Maamuzi Magumu: Nimeamua kuwa baba wa mtoto wa rafiki yangu

Endelea hivyo hivyo boss chonde chonde usituumbue
Mwiko, sitathubutu.
Niliwahi kuumizwa humu na vibaka flani lkn nilijitahidi kutokunyanyua mdomo, sembuse hili dogo hivi...relax kabisa tena hata ukitukana nitakupuuzia tu
 
Wewe ni malaika! Libarikiwe Tumbo lililokuzaa!! Aiseee
 
Mwiko, sitathubutu.
Niliwahi kuumizwa humu na vibaka flani lkn nilijitahidi kutokunyanyua mdomo, sembuse hili dogo hivi...relax kabisa tena hata ukitukana nitakupuuzia tu
Sawa tunashukuru [emoji16]
 
Limepwaya hili au la Mishil?
Mishihil, kidogo nikutongoze....ulikuja kwa kasi na id ni mpya nikashtuka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kila mtu alikuwa anajiuliza huyu mbona id mpya lkn anaonekana mzoefu?
Nikaingia chimbo nikakugundua
 
Mishihil, kidogo nikutongoze....ulikuja kwa kasi na id ni mpya nikashtuka[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kila mtu alikuwa anajiuliza huyu mbona id mpya lkn anaonekana mzoefu?
Nikaingia chimbo nikakugundua
Mimi kwani nilikuwa najiona mpya? Kwanza nilikuwa nasahau muda mwingine kuwa nimebadilika[emoji1787][emoji1787] baadae nikaona isiwe tabu acha nirudi tu nyumbani
 
Mimi kwani nilikuwa najiona mpya? Kwanza nilikuwa nasahau muda mwingine kuwa nimebadilika[emoji1787][emoji1787] baadae nikaona isiwe tabu acha nirudi tu nyumbani
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]nakumbuka nilikwambia hili jina sio, na pm tulibonga lakini..
 

nilichogundua wewe unafurahisha umma ila uhalisia unao moyoni mwako inawezekana unachojibu hapa ni tofauti na uhalisia wa mambo !

je utafanya hayo kwa huyo tu au una mpango wa kufanya na kwa mwingine ikitokea ???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…