Maamuzi Magumu: Nimeamua kuwa baba wa mtoto wa rafiki yangu

Maamuzi Magumu: Nimeamua kuwa baba wa mtoto wa rafiki yangu

Ukisoma vizuri hiyo stori utagundua kabisa huyo dada ni malaya wa kawaida, amekuwa akidanga kwa wanaume watatu kwa mpigo. Na huenda wote watatu mmekuwa mkila mzigo kavu kavu.
Ushauri wangu nenda kwanza mkapime ngoma.

Hilo la kulea mimba ya kahaba utajua wewe mwenyewe, ila tambua kuwa kusema (kuahidi) ni rahisi sana, lakini kutekeleza ndio mtihani. Ngoja siku umchoke huyo mwanamke au vyuma vikaze kwa upande wako, ndio utaelewa hili ninalolisema.

Binafsi sikushauri kulea hiyo mimba. Pambana na hali yako, na yeye apambane na hali yake. Lea mkeo, watoto wako na ndugu zako tu, wapitaji wengine kaa nao mbali.
 
_Mathayo 6:2-4_
“Basi, unapomsaidia maskini, usijitangaze. Usifanye kama wanafiki wafanyavyo katika masunagogi na njiani ili watu wawasifu. Kweli nawaambieni, hao wamekwisha pata tuzo lao. Lakini wewe unapomsaidia maskini, fanya hivyo kwamba hata mwandani wako asijue ufanyalo. Toa msaada wako kwa siri, na Baba yako aonaye yaliyofichika, atakutuza.
Verse
 
NI MAAMUZI MAGUMU LAKINI YAMETOKA MOYONI

Wapendwa wana jukwa hili la mahusiano, mapenzi na urafiki ninawasalimu nyote.

Kama habari ya awali inavyosemaka kuwa nimechukua uamuzi mgumu wa kuwa baba mtarajiwa wa mtoto mtarajiwa wa rafiki yangu kwa hiyari na kwa kupenda mwenyewe kwa sababu nitakazo zieleza hapa chini, lakini kabla ya hizo sababu naomba nitoe ufafanuzi wa urafiki wetu.

Kuna dada mmoja tulikutana ofisi flani ya serikali, ni dada flani mpole kiasi na mcheshi kiaina.
Kwa muda mfupi sana nilivutiwa naye na ikafikia hatua ya kubadilishana naye namba za simu.

Zoezi la huduma lilienda vyema kwa yeye kufanya koneksheni na mtumishi flani na tukafanikiwa kupata hiyo huduma (pass ya kusafiria kwa haraka)

Baada ya hapo hatukuwasiliana haraka japo nilipanga lazima nimtafute.
Ulifika wakati tukaanza kuwasiliana hapa na pale
Na ukafika wakati nikawa nachomekea viutani kuwa ninamhitaji awe rafiki yangu.

Baada ya muda mrefu tulifanikiwa kuwa marafiki hatimaye tukaanza kushirikiana....hapa wakubwa mmeelewa.
Jambo nililompenda zaidi ni mwelewa na mwenye misimamo yake mizuri.
Tuliwekana wazi kuhusu mahusiano yetu, kwake yeye mpenzi wake alikuwa ni raia wa kigeni na anaishi huko kwao huja mara chache hivyo alikuwa anajiandaa kwenda kumtembelea...na walikuwa wamepanga kuoana.

Nini kilitokea kati yao???

Uliwadia wakati wa kusafiri alinijulisha nami nilimpa nafasi ya kuwa mbali naye kimawasiliano ili ajiweke sawa na akili yake iwaze juu ya mpenzi wake.
Alifanikiwa kwenda na kurudi.
Baada ya kurudi mawasiliano yetu yalikuwa hafifu kwani nilikuwa tight sana na kazi.


Baada ya miezi kama mitatu na nusu, tuliwasiliana na kupiga stori nyingi na mwishowe akanijulisha ni mjamzito.
Nikampa hongera zake..
Lakini mawasiliano yakazidi kuwa hafifu zaidi.
Ukafika wakati nikamuuliza maendeleo na mipango ya ndoa na kama wamepanga lini wataanza kuishi pamoja?

JIBU LAKE NDILO HASA LILINIGUSA NA KUAMUA HAYA
Rafiki yangu huyu alinishtua aliponieleza kuwa walitengana na yule mchumba kwani walipokutana ughaibuni alimfanyia visa vingi vibaya mno..sitavitaja
Na alipotua nchini alimtumia ujumbe kuwa asimtafute tena.
Akiwa katika hali ya kutafakari yaliyompata na jinsi gani atasonga mbele...ndipo alianza mahusiano na jamaa flani aliyeanza kumnyemelea kitambo na muda mfupi akapata ujauzito.

Baada ya kupata ujauzito alimjulisha mhusika lakini hakuwa tayari kuukubali bali alimwambia autoe kwani yeye anafamilia lakini aligoma kuutoa na akajiapiza ataulea na kwa vile jamaa ameukataa hata jina litakuwa la upande wa familia yake yaani ubini wa baba.

Habari hii iliniumiza sana na niliwaza haya yafuatayo;
1. Kuwa huyu dada ataishi kwa sonono kubwa
wakati wa ujauzito na atamwathiri mtoto
akiwa tumboni...wazazi wanajua hili
2. Huyu atakayezaliwa hatakuwa na upendo
katika jamii na anaweza kuja kuwa na tabia
ya ajabu

MAAMUZI YANGU
1. Nikamwomba kama naweza kuwa baba wa
wa hiyari na apewe ubini wa jina langu
kama baba alikubali hili kwa mshangao
mkubwa sana
(Haya[emoji116]sijamshirikisha)
2. Nitamhudumia kipindi chote cha ujauzito
3. Nitamfanya mwenye furaha ili kulinda afya
mama na ya mtoto atakaye zaliwa
4. Baada ya mtoto kukua yeye yuko huru kuwa
na maisha yake bila mimi kumwingilia uhuru
wake
5. Nitampa mtoto kiwanja na kumjengea kadri Mungu atakaponiweka hai na kunibariki, ili apate malazi na malezi bora.

Uamuzi huu nimeufanya mwenyewe japo sipangi kuishi na mtoto isipokuwa kumsapoti kimalezi tu.

Baada ya kukubaliana naye hasa kuhusu mtoto kuitwa kwa jina langu kama baba, alifurahi sana kiasi cha kulia machozi na nikamwahidi kuwa siku chache zijazo atakuja mkoa nilipo apate mapumziko ya muda mfupi...sio nyumbani kwangu lakini.
Amemweleza mama yake mzazi na hajaamini kuwa kuna mtu anaweza kufanya maamuzi magumu kiasi hiki.

Pamoja na hayo sijamweleza kwa undani namna nilivyojipanga kumsapoti mtoto hasa kumpa eneo na kumjengea, hili nimebaki nalo nikiomba Mungu aniwezeshe kulitimiza.

Wapendwa wana jf, inaweza kuonekana kuwa uamuzi wangu ni wa kijinga sana lakini kwangu mimi nitaona fahari kubwa kama hili litafaniniwa kwani;
Sisi wanaume tunapaswa kuwa chemichemi ya furaha ya wake zetu, mama, watoto na dada zetu lakini kinyume chake tumekuwa ni chanzo cha machozi.

Tujitahidi sana kuwafanya watu kuwa na furaha badala ya machozi.
Muwe na wakati mwema wote.

Tujitahidi sana Kuwa fanya watu wewe na Furaha Baraka ya machozi, Sasa wewe utafanywa wa machozi, utanambia huko mbeleni!
 
Hongera mno kaka Mungu akuongoze utimize uliyoahidi. Angalia usije mfanya huyo binti ajute zaidi. Kwa kuwa ulishaonja kuwa makini kama hutachanganya hisani na mapenzi.
 
Mkuu hongera sana kwa uamuzi huo.
USHAURI WANGU!

Kama umeamua kulea mimba hadi mtoto kumtunza hadi kumpa kiwanja n.k ,hilo sawa ila hakikisha unafanya yote hayo pasipo kutarajia shukrani kutoka.kwa mtu yoyote hapa duniani.

Iwe kwa huyo Dada,wazazi wake,au kwa ndugu Jamaa na marafiki toka pande zote.iwe kwako au kwake.Fanya kwa moyo wa kujitoa kama kulea yatima.na usitegemee kusikia hata neno hata asante kwa mtoto.

Pia,achana na swala la mtoto kuitwa ubini wa jina lako,...baba yake yupo ataitwa kwa jina la babaye,au kama ikishindikana watoto waliokataliwa na baba wakati wa mimba huwa wanapewa majina ya wajomba zao.au babu zao upande wa mama.achana na habari za kumpa jina lako.

Kingine naomba huyo Dada ,umwambia ukweli kwamba utamuhudumia tu kadiri ya uwezo wako ...pale utakapokuwa umeshindwa kuhudumia gharama na vitu kama hivyo...ukimwambia awe muelewa...asianze kusema kwa kulaumu kuwa "mbona ulisema utanisaidia...ona sasa hivi nateseka kwa ahadi zako feki...si bora ungesema tu kuwa hutaweza kunisaidia." Mwisho wa kunukuu.

Mwambie utamsaidia kwa kadiri ya uwezo wako...na kadiri ya kipato chako...sio kwamba 100% akutegemee...,mwambie angalau kwenye shida mfano inahitaji 10,000/= utaweza kutoa hata 3000/= ,nyingine naye awe tayari kutafuta,ila ikitokea unayo yote hiyo 10,000/= unampa..ila isiwe ndo uhakika kuwa unamsaidia shida zake zote 100%,hapana mpe tahadhari hiyo....hapo ni kuepuka lawama pale utakaposhindwa kuhudumia 100% huko mbele.

Maana maisha haya,.. Dah! Mungu ndo anajua,Leo unaweza ukawa uko freshi kiuchumi ila ikatokea lakutokea...kila.kitu kikagoma,kwa hiyo mwandae kwa hiyo hali ingawa huwa hatuombei matatizo ya kiuchumi yatokee...ila bora kuwa na utayari huo.

Mwisho hakikisha kweli Mkuu...umeamua kusaidia tu..usije ukaingia mkenge wa kuanza kula tunda taratibu tena...maana ukiendelea kula hapo tayari utakuwa umejipa majukumu halali ya kuhudumia pasipo udhuru wowote.,acha kabisa kula tunda,dhamiria kweli kutoa msaada tu.mambo mengine achana nayo.

Zaidi ya yote ni jambo njema,ulilofanya,sio mbaya kabisa,sema jamii yetu haijawahi kuona wala kuzoea mambo adimu kabisa na la kipekee kama hilo likifanyika ndo maana unaona mawazo hasi ni mengi...ila jamii yetu kiukweli inahitaji watu wengi wa aina kama yako,ili kupunguza vifo au utoaji mimba unaopelekea kuua kiumbe kisicho na hatia.

Fikiria huyo Dada angefanya maamuzi yapi kama usingempa msaada kama huo?je angejiua? Angetoa mimba? Je angebaki na kinyongo na wanaume wote...kutuita wote ni mbwa? Kama msemo wao walio wengi? Hatujui angefanyaje? umesaidia kwa kiasi kizuri sana kwa huyo Dada. HONGERA SANA MKUU.
 
Na kupitia hili la huyo mtoto mkataliwa utabarikiwa uingiapo na utokapo. Kifupi soma Kumb 28:1-13 kama wewe ni a believing Christian. Namba mumpatie jina zuri la kuashiria mafanikio/bahati/FURAHA.
Amen
 
Bahati mbaya ni kuwa mtoto akishazaliwa na kukua Mama anarudi kwa mzazi mwenzie na kubeba mimba nyingine.
Hawa viumbe sio wa kuwaonea huruma kiasi hicho.
Kama mlishakuwa na uhusiano alishindwa Nini kukutafuta alivyopata stress huko ng'ambo!?
Si angerudisha majeshi kwako?
Tunaisha mikoa tofauti mkuu, pia huyo mwenye mtoto anafamilia.
Wakirudiana ni maamuzi yao wala siwazuii mkuu
 
Mkuu hongera sana kwa uamuzi huo.
USHAURI WANGU!

Kama umeamua kulea mimba hadi mtoto kumtunza hadi kumpa kiwanja n.k ,hilo sawa ila hakikisha unafanya yote hayo pasipo kutarajia shukrani kutoka.kwa mtu yoyote hapa duniani.

Iwe kwa huyo Dada,wazazi wake,au kwa ndugu Jamaa na marafiki toka pande zote.iwe kwako au kwake.Fanya kwa moyo wa kujitoa kama kulea yatima.na usitegemee kusikia hata neno hata asante kwa mtoto.

Pia,achana na swala la mtoto kuitwa ubini wa jina lako,...baba yake yupo ataitwa kwa jina la babaye,au kama ikishindikana watoto waliokataliwa na baba wakati wa mimba huwa wanapewa majina ya wajomba zao.au babu zao upande wa mama.achana na habari za kumpa jina lako.

Kingine naomba huyo Dada ,umwambia ukweli kwamba utamuhudumia tu kadiri ya uwezo wako ...pale utakapokuwa umeshindwa kuhudumia gharama na vitu kama hivyo...ukimwambia awe muelewa...asianze kusema kwa kulaumu kuwa "mbona ulisema utanisaidia...ona sasa hivi nateseka kwa ahadi zako feki...si bora ungesema tu kuwa hutaweza kunisaidia." Mwisho wa kunukuu.

Mwambie utamsaidia kwa kadiri ya uwezo wako...na kadiri ya kipato chako...sio kwamba 100% akutegemee...,mwambie angalau kwenye shida mfano inahitaji 10,000/= utaweza kutoa hata 3000/= ,nyingine naye awe tayari kutafuta,ila ikitokea unayo yote hiyo 10,000/= unampa..ila isiwe ndo uhakika kuwa unamsaidia shida zake zote 100%,hapana mpe tahadhari hiyo....hapo ni kuepuka lawama pale utakaposhindwa kuhudumia 100% huko mbele.

Maana maisha haya,.. Dah! Mungu ndo anajua,Leo unaweza ukawa uko freshi kiuchumi ila ikatokea lakutokea...kila.kitu kikagoma,kwa hiyo mwandae kwa hiyo hali ingawa huwa hatuombei matatizo ya kiuchumi yatokee...ila bora kuwa na utayari huo.

Mwisho hakikisha kweli Mkuu...umeamua kusaidia tu..usije ukaingia mkenge wa kuanza kula tunda taratibu tena...maana ukiendelea kula hapo tayari utakuwa umejipa majukumu halali ya kuhudumia pasipo udhuru wowote.,acha kabisa kula tunda,dhamiria kweli kutoa msaada tu.mambo mengine achana nayo.

Zaidi ya yote ni jambo njema,ulilofanya,sio mbaya kabisa,sema jamii yetu haijawahi kuona wala kuzoea mambo adimu kabisa na la kipekee kama hilo likifanyika ndo maana unaona mawazo hasi ni mengi...ila jamii yetu kiukweli inahitaji watu wengi wa aina kama yako,ili kupunguza vifo au utoaji mimba unaopelekea kuua kiumbe kisicho na hatia.

Fikiria huyo Dada angefanya maamuzi yapi kama usingempa msaada kama huo?je angejiua? Angetoa mimba? Je angebaki na kinyongo na wanaume wote...kutuita wote ni mbwa? Kama msemo wao walio wengi? Hatujui angefanyaje? umesaidia kwa kiasi kizuri sana kwa huyo Dada. HONGERA SANA MKUU.
Ushauri mzuri
 
Hongera mno kaka Mungu akuongoze utimize uliyoahidi. Angalia usije mfanya huyo binti ajute zaidi. Kwa kuwa ulishaonja kuwa makini kama hutachanganya hisani na mapenzi.
Nitazingatia hilo asante
 
Tujitahidi sana Kuwa fanya watu wewe na Furaha Baraka ya machozi, Sasa wewe utafanywa wa machozi, utanambia huko mbeleni!
Usiwe mwoga watu kukutenda mkuu, Mungu yupo
 
Ukisoma vizuri hiyo stori utagundua kabisa huyo dada ni malaya wa kawaida, amekuwa akidanga kwa wanaume watatu kwa mpigo. Na huenda wote watatu mmekuwa mkila mzigo kavu kavu.
Ushauri wangu nenda kwanza mkapime ngoma.

Hilo la kulea mimba ya kahaba utajua wewe mwenyewe, ila tambua kuwa kusema (kuahidi) ni rahisi sana, lakini kutekeleza ndio mtihani. Ngoja siku umchoke huyo mwanamke au vyuma vikaze kwa upande wako, ndio utaelewa hili ninalolisema.

Binafsi sikushauri kulea hiyo mimba. Pambana na hali yako, na yeye apambane na hali yake. Lea mkeo, watoto wako na ndugu zako tu, wapitaji wengine kaa nao mbali.
Ingekuwa vigumu mno asiwepo mchangiaji mwenye mawazo kama yako.
Huyu dada hajawahi kuwa tegemezi kwangu wala mpiga vibomu, alikuwa akitumia hata nauli yake kunifuata.
 
NI MAAMUZI MAGUMU LAKINI YAMETOKA MOYONI

Wapendwa wana jukwa hili la mahusiano, mapenzi na urafiki ninawasalimu nyote.

Kama habari ya awali inavyosemaka kuwa nimechukua uamuzi mgumu wa kuwa baba mtarajiwa wa mtoto mtarajiwa wa rafiki yangu kwa hiyari na kwa kupenda mwenyewe kwa sababu nitakazo zieleza hapa chini, lakini kabla ya hizo sababu naomba nitoe ufafanuzi wa urafiki wetu.

Kuna dada mmoja tulikutana ofisi flani ya serikali, ni dada flani mpole kiasi na mcheshi kiaina.
Kwa muda mfupi sana nilivutiwa naye na ikafikia hatua ya kubadilishana naye namba za simu.

Zoezi la huduma lilienda vyema kwa yeye kufanya koneksheni na mtumishi flani na tukafanikiwa kupata hiyo huduma (pass ya kusafiria kwa haraka)

Baada ya hapo hatukuwasiliana haraka japo nilipanga lazima nimtafute.
Ulifika wakati tukaanza kuwasiliana hapa na pale
Na ukafika wakati nikawa nachomekea viutani kuwa ninamhitaji awe rafiki yangu.

Baada ya muda mrefu tulifanikiwa kuwa marafiki hatimaye tukaanza kushirikiana....hapa wakubwa mmeelewa.
Jambo nililompenda zaidi ni mwelewa na mwenye misimamo yake mizuri.
Tuliwekana wazi kuhusu mahusiano yetu, kwake yeye mpenzi wake alikuwa ni raia wa kigeni na anaishi huko kwao huja mara chache hivyo alikuwa anajiandaa kwenda kumtembelea...na walikuwa wamepanga kuoana.

Nini kilitokea kati yao???

Uliwadia wakati wa kusafiri alinijulisha nami nilimpa nafasi ya kuwa mbali naye kimawasiliano ili ajiweke sawa na akili yake iwaze juu ya mpenzi wake.
Alifanikiwa kwenda na kurudi.
Baada ya kurudi mawasiliano yetu yalikuwa hafifu kwani nilikuwa tight sana na kazi.


Baada ya miezi kama mitatu na nusu, tuliwasiliana na kupiga stori nyingi na mwishowe akanijulisha ni mjamzito.
Nikampa hongera zake..
Lakini mawasiliano yakazidi kuwa hafifu zaidi.
Ukafika wakati nikamuuliza maendeleo na mipango ya ndoa na kama wamepanga lini wataanza kuishi pamoja?

JIBU LAKE NDILO HASA LILINIGUSA NA KUAMUA HAYA
Rafiki yangu huyu alinishtua aliponieleza kuwa walitengana na yule mchumba kwani walipokutana ughaibuni alimfanyia visa vingi vibaya mno..sitavitaja
Na alipotua nchini alimtumia ujumbe kuwa asimtafute tena.
Akiwa katika hali ya kutafakari yaliyompata na jinsi gani atasonga mbele...ndipo alianza mahusiano na jamaa flani aliyeanza kumnyemelea kitambo na muda mfupi akapata ujauzito.

Baada ya kupata ujauzito alimjulisha mhusika lakini hakuwa tayari kuukubali bali alimwambia autoe kwani yeye anafamilia lakini aligoma kuutoa na akajiapiza ataulea na kwa vile jamaa ameukataa hata jina litakuwa la upande wa familia yake yaani ubini wa baba.

Habari hii iliniumiza sana na niliwaza haya yafuatayo;
1. Kuwa huyu dada ataishi kwa sonono kubwa
wakati wa ujauzito na atamwathiri mtoto
akiwa tumboni...wazazi wanajua hili
2. Huyu atakayezaliwa hatakuwa na upendo
katika jamii na anaweza kuja kuwa na tabia
ya ajabu

MAAMUZI YANGU
1. Nikamwomba kama naweza kuwa baba wa
wa hiyari na apewe ubini wa jina langu
kama baba alikubali hili kwa mshangao
mkubwa sana
(Haya[emoji116]sijamshirikisha)
2. Nitamhudumia kipindi chote cha ujauzito
3. Nitamfanya mwenye furaha ili kulinda afya
mama na ya mtoto atakaye zaliwa
4. Baada ya mtoto kukua yeye yuko huru kuwa
na maisha yake bila mimi kumwingilia uhuru
wake
5. Nitampa mtoto kiwanja na kumjengea kadri Mungu atakaponiweka hai na kunibariki, ili apate malazi na malezi bora.

Uamuzi huu nimeufanya mwenyewe japo sipangi kuishi na mtoto isipokuwa kumsapoti kimalezi tu.

Baada ya kukubaliana naye hasa kuhusu mtoto kuitwa kwa jina langu kama baba, alifurahi sana kiasi cha kulia machozi na nikamwahidi kuwa siku chache zijazo atakuja mkoa nilipo apate mapumziko ya muda mfupi...sio nyumbani kwangu lakini.
Amemweleza mama yake mzazi na hajaamini kuwa kuna mtu anaweza kufanya maamuzi magumu kiasi hiki.

Pamoja na hayo sijamweleza kwa undani namna nilivyojipanga kumsapoti mtoto hasa kumpa eneo na kumjengea, hili nimebaki nalo nikiomba Mungu aniwezeshe kulitimiza.

Wapendwa wana jf, inaweza kuonekana kuwa uamuzi wangu ni wa kijinga sana lakini kwangu mimi nitaona fahari kubwa kama hili litafaniniwa kwani;
Sisi wanaume tunapaswa kuwa chemichemi ya furaha ya wake zetu, mama, watoto na dada zetu lakini kinyume chake tumekuwa ni chanzo cha machozi.

Tujitahidi sana kuwafanya watu kuwa na furaha badala ya machozi.
Muwe na wakati mwema wote.
Naona umeandika kwa hisia na hisia ndio zimekutawala mpaka sasa hv, kumsaidia ni jambo jema ila naona hata huyo dada hakuwa na upendo wa kweli kadri ulivyobeba tatizo lake, bora huyo jamaa yake wa nje ndio angekua muhusika ningekushauri ila ni jamaa mwngine baada ya kugombana na mchumba wake, ina maana alivyorudi ikiwa alikua anakupenda angekutafuta akueleze yaliyotokea sio kuanza kugawa kwingne kirahs hvyo au mlikua mnamega wote toka kitambo, naona huyo manzi ana usanii usiacha alama, pole sana babu..tuliza kwanza munkari, sasa kiwanja cha nini bora ungesema umpe elimu bora huyo dogo, naona umeona kiwanja deal umerudia mara kadhaa.
 
Sio kweli kwamba umeamua kumsaidia kuulea ujauzito na mtoto,na kuwa baba wa mtoto kwa hiari kama ulivyosema,ila kuna (mhemko-sijapata neno zuri kwenye hili badala yake) na umeenda nalo speed bila kulifikiria kiundani. Kuna uwezekano wa kujutia uamuzi wako baadae. (Japo sikupingi kwa uamuzi wako). Hasa hasa ninachokiona hapo uko mapenzini kwa huyo dada,mpaka umeenda speed kwenye maamuzi mazito kama hayo. Muda mwingine kwa sasa unaweza ukafikiria ni huruma imekujia lakini ni hulka ya mapenzi yamuingiapo mtu,anaweza akaamua lolote ili kuonyesha kama hali ya kujali. Hasa nafikiri ni kufuatana na umri wako na kipato ulichonacho. Angalizo mwanamke ni kiumbe kigeugeu,lazima uje kujuta baadae. Kwa hadithi yako tu wewe amekuruka katikati yao hao wapenzi,yaani yuko kwenye mahusiano,akaingia tena kwako kwenye mahusiano,akamfuata ughaibuni,amerudi mawasiriano yapo na wewe,lakini akakushit akapigwa mimba na mwingine,tena akarudi kwako. Si bure kuna kitu kinakusumbua. Jitulize. Na ingekuwa vizuri sana ungekuja hapa kupata ushauri kabla hujamwambia chochote ningekushauri achana na huyo demu kabisa. Wewe amekufanya kivuli chake tu wakati wa jua kali.
Hisia zimemtawala, nimeona hilo pia
 
Sio kweli kwamba umeamua kumsaidia kuulea ujauzito na mtoto,na kuwa baba wa mtoto kwa hiari kama ulivyosema,ila kuna (mhemko-sijapata neno zuri kwenye hili badala yake) na umeenda nalo speed bila kulifikiria kiundani. Kuna uwezekano wa kujutia uamuzi wako baadae. (Japo sikupingi kwa uamuzi wako). Hasa hasa ninachokiona hapo uko mapenzini kwa huyo dada,mpaka umeenda speed kwenye maamuzi mazito kama hayo. Muda mwingine kwa sasa unaweza ukafikiria ni huruma imekujia lakini ni hulka ya mapenzi yamuingiapo mtu,anaweza akaamua lolote ili kuonyesha kama hali ya kujali. Hasa nafikiri ni kufuatana na umri wako na kipato ulichonacho. Angalizo mwanamke ni kiumbe kigeugeu,lazima uje kujuta baadae. Kwa hadithi yako tu wewe amekuruka katikati yao hao wapenzi,yaani yuko kwenye mahusiano,akaingia tena kwako kwenye mahusiano,akamfuata ughaibuni,amerudi mawasiriano yapo na wewe,lakini akakushit akapigwa mimba na mwingine,tena akarudi kwako. Si bure kuna kitu kinakusumbua. Jitulize. Na ingekuwa vizuri sana ungekuja hapa kupata ushauri kabla hujamwambia chochote ningekushauri achana na huyo demu kabisa. Wewe amekufanya kivuli chake tu wakati wa jua kali.
Hisia zimemtawala, nimeona hilo pia
 
Ma single. Maza wengi diniani wanasumbuliwa na nyumbani za kupanga. Mi staki umpe upendo kiviiiile, maana una wengi wa kuwapenda ikiwemo familiya yako na mama yako,na wengine wajao, Hata ukikutana ma Mimi leo huyo mbona utamsahau!😁 kabla hilo halijatokea wewe MPE nyumbani tu Mungu atakubariki.

Maisha ya usingle mother ni kama kamali, naona umejitoa hadi raha, lakini nature ya usingle mother unaweza ifunye hiyo furaha ulopanga kutoweka, mtoto akizaliwa huwa ni mtamu, baba yake lazima aanze uchokozi, weekend ukiwa kwa mkeo, huyo Dada akakupigia hupokei,unaogopa kuharibu kwa mkeo, Dada mchepuko anapata upweke na hasira, Mara SMS ya mzazi mwenzie inaingia " najua unanichukia ila mm nakupenda, Mke wangu ndo kikwazo, plz njoo umchukulie mtoto matumizi, plz Niko chini ya figo zako"😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😃
 
Ma single. Maza wengi diniani wanasumbuliwa na nyumbani za kupanga. Mi staki umpe upendo kiviiiile, maana una wengi wa kuwapenda ikiwemo familiya yako na mama yako,na wengine wajao, Hata ukikutana ma Mimi leo huyo mbona utamsahau![emoji16] kabla hilo halijatokea wewe MPE nyumbani tu Mungu atakubariki.

Maisha ya usingle mother ni kama kamali, naona umejitoa hadi raha, lakini nature ya usingle mother unaweza ifunye hiyo furaha ulopanga kutoweka, mtoto akizaliwa huwa ni mtamu, baba yake lazima aanze uchokozi, weekend ukiwa kwa mkeo, huyo Dada akakupigia hupokei,unaogopa kuharibu kwa mkeo, Dada mchepuko anapata upweke na hasira, Mara SMS ya mzazi mwenzie inaingia " najua unanichukia ila mm nakupenda, Mke wangu ndo kikwazo, plz njoo umchukulie mtoto matumizi, plz Niko chini ya figo zako"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]
Sioni kama kutakuwa na tatizo maana mtoa mada hajasema kuwa atakuwa mke wa pili, amesema atampa uhuru kwenye upande wa kimahusiano
 
Back
Top Bottom