Maamuzi Magumu: Nimeamua kuwa baba wa mtoto wa rafiki yangu

Maamuzi Magumu: Nimeamua kuwa baba wa mtoto wa rafiki yangu

Inaelekea wewe ni aina ya watu walioshikiwa akili, mimi nina maisha yangu sitegemei maamuzi au matakwa ya ndugu au marafiki.
Nimezaliwa kuwa mwanaume, kiongozi na mwamuzi.
Hao watapokea taarifa na sio sehemu ya maamuzi yangu.
Nafurahi sana sana kushuhudia kuwa wanaume wale aliokusudia Mungu tangu awali bado wapo..ndio bado tupo..gentleman yes you are.
 
Mkuu wewe ni time Traveller uliishi zama za Yesu sasa umerudi katika ulimwengu huu[emoji23][emoji23][emoji23] Sema anyway itakuwa unampenda sana huyo mdada lakini Angalia usiwe unategemea kulipwa wema 100% huyo dada anaweza kuendeleza mechi za ugenini na Jamaa aliekataa mimbaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Maana wanawake achana nao mkuu.
Think positive.
 
Kuna mawili hapa, mosi unampenda sana huyo mwanamke na hakua tayari kuweka commitment yoyote katika kipindi mpo pamoja cha pili unataka kumuonesha ni kwa nini hakua na msimamo kuhusu uhusiano wenu, kufanya hivi itakupa wewe faraja wewe ila mwenzio itakua umempa burden of guilty na kujilaumu sana pia atashindwa kumove on with her life. Na kibaya zaidi wewe ukitaka kumove on with your life (kuoa) ataumia zaidi.

MUHIMU : Mpe support pale kila atakapohitaji, hiyo ni commitment kubwa sana unaichukua to satisfy your pride. What will happen pale utakapokua umesatisfy your pride?
 
Hapa unajiadaa kumuumiza huyo dada kihisia. Kama umekubali kuwa baba mfanye mkeo pia.
Sitamuumiza mkuu, tangu nimweleze nina mahusiano yangu, ameyaheshimu kwa kiwango cha juu siku zote.
Hivyo anafahamu fika mipaka ya mahusiano yetu mimi naye.
Pia sitamfanya kuwa karibu nami kivile
 
Kwahiyo wewe ndo umeamua ujichukulie hilo kahaba jumla jumla

Ulipendezeshe masela waendelee kulitavuna

Nini hujui kutongoza au
 
Sio kweli kwamba umeamua kumsaidia kuulea ujauzito na mtoto,na kuwa baba wa mtoto kwa hiari kama ulivyosema,ila kuna (mhemko-sijapata neno zuri kwenye hili badala yake) na umeenda nalo speed bila kulifikiria kiundani. Kuna uwezekano wa kujutia uamuzi wako baadae. (Japo sikupingi kwa uamuzi wako). Hasa hasa ninachokiona hapo uko mapenzini kwa huyo dada,mpaka umeenda speed kwenye maamuzi mazito kama hayo. Muda mwingine kwa sasa unaweza ukafikiria ni huruma imekujia lakini ni hulka ya mapenzi yamuingiapo mtu,anaweza akaamua lolote ili kuonyesha kama hali ya kujali. Hasa nafikiri ni kufuatana na umri wako na kipato ulichonacho. Angalizo mwanamke ni kiumbe kigeugeu,lazima uje kujuta baadae. Kwa hadithi yako tu wewe amekuruka katikati yao hao wapenzi,yaani yuko kwenye mahusiano,akaingia tena kwako kwenye mahusiano,akamfuata ughaibuni,amerudi mawasiriano yapo na wewe,lakini akakushit akapigwa mimba na mwingine,tena akarudi kwako. Si bure kuna kitu kinakusumbua. Jitulize. Na ingekuwa vizuri sana ungekuja hapa kupata ushauri kabla hujamwambia chochote ningekushauri achana na huyo demu kabisa. Wewe amekufanya kivuli chake tu wakati wa jua kali.
 
Wengi tunatamani kuwapa furaha hawa viumbe lakini malipo yao utbaki mdomo wazi ila kwa vile umesema anajielewa na umejihakikishia tunaomba Muumba awe nawe
 
Kuna mawili hapa, mosi unampenda sana huyo mwanamke cha pili unataka kumuonesha ni kwa nini hakua na msimamo kuhusu uhusiano wenu, kufanya hivi itakupa faraja wewe ile mwenzio atakua na burden of guilty na kujilaumu sana pia atashindwa kumove on. Na kibaya zaidi wewe ukitaka kumove on with on with on with your life (kuoa) ataumia zaidi.

MUHIMU : Mpe support pale kila atakapohitaji, hiyo ni commitment kubwa sana unaichukua to satisfy your ego. What will happen pale utakapokua umesatisfy your ego?
Nasikitika umesoma lakini hujaelewa.
Tangu mwanzo hatukuwa na mahaba mazito kivile lakini tulikuwa marafiki wazuri kiasi yalioelekea ukaribu na ikawa kama ilivyotokea.
Pili sina historia ya kushindwa katika mapenzi...nikukusudia flani awe wangu sijawahi shindwa hivyo kwake sijawahi poteza hata kidogo.
Tulikuwa wezi tu kwani tulishiriki tukijua status ya kila mmoja na tulisisitiza kutoharibiana.
Hili tulishinda na uhusiano uliisha wenyewe bila kulaumiana.
Hivyo sina sababu ya kujipendekeza ili kumuumiza...big No
 
Yaah im positive ndo maana nimeanza kumpongeza lakini mwishoni nimempa ukweli Mchungu kesho asijekuua mtu
Siwezi kufanya hivyo daima mkuu.
Hapa ninachofanya ni sawa na kuasili mtoto tu
 
Wengi tunatamani kuwapa furaha hawa viumbe lakini malipo yao utbaki mdomo wazi ila kwa vile umesema anajielewa na umejihakikishia tunaomba Muumba awe nawe
Kwani mtoa mada anategemea malipo gani?
 
Sio kweli kwamba umeamua kumsaidia kuulea ujauzito na mtoto,na kuwa baba wa mtoto kwa hiari kama ulivyosema,ila kuna (mhemko-sijapata neno zuri kwenye hili badala yake) na umeenda nalo speed bila kulifikiria kiundani. Kuna uwezekano wa kujutia uamuzi wako baadae. (Japo sikupingi kwa uamuzi wako). Hasa hasa ninachokiona hapo uko mapenzini kwa huyo dada,mpaka umeenda speed kwenye maamuzi mazito kama hayo. Muda mwingine kwa sasa unaweza ukafikiria ni huruma imekujia lakini ni hulka ya mapenzi yamuingiapo mtu,anaweza akaamua lolote ili kuonyesha kama hali ya kujali. Hasa nafikiri ni kufuatana na umri wako na kipato ulichonacho. Angalizo mwanamke ni kiumbe kigeugeu,lazima uje kujuta baadae. Kwa hadithi yako tu wewe amekuruka katikati yao hao wapenzi,yaani yuko kwenye mahusiano,akaingia tena kwako kwenye mahusiano,akamfuata ughaibuni,amerudi mawasiriano yapo na wewe,lakini akakushit akapigwa mimba na mwingine,tena akarudi kwako. Si bure kuna kitu kinakusumbua. Jitulize. Na ingekuwa vizuri sana ungekuja hapa kupata ushauri kabla hujamwambia chochote ningekushauri achana na huyo demu kabisa. Wewe amekufanya kivuli chake tu wakati wa jua kali.
Mkuu umetoa ushauri mzuri sana na hii jamaa inaonekana Amempenda demu kwa muda tu maana hana mpango wa Kumuoaa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Genye zitaishaa tuuu ataamka toka usingizinii
 
Back
Top Bottom