ChizzoDrama
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 1,317
- 1,229
Aloo alooo tutashindwana alo[emoji100][emoji100]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli aiseeMimi naona kama vile hata polisi wanampaisha Maalim, wataacha watu wakapige kura za hasira na huruma.
Ninadhani hatayeye alijuatu kama atakamatwa hivyo kwake nikama kete ya ushindi
Leo anaenda kupiga kura kama nani?Kwa nini akamatwe wakati anatimiza haki yake ya kiraia ya kupiga kura ?
Elewa alicho andika vizuri , wakati mwingine unaweza jiona una akili mingi kumbe empty setTatizo ni sisi wananchi.... elimu au kujifanya au ilimradi umechangia
KabisaHivi na yeye yupo kwenye lile kundi maalum linalopaswa kupiga kura leo?
Mambo ya Zanzibar ni shida. Mwaka huu damu nyingi zaidi inaweza kumwagika kuliko kipindi kile cha Salmin Amour. Kila mtu anapaswa kutimiza wajibu wake.
Tii sheria bila shuruti, Tuliwaonya wenzio 2015 wakajifanya wajuaji wamerudi mtaani km vichaa
Umelaaniwa wewe na kizazi chakoSafi... Kupiga kura ni kesho, yeye anaenda leo kama nani?
Ndugu yangu acha utani mambo yakiharibika usifikiri utakua salama sote tutaingia kwenye matatizo, huyu malaika mkuu ndiye chanzo cha matatizo.chagua magufuli mkuu mitano tena
mchague mwinyi mkuu kwa maendeleo ya zanzibar alafu maalim anaumwa hawezi kutawala
Anaachiwa akiwa raisi au makamu wakwanza wa raisi?Anaweza kuachiwa baada ya uchaguzi!
Itakuwa ulilalanae wewemaalim kalala nyumba ndogo huko mnasema kakamatwa na polisi kwani zanzibar hakuna michepuko
hawezi yule ni haragweItakuwa ulilalanae wewe
chanzo ni maalim we fikiria jana hata kura hazijaanza kupigwa yeye kaitisha maandamanoNdugu yangu acha utani mambo yakiharibika usifikiri utakua salama sote tutaingia kwenye matatizo, huyu malaika mkuu ndiye chanzo cha matatizo.
Duuuh...kweli akili zako mandazi.Usimpangie siku kwani wengine wana haki ipi yeye aikose?
Hapana mkuu. Maalim aliachiwa hata kabla Balozi hajaandika mtandaoni. Si kuwa aliachiwa bali anaendelewa kuwekwa chini ya ulinzi kwa maana kuwa hayupo huruIt was a two hour detention kaachiliwa baada ya Marekani kukemea detention.
Ni mzee.
Harmonize mwenyewe anajiita JEEEEEEESHIIIIIIIII
ACT Wazalendo said its presidential candidate was detained trying to cast his vote as polling stations opened a day early to allow officials from the Zanzibar Electoral Commission, returning officers and security personnel to take part (BBC).Soon watakiona cha mtema kuni hao wahuni wa CCM! Mnalazimisha huyo papasi wenu mwinyi asiyependwa, mwaka huu mtajua hamjui wahuni ninyi!