CAGvsSPEAKER
JF-Expert Member
- May 16, 2019
- 1,339
- 5,048
Hata mara ya kwanza haikuwepo....ikaja,ikaondoka.....kama imekuja tena tutapambana nayo kama awali.Waliitumia kama ngaz ya kupanda kisiasa.
Sasa wanaogopa kukubali kuwa ipo maana itachafua ile image waliyo ijenga mwanzo