe nichukue kilichomo mfukoni kwako halafu wewe sema hewala
Unavyosikia uchungu ndio hivyo Maalim Seif amesema sasa basi ni JINO kwa JINOHayo Ni yako..jikabe mwenyewe Kama unaweza
Mpelekeni mzee wa watu akalee wajukuu..miaka yote 70 alikuwa wapi..hahahah anakumbuka shuka wakati kumekucha..Unavyosikia uchungu ndio hivyo Maalim Seif amesema sasa basi ni JINO kwa JINO
Sikiliza Mkuu tuache ushabiki usiokuwa na tija tuchagueni watu wenye kiu ya HAKIMpelekeni mzee wa watu akalee wajukuu..miaka yote 70 alikuwa wapi..hahahah anakumbuka shuka wakati kumekucha..
Haki ya kufanya Nini..jomba.au Haki ya kufanya biashara bila kulipa Kodi .Haki ipi unayozungumzia..acheni Mambo ya ku copy na paste..mnamezeshwa maneno nanyinyi mnameza tu..Haki ya Nini hiyo muwe mnatufafanuliaSikiliza Mkuu tuache ushabiki usiokuwa na tija tuchagueni watu wenye kiu ya HAKI
HAKI ya kuacha UjechaHaki ya kufanya Nini..jomba.au Haki ya kufanya biashara bila kulipa Kodi .Haki ipi unayozungumzia..acheni Mambo ya ku copy na paste..mnamezeshwa maneno nanyinyi mnameza tu..Haki ya Nini hiyo muwe mnatufafanulia
Mmeishiwa pumzi..kweli sasa naamini nyie Ni manyumbu. Hiyo Haki yako kwanini usiichukueHAKI ya kuacha Ujecha
UBABE hupita njia ya mkato lakini HAKI kutumia njia ndefu lakini ikishafika UBABE hutoweka Kumbuka haya maandishiMmeishiwa pumzi..kweli sasa naamini nyie Ni manyumbu. Hiyo Haki yako kwanini usiichukue
Kwenda kule..unaleta idea za mwaka 1961..wakati tulipokuwa tukitafuta Uhuru..jomba sisi tupo uchumi wa kati tumeshashika njia tunaelekea matawi ya juuu..Sasa hivi tunaangalia uchumi wa viwanda..jombaaUBABE hupita njia ya mkato lakini HAKI kutumia njia ndefu lakini ikishafika UBABE hutoweka Kumbuka haya maandishi
Kwenda kule..unaleta idea za mwaka 1961..wakati tulipokuwa tukitafuta Uhuru..jomba sisi tupo uchumi wa kati tumeshashika njia tunaelekea matawi ya juuu..Sasa hivi tunaangalia uchumi wa viwanda..jombaa