Zanzibar 2020 Maalim Seif akamatwa wakati akienda kupiga kura ya mapema

Zanzibar 2020 Maalim Seif akamatwa wakati akienda kupiga kura ya mapema

Kwa hiyo uchaguzi unaondelea leo hakuna mawakala WA vyama?.

Wamekataliwa kuingia na ndio wengine wakapigwa risasi




Viongoz wa CHAUMMA Tupo mazikoni kwa wakala wetu aliyepigwa risasi Jana Usiku majira ya saa 6 usiku katika kituo cha kupiga kura skuli ya vitongoji Jimbo la wawi.

Wakala wetu wa CHAUMMA aliyeuawa anaitwa Muhammad khalfan Mjaka.

Maziko ni baada ya sala ya alasir Leo tarehe 27 /10/2020.

INALILAH WAINA ILAIHI RAJOIUN.

ALI OMAR JUMA
MGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR -CHAUMMA
KATIBU MKUU - CHAUMMA

+255 772 674 080
 
Wanaovunjwa miguu ni Majambazi, hata wewe ukiwa jambazi utavunjwa tu
Kwahiyo wapinzani wangesimamisha Mgombea urais yupi ambaye unahisi angeshinda ??
Mh. Jiwe alikuwa na uhakika wa kupata kura za ushindi tena mkubwa lakini kwa kitendo cha Viongozi wa ccm na uvccm walioharibikiwa mmeharibia mzee wa watu picha. Mie ni ccm ila nashindwaga kuelewa kwanini inashindikanaga kufanya siasa bila kuvunja miguu ya watu ???? [emoji24][emoji24][emoji24]
 
CCM ndiyo wanaitafuta ICC The Hague siyo maalim seif acha kutengeneza mazingira ya kuwabambikia kesi kesi uonevu kama kawaida yenu CCM ya kishetani
Aliyehamasisha ghasia ni Nani?
 
maalim kalala nyumba ndogo huko mnasema kakamatwa na polisi kwani zanzibar hakuna michepuko


Wewe uko serious au hayakufika wewe ?? Sisi tulioshuhudia mauwaji ya majeshi wavamizi toka 1964 mpaka hivi sasa , UNATUTUKANA NA KUTUCHOMA MKUKI MOYONI

La muhimu tutakufa nanyi mwaka huu , au muondoke
 
Wewe uko serious au hayakufika wewe ?? Sisi tulioshuhudia mauwaji ya majeshi wavamizi toka 1964 mpaka hivi sasa , UNATUTUKANA NA KUTUCHOMA MKUKI MOYONI

La muhimu tutakufa nanyi mwaka huu , au muondoke
mchague mwinyi mkuu kwa maendeleo ya zanzibar alafu maalim anaumwa hawezi kutawala
 
Wamekataliwa kuingia na ndio wengine wakapigwa risasi




Viongoz wa CHAUMMA Tupo mazikoni kwa wakala wetu aliyepigwa risasi Jana Usiku majira ya saa 6 usiku katika kituo cha kupiga kura skuli ya vitongoji Jimbo la wawi.

Wakala wetu wa CHAUMMA aliyeuawa anaitwa Muhammad khalfan Mjaka.

Maziko ni baada ya sala ya alasir Leo tarehe 27 /10/2020.

INALILAH WAINA ILAIHI RAJOIUN.

ALI OMAR JUMA
MGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR -CHAUMMA
KATIBU MKUU - CHAUMMA

+255 772 674 080
Poleni, Kura zilizopigwa Leo ndio zitahesabiwa za kesho haziguswi.
 
mkuu wapemba wenzenu waishio huku bara wanautaka hasa hawa wenye magorofa kariakoo


Wapemba wako wengi si bara tu hata uingereza tena wana zaidi ya hayo majumba , mpemba gani alikuambia anapenda kuvamiwa ??
 
Wapemba wako wengi si bara tu hata uingereza tena wana zaidi ya hayo majumba , mpemba gani alikuambia anapenda kuvamiwa ??
hatujawavamia mkuu tunatawala kwa haki na nyie mkishinda siro kasema atawatangaza so acheni fujo
 
Back
Top Bottom