Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huyu ndio buku 7 fc anayelipwa hela nyingi kuliko wenzake ! Poor ccm !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapana hawawezi kutuletea takataka hizo kugombea huyo ka znz tu kamemshinda je huku?
Matunda ya Mzee Mgaya kule Rombo yameonekana bwashee........ Selasini kabwaga manyanga ya unadhimu!
bado na ubunge anabwaga na kurudi nyumbaniMatunda ya Mzee Mgaya kule Rombo yameonekana bwashee........ Selasini kabwaga manyanga ya unadhimu!
Hahahaaaa........ Zamu hii mtamdekia barabara maalim Seif!Huyu ndio buku 7 fc anayelipwa hela nyingi kuliko wenzake ! Poor ccm !
Amesharudi mkuu anasubiria mafao yake tu pale bungeni mwezi June.bado na ubunge anabwaga na kurudi nyumbani
KWa tume hii ya ccm. Wanapoteza muda waoHabari za chini ya carpet zinadai kuna mkakati mahsusi wa kiuchaguzi kati ya Chadema na ACT wazalendo ambapo baba wa upinzani maalim Seif anatarajiwa kugombea urais wa JMT.
Mh Mbowe anatajwa kuwa mgombea mwenza huku Zitto Kabwe akiandaliwa kuwa Waziri mkuu.
Godbless Lema naye anatajwa kuhamia jimbo la Hai ambako ni nyumbani kwao kugombea ubunge na akishinda anaweza kuteuliwa kuwa Waziri wa mambo ya ndani na Naibu Waziri mkuu kama ilivyokuwa kwa Augustini Lyatonga Mrema enzi za Mwinyi.
Safari hii bendera itakayopeperushwa ni ya ACT wazalendo.
Endeleeni kunywa mchuzi nyama mtazikuta chini
Maendeleo hayana vyama!
Nagombea Iringa mjini bwashee!
No bora uote uko unachakata . Kuliko kuota utumbo kama huoHabari za chini ya carpet zinadai kuna mkakati mahsusi wa kiuchaguzi kati ya Chadema na ACT wazalendo ambapo baba wa upinzani maalim Seif anatarajiwa kugombea urais wa JMT.
Mh Mbowe anatajwa kuwa mgombea mwenza huku Zitto Kabwe akiandaliwa kuwa Waziri mkuu.
Godbless Lema naye anatajwa kuhamia jimbo la Hai ambako ni nyumbani kwao kugombea ubunge na akishinda anaweza kuteuliwa kuwa Waziri wa mambo ya ndani na Naibu Waziri mkuu kama ilivyokuwa kwa Augustini Lyatonga Mrema enzi za Mwinyi.
Safari hii bendera itakayopeperushwa ni ya ACT wazalendo.
Endeleeni kunywa mchuzi nyama mtazikuta chini
Maendeleo hayana vyama!
Mnyika atagombea ubunge Shinyanga!Ungeamlizia na Mnyika kugombea Uraisi Zanzibar
Bila shaka Mzee Mgaya ana la kusema kuhusu Mnyika kuachwa nafasi za juu.Habari za chini ya carpet zinadai kuna mkakati mahsusi wa kiuchaguzi kati ya Chadema na ACT wazalendo ambapo baba wa upinzani maalim Seif anatarajiwa kugombea urais wa JMT.
Mh Mbowe anatajwa kuwa mgombea mwenza huku Zitto Kabwe akiandaliwa kuwa Waziri mkuu.
Godbless Lema naye anatajwa kuhamia jimbo la Hai ambako ni nyumbani kwao kugombea ubunge na akishinda anaweza kuteuliwa kuwa Waziri wa mambo ya ndani na Naibu Waziri mkuu kama ilivyokuwa kwa Augustini Lyatonga Mrema enzi za Mwinyi.
Safari hii bendera itakayopeperushwa ni ya ACT wazalendo.
Endeleeni kunywa mchuzi nyama mtazikuta chini
Maendeleo hayana vyama!