Tetesi: Maalim Seif kugombea urais wa JMT, Mbowe mgombea mwenza Zitto Waziri Mkuu mtarajiwa; Lema kugombea Ubunge Hai

Asante kwa kutufurahisha asubuhi hii ! Ze Comedy show 🙃 !
 
Hakika wewe ni kichaa. Magufuli atapambana vipi na membe october ndani ya ccm? Jinga kabisa. Au hujui mchakato wa kupata mgo.bea urais ni wakati gani? Pumbavu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa taharifa hii CCM hapo mav'''i yatakuwa yakiwangonga katika pichu na kurudi kwa jinsi wanavyo muogopa mh. seif, na iwe ivyo
 
Mnamhujumu Mello kwa kupost upupu ili watu wenye welewa mzuri walipuuze jukwaa hili
 
Umekurupuka umetunga pumba zako huko na bahati nzuri siku hizi watanzania wengi tuna makao yetu mitaondaoni huwezi kosa wachangiaji!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…