Automata
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 3,414
- 4,794
Zanzibar raisi ni Hussein Mwinyi....huyo mpinga muungano hana nafasiMkutano wa kampeni wa Jabali Maalim Seif Kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja umehudhuriwa na Umati mkubwa wa watu pengine kuliko mkutano wowote uliowahi kufanyika Zanzibar tangu mfumo wa vyama vingi uanze .
Ushahidi huu hapa
View attachment 1611523
View attachment 1611524
View attachment 1611525