Maamuzi Magumu: Nimeamua kuwa baba wa mtoto wa rafiki yangu

Maamuzi Magumu: Nimeamua kuwa baba wa mtoto wa rafiki yangu

NI MAAMUZI MAGUMU LAKINI YAMETOKA MOYONI

Wapendwa wana jukwa hili la mahusiano, mapenzi na urafiki ninawasalimu nyote.

Kama habari ya awali inavyosemaka kuwa nimechukua uamuzi mgumu wa kuwa baba mtarajiwa wa mtoto mtarajiwa wa rafiki yangu kwa hiyari na kwa kupenda mwenyewe kwa sababu nitakazo zieleza hapa chini, lakini kabla ya hizo sababu naomba nitoe ufafanuzi wa urafiki wetu.

Kuna dada mmoja tulikutana ofisi flani ya serikali, ni dada flani mpole kiasi na mcheshi kiaina.
Kwa muda mfupi sana nilivutiwa naye na ikafikia hatua ya kubadilishana naye namba za simu.

Zoezi la huduma lilienda vyema kwa yeye kufanya koneksheni na mtumishi flani na tukafanikiwa kupata hiyo huduma (pass ya kusafiria kwa haraka)

Baada ya hapo hatukuwasiliana haraka japo nilipanga lazima nimtafute.
Ulifika wakati tukaanza kuwasiliana hapa na pale
Na ukafika wakati nikawa nachomekea viutani kuwa ninamhitaji awe rafiki yangu.

Baada ya muda mrefu tulifanikiwa kuwa marafiki hatimaye tukaanza kushirikiana....hapa wakubwa mmeelewa.
Jambo nililompenda zaidi ni mwelewa na mwenye misimamo yake mizuri.
Tuliwekana wazi kuhusu mahusiano yetu, kwake yeye mpenzi wake alikuwa ni raia wa kigeni na anaishi huko kwao huja mara chache hivyo alikuwa anajiandaa kwenda kumtembelea...na walikuwa wamepanga kuoana.

Nini kilitokea kati yao???

Uliwadia wakati wa kusafiri alinijulisha nami nilimpa nafasi ya kuwa mbali naye kimawasiliano ili ajiweke sawa na akili yake iwaze juu ya mpenzi wake.
Alifanikiwa kwenda na kurudi.
Baada ya kurudi mawasiliano yetu yalikuwa hafifu kwani nilikuwa tight sana na kazi.


Baada ya miezi kama mitatu na nusu, tuliwasiliana na kupiga stori nyingi na mwishowe akanijulisha ni mjamzito.
Nikampa hongera zake..
Lakini mawasiliano yakazidi kuwa hafifu zaidi.
Ukafika wakati nikamuuliza maendeleo na mipango ya ndoa na kama wamepanga lini wataanza kuishi pamoja?

JIBU LAKE NDILO HASA LILINIGUSA NA KUAMUA HAYA
Rafiki yangu huyu alinishtua aliponieleza kuwa walitengana na yule mchumba kwani walipokutana ughaibuni alimfanyia visa vingi vibaya mno..sitavitaja
Na alipotua nchini alimtumia ujumbe kuwa asimtafute tena.
Akiwa katika hali ya kutafakari yaliyompata na jinsi gani atasonga mbele...ndipo alianza mahusiano na jamaa flani aliyeanza kumnyemelea kitambo na muda mfupi akapata ujauzito.

Baada ya kupata ujauzito alimjulisha mhusika lakini hakuwa tayari kuukubali bali alimwambia autoe kwani yeye anafamilia lakini aligoma kuutoa na akajiapiza ataulea na kwa vile jamaa ameukataa hata jina litakuwa la upande wa familia yake yaani ubini wa baba.

Habari hii iliniumiza sana na niliwaza haya yafuatayo;
1. Kuwa huyu dada ataishi kwa sonono kubwa
wakati wa ujauzito na atamwathiri mtoto
akiwa tumboni...wazazi wanajua hili
2. Huyu atakayezaliwa hatakuwa na upendo
katika jamii na anaweza kuja kuwa na tabia
ya ajabu

MAAMUZI YANGU
1. Nikamwomba kama naweza kuwa baba wa
wa hiyari na apewe ubini wa jina langu
kama baba alikubali hili kwa mshangao
mkubwa sana
(Haya[emoji116]sijamshirikisha)
2. Nitamhudumia kipindi chote cha ujauzito
3. Nitamfanya mwenye furaha ili kulinda afya
mama na ya mtoto atakaye zaliwa
4. Baada ya mtoto kukua yeye yuko huru kuwa
na maisha yake bila mimi kumwingilia uhuru
wake
5. Nitampa mtoto kiwanja na kumjengea kadri Mungu atakaponiweka hai na kunibariki, ili apate malazi na malezi bora.

Uamuzi huu nimeufanya mwenyewe japo sipangi kuishi na mtoto isipokuwa kumsapoti kimalezi tu.

Baada ya kukubaliana naye hasa kuhusu mtoto kuitwa kwa jina langu kama baba, alifurahi sana kiasi cha kulia machozi na nikamwahidi kuwa siku chache zijazo atakuja mkoa nilipo apate mapumziko ya muda mfupi...sio nyumbani kwangu lakini.
Amemweleza mama yake mzazi na hajaamini kuwa kuna mtu anaweza kufanya maamuzi magumu kiasi hiki.

Pamoja na hayo sijamweleza kwa undani namna nilivyojipanga kumsapoti mtoto hasa kumpa eneo na kumjengea, hili nimebaki nalo nikiomba Mungu aniwezeshe kulitimiza.

Wapendwa wana jf, inaweza kuonekana kuwa uamuzi wangu ni wa kijinga sana lakini kwangu mimi nitaona fahari kubwa kama hili litafaniniwa kwani;
Sisi wanaume tunapaswa kuwa chemichemi ya furaha ya wake zetu, mama, watoto na dada zetu lakini kinyume chake tumekuwa ni chanzo cha machozi.

Tujitahidi sana kuwafanya watu kuwa na furaha badala ya machozi.
Muwe na wakati mwema wote.
Mwenyezi Mungu akakuongoze katika kutimiza azma hii. Hakika u wa kipekee. Nakuombea kheri.
 
NI MAAMUZI MAGUMU LAKINI YAMETOKA MOYONI

Wapendwa wana jukwa hili la mahusiano, mapenzi na urafiki ninawasalimu nyote.

Kama habari ya awali inavyosemaka kuwa nimechukua uamuzi mgumu wa kuwa baba mtarajiwa wa mtoto mtarajiwa wa rafiki yangu kwa hiyari na kwa kupenda mwenyewe kwa sababu nitakazo zieleza hapa chini, lakini kabla ya hizo sababu naomba nitoe ufafanuzi wa urafiki wetu.

Kuna dada mmoja tulikutana ofisi flani ya serikali, ni dada flani mpole kiasi na mcheshi kiaina.
Kwa muda mfupi sana nilivutiwa naye na ikafikia hatua ya kubadilishana naye namba za simu.

Zoezi la huduma lilienda vyema kwa yeye kufanya koneksheni na mtumishi flani na tukafanikiwa kupata hiyo huduma (pass ya kusafiria kwa haraka)

Baada ya hapo hatukuwasiliana haraka japo nilipanga lazima nimtafute.
Ulifika wakati tukaanza kuwasiliana hapa na pale
Na ukafika wakati nikawa nachomekea viutani kuwa ninamhitaji awe rafiki yangu.

Baada ya muda mrefu tulifanikiwa kuwa marafiki hatimaye tukaanza kushirikiana....hapa wakubwa mmeelewa.
Jambo nililompenda zaidi ni mwelewa na mwenye misimamo yake mizuri.
Tuliwekana wazi kuhusu mahusiano yetu, kwake yeye mpenzi wake alikuwa ni raia wa kigeni na anaishi huko kwao huja mara chache hivyo alikuwa anajiandaa kwenda kumtembelea...na walikuwa wamepanga kuoana.

Nini kilitokea kati yao???

Uliwadia wakati wa kusafiri alinijulisha nami nilimpa nafasi ya kuwa mbali naye kimawasiliano ili ajiweke sawa na akili yake iwaze juu ya mpenzi wake.
Alifanikiwa kwenda na kurudi.
Baada ya kurudi mawasiliano yetu yalikuwa hafifu kwani nilikuwa tight sana na kazi.


Baada ya miezi kama mitatu na nusu, tuliwasiliana na kupiga stori nyingi na mwishowe akanijulisha ni mjamzito.
Nikampa hongera zake..
Lakini mawasiliano yakazidi kuwa hafifu zaidi.
Ukafika wakati nikamuuliza maendeleo na mipango ya ndoa na kama wamepanga lini wataanza kuishi pamoja?

JIBU LAKE NDILO HASA LILINIGUSA NA KUAMUA HAYA
Rafiki yangu huyu alinishtua aliponieleza kuwa walitengana na yule mchumba kwani walipokutana ughaibuni alimfanyia visa vingi vibaya mno..sitavitaja
Na alipotua nchini alimtumia ujumbe kuwa asimtafute tena.
Akiwa katika hali ya kutafakari yaliyompata na jinsi gani atasonga mbele...ndipo alianza mahusiano na jamaa flani aliyeanza kumnyemelea kitambo na muda mfupi akapata ujauzito.

Baada ya kupata ujauzito alimjulisha mhusika lakini hakuwa tayari kuukubali bali alimwambia autoe kwani yeye anafamilia lakini aligoma kuutoa na akajiapiza ataulea na kwa vile jamaa ameukataa hata jina litakuwa la upande wa familia yake yaani ubini wa baba.

Habari hii iliniumiza sana na niliwaza haya yafuatayo;
1. Kuwa huyu dada ataishi kwa sonono kubwa
wakati wa ujauzito na atamwathiri mtoto
akiwa tumboni...wazazi wanajua hili
2. Huyu atakayezaliwa hatakuwa na upendo
katika jamii na anaweza kuja kuwa na tabia
ya ajabu

MAAMUZI YANGU
1. Nikamwomba kama naweza kuwa baba wa
wa hiyari na apewe ubini wa jina langu
kama baba alikubali hili kwa mshangao
mkubwa sana
(Haya[emoji116]sijamshirikisha)
2. Nitamhudumia kipindi chote cha ujauzito
3. Nitamfanya mwenye furaha ili kulinda afya
mama na ya mtoto atakaye zaliwa
4. Baada ya mtoto kukua yeye yuko huru kuwa
na maisha yake bila mimi kumwingilia uhuru
wake
5. Nitampa mtoto kiwanja na kumjengea kadri Mungu atakaponiweka hai na kunibariki, ili apate malazi na malezi bora.

Uamuzi huu nimeufanya mwenyewe japo sipangi kuishi na mtoto isipokuwa kumsapoti kimalezi tu.

Baada ya kukubaliana naye hasa kuhusu mtoto kuitwa kwa jina langu kama baba, alifurahi sana kiasi cha kulia machozi na nikamwahidi kuwa siku chache zijazo atakuja mkoa nilipo apate mapumziko ya muda mfupi...sio nyumbani kwangu lakini.
Amemweleza mama yake mzazi na hajaamini kuwa kuna mtu anaweza kufanya maamuzi magumu kiasi hiki.

Pamoja na hayo sijamweleza kwa undani namna nilivyojipanga kumsapoti mtoto hasa kumpa eneo na kumjengea, hili nimebaki nalo nikiomba Mungu aniwezeshe kulitimiza.

Wapendwa wana jf, inaweza kuonekana kuwa uamuzi wangu ni wa kijinga sana lakini kwangu mimi nitaona fahari kubwa kama hili litafaniniwa kwani;
Sisi wanaume tunapaswa kuwa chemichemi ya furaha ya wake zetu, mama, watoto na dada zetu lakini kinyume chake tumekuwa ni chanzo cha machozi.

Tujitahidi sana kuwafanya watu kuwa na furaha badala ya machozi.
Muwe na wakati mwema wote.
Hongera mkuu wanaume km nyie mpo wachache sana,
Kuna mchepuko nilizaa nae kulingana na ukaribu wetu wa kifamilia ilibidi adanganye baba mwenye mimba kaingia mitini, alivyoanza kliniki akamwambia dr mtoto hana baba, dr akamtaka wawe wote na atamuoa na huyo mtoto apewe ubini wake kwa kua ananipenda sana kakataa...

Tumeenda hadi amejifungua yule dr bado kang'ang'ania lengo lake hadi nyumbani kwao kaenda na huduma akawa anatoa japo huyu binti hakutaka akataka kuja kujitambulisha akakataa na akamkasirikia kabisa, kimoyo moyo natamani akubali kwa kua mimi siwezi kumuoa anajua hilo na nmeshindwa kumwambia akubali maana aneza pagawa nkimshauri hivyo, nkikumbuka kauli yake "nipo tayari hata kua mke wa 200 kuliko kuachana na wewe" mi pia nampenda lkn ni family friend sana.

Hii tread yako imenifanya niamni hata yule dr alikua siriazi kweli sio kumchezea.
 
Hongera mkuu wanaume km nyie mpo wachache sana,
Kuna mchepuko nilizaa nae kulingana na ukaribu wetu wa kifamilia ilibidi adanganye baba mwenye mimba kaingia mitini, alivyoanza kliniki akamwambia dr mtoto hana baba, dr akamtaka wawe wote na atamuoa na huyo mtoto apewe ubini wake kwa kua ananipenda sana kakataa...

Tumeenda hadi amejifungua yule dr bado kang'ang'ania lengo lake hadi nyumbani kwao kaenda na huduma akawa anatoa japo huyu binti hakutaka akataka kuja kujitambulisha akakataa na akamkasirikia kabisa, kimoyo moyo natamani akubali kwa kua mimi siwezi kumuoa anajua hilo na nmeshindwa kumwambia akubali maana aneza pagawa nkimshauri hivyo, nkikumbuka kauli yake "nipo tayari hata kua mke wa 200 kuliko kuachana na wewe" mi pia nampenda lkn ni family friend sana.

Hii tread yako imenifanya niamni hata yule dr alikua siriazi kweli sio kumchezea.
Duuh kweli kufa kufaana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hongera mkuu wanaume km nyie mpo wachache sana,
Kuna mchepuko nilizaa nae kulingana na ukaribu wetu wa kifamilia ilibidi adanganye baba mwenye mimba kaingia mitini, alivyoanza kliniki akamwambia dr mtoto hana baba, dr akamtaka wawe wote na atamuoa na huyo mtoto apewe ubini wake kwa kua ananipenda sana kakataa...

Tumeenda hadi amejifungua yule dr bado kang'ang'ania lengo lake hadi nyumbani kwao kaenda na huduma akawa anatoa japo huyu binti hakutaka akataka kuja kujitambulisha akakataa na akamkasirikia kabisa, kimoyo moyo natamani akubali kwa kua mimi siwezi kumuoa anajua hilo na nmeshindwa kumwambia akubali maana aneza pagawa nkimshauri hivyo, nkikumbuka kauli yake "nipo tayari hata kua mke wa 200 kuliko kuachana na wewe" mi pia nampenda lkn ni family friend sana.

Hii tread yako imenifanya niamni hata yule dr alikua siriazi kweli sio kumchezea.
Mkuu unatoa matunzo?
 
Nimekuelewa vema lakini tujue tu
1 Umeoa
2 Unaendeleza mahusiano na biDada au unalea mtoto
3 atakapoelewana na baba wa mtoto na kuamua kumludia nn kitatokea upande wako
4 usiuwashe moto usioweza kuuzima lakini bado nakupongeza kwa maamuzi magumu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu una siasa kaliii!! Mwanao yupo level gani ya elimu???? Kuna kitu unaficha kuhusu hilii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wewe bangi kwa sauti ya Mbasha
 
Hongera kwa uamuzi wako mgumu, pongezi pia kwa kuwa na moyo wa chuma.
 
Sio majungu mkuu ila binafsi ninavojua wanaojielewa hasa WANAUME wanatoa msaada bila kujitangaza kuwa wamesaidia.
Kwa mawazo yangu finyu kitendo cha kutoa taarifa hapa ni kuwa unampenda huyo dada umeleta uzi kisomi kupata ushauri.

USHAURI:kama unampenda oa yaani oa bila kujali ni single mama.
 
Kwani mtoa mada anategemea malipo gani?
Anategemea kuishi na Huyo mtoto maana kasema atamjengea, sasa jiulize huyu mama mtoto kaenda kwa MTU wake nje huko wakagombana kaja huku kabeba mimba ya mwingne hapo yeye hesabu yake haipo hili swala ukilipeleka kwenye familia hata wadogo zako lazima wakufunge kamba wakakupime vizuri.
 
Anategemea kuishi na Huyo mtoto maana kasema atamjengea, sasa jiulize huyu mama mtoto kaenda kwa MTU wake nje huko wakagombana kaja huku kabeba mimba ya mwingne hapo yeye hesabu yake haipo hili swala ukilipeleka kwenye familia hata wadogo zako lazima wakufunge kamba wakakupime vizuri.
Wapi amesema anataka kuishi nae? Muwe mnasoma vizuri
 
Back
Top Bottom