Maamuzi Magumu: Nimeamua kuwa baba wa mtoto wa rafiki yangu

Hongera Ila naona tu unataka papuchi ya bure sababu mwenye papuchi kwa sasa anajitahidi kutafuta furaha.


Haya uloandika uwezekano wa kutokuyafanya ni mkubwa sana yaan 99.9%.huku wakufanya ni 0.1 %
 
" Pili anaishi mbali sana na ninakoishi hivyo kuna ka ugumu kujulikana " kauli yako hiindio imenistua nikasema huyu hajui binadamu siyo milima?
Umbali haiwezi kuwa hakikisho la mkeo kutojua, kama ni wema kwanini ufiche?
Mkuu,
Wako ktk sexual relationship. Mkewe na jamaa akijua kuhusu mtoto atajua kuhusu sexual relationship...women have basic instincts ktk kutambua hizo mambo. Ndiyo maana ni siri. Hata kukutana ni hotelini hapa jamaa atasex naye kisha kila mtu anarudi kwake.

My take
Demu ni caliber ya tofauti na mjumbe wetu kila yupo unstable emotionally ndiyo maana anakubali kila kitu for now. Huyo Dada akitoka leba tena baada ya miaka mitatu kipindi hiko mtoto kalipiwa ada ya boarding baby class tutarajie ID mpya na Uzi wa kulalamika
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]watabiri bhana hamuwazagi positive hata siku moja.
Nimejaribu kusapoti jamii mara kadhaa.
Nimewahi sapoti mama mmoja wakati wa uzazi mwanzo mwisho hadi alipoweza kujitegemea kibiashara...alikimbiwa na mume na msaada ulikuwa unapitia mtu mwingine na hakujua anayemsapoti hadi baadae sana.
...Nimesapoti mabinti 2 kusoma hadi chuo kikuu bila kutaka hata ukaribu bali kulipa ada zao tu tena nimeanza nikiwa kijana mdogo.
Katika hili sina wasiwasi ninachoomba ni afya njema.
Sifungwi na sijaahidi kufanya makubwa kupita uwezo wangu bali sawa na uwezo atakao nipa Mungu.
 
Basi busara jamaa amsaidie malezi tu huyo mwanamke na hiyo nyumba na mengine lakini asimpe mtoto jina lake na mke wa huyu mjumbe asijue kitu kuhusu hili sakata lote.
 
Basi busara jamaa amsaidie malezi tu huyo mwanamke na hiyo nyumba na mengine lakini asimpe mtoto jina lake na mke wa huyu mjumbe asijue kitu kuhusu hili sakata lote.
Ndiyo tunamwambia hapa kuwa afanye kama msaada isiwe kisheria. Ikiwa kisheria hata ikiwa kuna umbali gani huyo atakuwa mtoto wake mwenye haki sawa na wa kuwazaa ( kama anao) hii italeta shida ktk familia yake hapo mbeleni.

Pia sijafahamu hebu nisaidie kisheria ukiasili mtoto kuna uwezekano wa kubatilisha kisheria?
 
Umekomenti kutokana na tabia yako mkuu, hujaacha tu?
Tabia gan mkuu??.......

Kwamba sasa utalea mimba ??.

Akizaa utalea na kufanya kedekede kwa ajili ya mtoto...???

Alafu kisha [emoji116]
kwamba akishazaa utamwacha huru na maisha yake yaan uchaguzi ???...


Maswali...

1--Wewe umeoa ?? Una mtoto au watoto ??.

2—Wakati huo wote ,utakua unakula papuchi yake au hapana ? Ukila utaila kama nani kwake ???.

3---Saizi unataka akutembelee kupunguza stress ulipo.. Huyu Mama anamimba, Je utamla?? Na kama utamla, huonei huruma kiumbe chake ???.

4--Je usipomla, utaendelea kumhudumia nakumpa kila hitaj sawa nauwezo wako hata km papuchi hakupi???



[emoji117]Ndio maana hayo mengine hujawambia, sababu unajua kabisa Ahadi inamaana gani.

[emoji117]Umemwambia yakumwambia sababh utekelezaji wa ulokwisha mwambia ni wa maneno ambayo yatabakia kuishi moyon mwake kihisia.


Embu fanya hili....

Kabla hajaja kukutembeleaa, embu fanya kitu kimoja wapo ukiweke kwa matendo kwanzaa....


Achana na maneno ya " mie nitakua baba wa hiyari , pakuanzia naomba uje upoze mawazo huku niliko , usijali mtoto nitamleaaa, ataitwa kwa jina languuu "....
 
Jamaa sio tu alizingua bali alimdhalilisha sana
Kwanza ubarikiwe lakini kuwa makini sana na maamuzi yako usije kuja kujutia baadae ameachwa na wanaume wawili hujui walipendana vipi na sababu gani wameshijdwa kupendana mara nyingi wadada ni wanyooshaji wazuri wa vidole hivyo usiamini maneno yake 100%. Fanya vyoooote wachana na jina la mtoto, usije kuja kumlaumu baadae bila sababu
 
Kwa kitendo hicho obviously itakugarimu hapo badaye..ulipaswa kuomba ushauri kabla ya kutekeleza ,,uko na confident sana lakn amini kuna watu wanauelewa mkubwa na experience katika haya maswala
 
Wanaume lazima tupeane ABCs wewe si wa kwanza wala wa mwisho ktk scenario hiyo
 
Mimi ninavyojua tabia hairithiwi, tabia ya mtu ni matokeo ya malezi aliyopewa na si vinginevyo
 
Mimi ninavyojua tabia hairithiwi, tabia ya mtu ni matokeo ya malezi aliyopewa na si vinginevyo
Upo sahihi, lakini kuna vitu ni kama hardcoded genetically.
Hii nadharia yangu ni layman thinking "Huyu mtoto kachukua tabia za baba yake".
Hili jambo lina ukweli flani maana my son amechukua tabia zangu flani kupita maelezo, tangu alipozaliwa hata mwezi hajafikisha alionesha hizo tabia.
 
Hongera mkuu
Ila wanawake Hawa!!!!!!!!!
Atakuja akuone mavi nakuambia
Mkuu bado huwa unategemea shukrani.
Niliwahi kumfadhili rafiki yangu mwanaume kiasi cha 10m na mkewe 2m, walikuwa wanapitia kipindi kigumu sana hata petrol walikuwa wanashindwa kuweka japo wana gari 3.
Basi nami kilikuja kipindi changu cha shida, mkataba wa kazi uliisha kwa kampuni kufilisika.
Walilijua hilo...kuna siku nilimpigia simu akajua labda naomba pesa...alijifanya hanifahamu kabisa.
Ukitenda wema kimbia au sahau kabisa...ukisubiri shukrani umekwisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…