Zanzibar raisi ni Hussein Mwinyi....huyo mpinga muungano hana nafasiMkutano wa kampeni wa Jabali Maalim Seif Kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja umehudhuriwa na Umati mkubwa wa watu pengine kuliko mkutano wowote uliowahi kufanyika Zanzibar tangu mfumo wa vyama vingi uanze .
Ushahidi huu hapa
View attachment 1611523
View attachment 1611524
View attachment 1611525
Toka 95 anatikisa ila wazanzibari wanamkataa kwenye boksi
Wasioipenda amani ya Zanzibar warudi omani
Wewe unaangalia nyomi.. Hata mimi nipo kwenye mkutano hapa lakini kura yangu haipati.Thubutu ! Nyomi hiyo ni wachache? Umeambiwa kuwa idadi ya watu waliopo kwenye mkutano huo haijawahi kutokea Zanzibar tangu mfumo wa vyama vingi kuanzishwa nchini au una miwani ya mbao? 😂 😂 😂
Mwinyi anatafuta laana ya kufa na kiharusi,mungu atampiga laana moja na uzee wake...analazmisha mwanae awe rahisi ili iweje.mzee mpumbavu sana hapaswi kuheshimiwaKinachoendelea Zanzibar na ukimya wa vyombo vya dola ni kama wameamua kuitoa nchi sadaka
Labda box za biskuti,miaka yote ccm znz wanajitangaza ushindi kwa msaada wa zecpoliceToka 95 anatikisa ila wazanzibari wanamkataa kwenye boksi
Wasioipenda amani ya Zanzibar warudi omani
Hata wazime internet Mtalii wao hauziki wamwambie ukweli tu ili arudi zake MkurangaDola imejaribu kutingisha kiberiti.... Maalim alivochimba mkwala tu asubuhi wakaona itakuwa kweli. Naskia wamepanga kuzima internet... kama lengo ni kuzuia habari kutoka nje zitatoka tu na watashangaa zinatokaje.
Labda box za biskuti,miaka yote ccm znz wanajitangaza ushindi kwa msaada wa zecpolice
Mwambie hussein labda awe rais wa wasafi ila sio znzHuo ni uwongo wa Chadema mwisho wao ni October
Mkuu, msiwaonee Watanganyika buure.. mkoloni wao ni ccmWazanzibar sikuzote wanapiga Kura kwaajili ya kuikomboa nchi Yao kutoka Kwa mkoloni mweusi Tanganyika....
Hasara roho, pesa makaratasi! Hata mimi siku hiyo nililipa kesh, (kibanda umiza) Man U akapigwa 6, mashabiki wakatuzomea, wakati tunaenda nyumbani mvua ikatunyeshea chapachapa, alafu kufika home wife akazingua! Ilikua bonge la hasara, Lakini maisha yanaenda! CCM vumilieni tu!Tayari Dr Shein kisha type hotuba yake ya kumkabidhi Urais Hussein Mwinyi
Tayari Jaji Mkuu wa Znz kisha type kiapo cha Urais kwa kuandika kabisa jina la Hussein Mwinyi
Tayari meli ya kanga na tishert za kumpongeza Mwinyi ishatia nanga baharini
Hasara yote hiyo atalipa nani?
Unaweweseka Wewe, Maalim Seif ni mwanachama na mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT - Wazalendo, zamani alikua CUF! CHADEMA inaingiaje hapo?!Huo ni uwongo wa Chadema mwisho wao ni October
Sijakuelewa mkuuKinachoendelea Zanzibar na ukimya wa vyombo vya dola ni kama wameamua kuitoa nchi sadaka
Wanachama wa Act wanatekwaSijakuelewa mkuu
Eanl
Hivi kati yako wew na bia yetu nani mwerevuZanzibar will vote for Mwinyi
CCM na akili zao za kifala eti wanaamini watashinda huu Uchaguzi😀Mkutano wa kampeni wa Jabali Maalim Seif Kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja umehudhuriwa na Umati mkubwa wa watu pengine kuliko mkutano wowote uliowahi kufanyika Zanzibar tangu mfumo wa vyama vingi uanze .
Ushahidi huu hapa
View attachment 1611523
View attachment 1611524
View attachment 1611525
Impact ya Lissu imewafanya Wazanzibar wajiamini sanaMkutano wa kampeni wa Jabali Maalim Seif Kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja umehudhuriwa na Umati mkubwa wa watu pengine kuliko mkutano wowote uliowahi kufanyika Zanzibar tangu mfumo wa vyama vingi uanze .
Ushahidi huu hapa
View attachment 1611523
View attachment 1611524
View attachment 1611525