Tetesi: Maalim Seif kugombea urais wa JMT, Mbowe mgombea mwenza Zitto Waziri Mkuu mtarajiwa; Lema kugombea Ubunge Hai

Tetesi: Maalim Seif kugombea urais wa JMT, Mbowe mgombea mwenza Zitto Waziri Mkuu mtarajiwa; Lema kugombea Ubunge Hai

Huyu ndio buku 7 fc anayelipwa hela nyingi kuliko wenzake ! Poor ccm !
 
Habari za chini ya carpet zinadai kuna mkakati mahsusi wa kiuchaguzi kati ya Chadema na ACT wazalendo ambapo baba wa upinzani maalim Seif anatarajiwa kugombea urais wa JMT.

Mh Mbowe anatajwa kuwa mgombea mwenza huku Zitto Kabwe akiandaliwa kuwa Waziri mkuu.

Godbless Lema naye anatajwa kuhamia jimbo la Hai ambako ni nyumbani kwao kugombea ubunge na akishinda anaweza kuteuliwa kuwa Waziri wa mambo ya ndani na Naibu Waziri mkuu kama ilivyokuwa kwa Augustini Lyatonga Mrema enzi za Mwinyi.

Safari hii bendera itakayopeperushwa ni ya ACT wazalendo.

Endeleeni kunywa mchuzi nyama mtazikuta chini

Maendeleo hayana vyama!
KWa tume hii ya ccm. Wanapoteza muda wao
 
Wale wenye mawazo ya udini na ukabila kupata kura kwa safari hii watapata shida sana maana watanzania wanataka kurudi kwenye umoja wao ,tuitane ndugu badala ya waheshimiwa,,tugawane maendeleo yaliyo sawa kwa watanzania wote bila ubaguzi,tunataka wale wenye upendo na kuondoa chuki AMINA
 
Habari za chini ya carpet zinadai kuna mkakati mahsusi wa kiuchaguzi kati ya Chadema na ACT wazalendo ambapo baba wa upinzani maalim Seif anatarajiwa kugombea urais wa JMT.

Mh Mbowe anatajwa kuwa mgombea mwenza huku Zitto Kabwe akiandaliwa kuwa Waziri mkuu.

Godbless Lema naye anatajwa kuhamia jimbo la Hai ambako ni nyumbani kwao kugombea ubunge na akishinda anaweza kuteuliwa kuwa Waziri wa mambo ya ndani na Naibu Waziri mkuu kama ilivyokuwa kwa Augustini Lyatonga Mrema enzi za Mwinyi.

Safari hii bendera itakayopeperushwa ni ya ACT wazalendo.

Endeleeni kunywa mchuzi nyama mtazikuta chini

Maendeleo hayana vyama!
No bora uote uko unachakata . Kuliko kuota utumbo kama huo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maalim kugombea Zanzibar na kumchakaza kwa mara ya nne mgombea wa ccm.Hili halina ubishi.
 
Habari za chini ya carpet zinadai kuna mkakati mahsusi wa kiuchaguzi kati ya Chadema na ACT wazalendo ambapo baba wa upinzani maalim Seif anatarajiwa kugombea urais wa JMT.

Mh Mbowe anatajwa kuwa mgombea mwenza huku Zitto Kabwe akiandaliwa kuwa Waziri mkuu.

Godbless Lema naye anatajwa kuhamia jimbo la Hai ambako ni nyumbani kwao kugombea ubunge na akishinda anaweza kuteuliwa kuwa Waziri wa mambo ya ndani na Naibu Waziri mkuu kama ilivyokuwa kwa Augustini Lyatonga Mrema enzi za Mwinyi.

Safari hii bendera itakayopeperushwa ni ya ACT wazalendo.

Endeleeni kunywa mchuzi nyama mtazikuta chini

Maendeleo hayana vyama!
Bila shaka Mzee Mgaya ana la kusema kuhusu Mnyika kuachwa nafasi za juu.
 
Back
Top Bottom