Maamuzi Magumu: Nimeamua kuwa baba wa mtoto wa rafiki yangu

Kwanini usiangalie uwezekano wa kumuoa? Unataka apate njemba mwingine amnyanyase kisha nawe uanze tena kukosa raha mama wa mwanao ananyanyasika?
Tayari ana mtu wake. [emoji16][emoji16] BAK bwana
 
Reactions: BAK
Nimemaanisha mkeo/mpenzi wako. Siku akisikia mtoto anaitwa kwa jina lako ... unadhani ataelewa hii stori?
Hili nitaliweka sawa na baadhi ya mambo yataenda kisheria , kutakuwa na ufafanuzi wa kina wa badhi ya vipengele vinavyoweza kuleta utata baadae.
Pili anaishi mbali sana na ninakoishi hivyo kuna ka ugumu kujulikana
 
Kwanini usiangalie uwezekano wa kumuoa? Unataka apate njemba mwingine amnyanyase kisha nawe uanze tena kukosa raha mama wa mwanao ananyanyasika?
Mkuu hili halitawezekana, huruma yangu zaidi ni kwa mtoto zaidi
 
Reactions: BAK
_Mathayo 6:2-4_
“Basi, unapomsaidia maskini, usijitangaze. Usifanye kama wanafiki wafanyavyo katika masunagogi na njiani ili watu wawasifu. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata tuzo lao. Lakini wewe unapomsaidia maskini, fanya hivyo kwamba hata mwandani wako asijue ufanyalo. Toa msaada wako kwa siri, na Baba yako aonaye yaliyofichika, atakutuza.
 
Mchaichai
 
Huyu sio masikini na sijataja jina
 
Hili nitaliweka sawa na baadhi ya mambo yataenda kisheria , kutakuwa na ufafanuzi wa kina wa badhi ya vipengele vinavyoweza kuleta utata baadae.
Pili anaishi mbali sana na ninakoishi hivyo kuna ka ugumu kujulikana
Kila la heri mkuu, barikiwa sana
 
Yeye ndio anajua hivyo, akija kujua hutomuoa huzuni itarudi tena kwake
Anafahamu kila kitu kuhusu mimi, hajaniomba bali mimi nimetaka.
Pili baba halisi ana uwexo mkubwa tu lakini hakuona haja ya kulazimisha mambo wala kutaka kwenda eti kwa mke wake.
Pili hata kwao wako vizuri kiasi sio hahehohe.
 


Ataendelea kuliwa kimasihara
 
Anafahamu kila kitu kuhusu mimi, hajaniomba bali mimi nimetaka.
Pili baba halisi ana uwexo mkubwa tu lakini hakuona haja ya kulazimisha mambo wala kutaka kwenda eti kwa mke wake.
Pili hata kwao wako vizuri kiasi sio hahehohe.
Kitu kitakachokuwa kinamtesa kisaikolojia,kwa nini yeye hana mume?
 
Mi nimenukuu tu.

Alaf masikini sio mpaka hawe hana pesa, ata kutokuwa na furaha pia ni umaskini
Mkuu, maisha tunayoishi yamesababishwa na mambo na tabia zinazotuxunguka.
Hili nimeshea ili kuleta changamoto katika jamii.
Yesu alishea mengi mfano wa yule mjane kutoa sadaka tena aliitaja na kuinyanyua juu.
Mnapotosha mengi katika biblia.
Maana ya sadaka kutoonyeshwa ni watu wasitoe kwa nia ya wengine wawaone bora bali tutoe sadaka kama sehemu ya utumishi katika uchaji na ibada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…