Maamuzi Magumu: Nimeamua kuwa baba wa mtoto wa rafiki yangu

Maamuzi Magumu: Nimeamua kuwa baba wa mtoto wa rafiki yangu

_Mathayo 6:2-4_
“Basi, unapomsaidia maskini, usijitangaze. Usifanye kama wanafiki wafanyavyo katika masunagogi na njiani ili watu wawasifu. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata tuzo lao. Lakini wewe unapomsaidia maskini, fanya hivyo kwamba hata mwandani wako asijue ufanyalo. Toa msaada wako kwa siri, na Baba yako aonaye yaliyofichika, atakutuza.
Asee nimeandika comment inayoendana na maneno haya! Ajab
 
Wengi tunatamani kuwapa furaha hawa viumbe lakini malipo yao utbaki mdomo wazi ila kwa vile umesema anajielewa na umejihakikishia tunaomba Muumba awe nawe
Mkuu sihitaji shukrani, pia sio omba omba huyu dada kila kitu mimi nilikuwa nikifanya kwa hiari
 
Kwahiyo wewe ndo umeamua ujichukulie hilo kahaba jumla jumla

Ulipendezeshe masela waendelee kulitavuna

Nini hujui kutongoza au
Usijali hata kama yupo malaya hapo nyumbani kweni mwenye hali hii niletee nimpendezeshe kwa msaada wa Mungu na hatanisahau
Khantwe
 
Usituchoshe na single maza wako....ye mwenyewe anakushangaa...ukute umekaa full miaihu kutongoza huwezi umeenda chukua makombo ya watu...unadhan iamaa atakuachia kitoto kama ganda la ndizi ...Lea tutafuata ak8kua
 
Duuh kweli kufa kufaana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sana mkuu, binti mwenyewe kisu hasa afu ni wife matirio kweli, natamani angepata mume akaolewa akafurahia maisha ya mume sema ndio ivo kunguru nshampitia tena.
 
Usituchoshe na single maza wako....ye mwenyewe anakushangaa...ukute umekaa full miaihu kutongoza huwezi umeenda chukua makombo ya watu...unadhan iamaa atakuachia kitoto kama ganda la ndizi ...Lea tutafuata ak8kua
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]niletee dadako dakika chache tu atakwambia mimi ni mwanaume wa namna gani.
Ukinifahamu hutathubutu kumwacha mpenzi wako hata apite karibu yangu.
Nina sumaku mkuu
 
Sana mkuu, binti mwenyewe kisu hasa afu ni wife matirio kweli, natamani angepata mume akaolewa akafurahia maisha ya mume sema ndio ivo kunguru nshampitia tena.
Kunguru kweli wewe[emoji38][emoji38][emoji38]
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]niletee dadako dakika chache tu atakwambia mimi ni mwanaume wa namna gani.
Ukinifahamu hutathubutu kumwacha mpenzi wako hata apite karibu yangu.
Nina sumaku mkuu
We jamaa huwezi kua serious..na hizo Ni element za. Kishoga....mwanaume unajisifia kuvutia..wakati unakaa na mwanamke unaloweka Hadi wenzio wanakuja kukusaidia kutia mimba...ukiendeleza hizo tabia huyo mwanamke atakutia dildo
 
Kunguru kweli wewe[emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mi napita kwa tamaa za kiuanaume wenyewe wanaachia na ya mtoto na wanafurahia hilo mi nifanyeje sasa[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom