Maamuzi Magumu: Nimeamua kuwa baba wa mtoto wa rafiki yangu

Jichanhanyee ndo utajuaa hujuiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Utakulaa mitamaaa
@yna2 ni rafiki yangu hahitaji kujichanganya.
Anajua mapito wapitiayo wanawake
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mi napita kwa tamaa za kiuanaume wenyewe wanaachia na ya mtoto na wanafurahia hilo mi nifanyeje sasa[emoji23][emoji23]
Lea mtoto bro
 
We jamaa huwezi kua serious..na hizo Ni element za. Kishoga....mwanaume unajisifia kuvutia..wakati unakaa na mwanamke unaloweka Hadi wenzio wanakuja kukusaidia kutia mimba...ukiendeleza hizo tabia huyo mwanamke atakutia dildo
Mdomo ni wako tukana tu mkuu
 
Malaika bado wapo hapa duniani[emoji7][emoji7]
We Kaka ubarikiwe mpaka ushangae.
Rafiki yangu yna2 mimi sina hata chembe ya umalaika, bali nilijaribu kuvaa viatu vya mwingine anavyofeel, vikanipwaya...najaribu kufanya kilicho ndani ya uwezo wangu huu mdogo
 
Rafiki yangu yna2 mimi sina hata chembe ya umalaika, bali nilijaribu kuvaa viatu vya mwingine anavyofeel, vikanipwaya...najaribu kufanya kilicho ndani ya uwezo wangu huu mdogo
Hata ivyo unafanya Jambo jema
 
1. Msichana ana boyfriend wake ukawa unamhudumia akiwa hapa dar boyfriend nje ya nchi.umeshindwa mtia mimba ulikuwa unashika mapembe.anakwambia usinitafute naenda kwa bwana angu...unasema haya - huu ni ubwege.

2. Kaenda kagombana na jamaa yake huko katua tu dar wanaume wamekamata na kuanza kumbwenga.wakamtia mimba - wewe hukuweza mtia mimba miezi yote unapiga naye love stories tu - huu ni ukosefu wa nguvu za kiume.

3. Kapigwa chini tena na jamaa wapili.wewe unapewa jukumu la kumchagulia mtoto jina na kulea sababu huzalishi.na unakuja jitapa hapa- huu ni ubwege plus plus na uthibitisho una shida kimwili.

Wanaume tunakusomaaaaaa..... Tunasema hiiiiiiiiiiii. Wewe ni YEYE.
 
Nikujibu sawa uchizi wako?
Hivi kila demu ukilala naye lazima umtie mimba?
Nani amekwambia mimi sina uzao?

Hivi kwasababu chizi unaishi dar, unafikiri wote ni wakazi wa dar?
Bado una nyeg..e za kitoto
 

Alipoenda kwa jamaa yake nani alizingua demu au mwanaume? kama demu alizingua basi pakaa mikosi
 
Uamuzi huu najua sio wa kawaida, niko tayari kwa changamoto zote siogopi, ili nitimize amani ya moyo wangu.
Kuna mambo ni vigumu kueleweka na jamii
Yaani huogopi kuvunja familia yako kwa sababu ya uzinzi? Au sijaelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…