Maamuzi Magumu: Nimeamua kuwa baba wa mtoto wa rafiki yangu

Maamuzi Magumu: Nimeamua kuwa baba wa mtoto wa rafiki yangu

nilichogundua wewe unafurahisha umma ila uhalisia unao moyoni mwako inawezekana unachojibu hapa ni tofauti na uhalisia wa mambo !

je utafanya hayo kwa huyo tu au una mpango wa kufanya na kwa mwingine ikitokea ???
Ungepitia post zangu humu ndani usingeuliza swali hili.
Naomba nisikupe umuhimu kivile, asante kwa kujaribu
 
Ungepitia post zangu humu ndani usingeuliza swali hili.
Naomba nisikupe umuhimu kivile, asante kwa kujaribu

hakuna uhalisia tunafurahishana tu !

msaada ????????????? we !

aya kila la kheri...
 
Back
Top Bottom