Lipumba alinunuliwa kwa dola milion 1.5 na Membe ii amtoroke Lowasa kwenye Ukawa pia Dr slaa alinunuliwa kwa dola milion 2 na kupewa nyumba Canada, CCM imenunua wapinzani kibao kwa njia haramu za kishetani, lakini chadema wenye msimamo wa kutonunulika wapo chadema hadi sasa hawanunuliki ndiyo maana CCM inahaha kuwabambikia kesi kuwapiga risasi uonevu unyanyasaji uovu mateso manyanyaso wanawaelekezea chadema, Zito kavuta dola milion 5 wamegawana na maalum seif ni biashara haramu ya siasa, wapinzani wa kweli ni chadema pekee kwani mpaka sasa wana utitiri wa kesi za kubambikiwa na CCM