Vizuri.Maamuzi ni ya pamoja.... Binafsi nilikuwa nataka wanne, lakini mwenzangu alitaka wawili ... Tukafikia watatu na ndo tunao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usijali Dada, nikisha solve la Mr " I make the money and I make the rule" [emoji23][emoji23]nitakuja na kwako.
Relief Mirzska
Kuzaa kunamfanya mwanamke achoke Mkuu??Wote wawili ingawa mimi napenda wawili Sitaki mke wangu achoke sababu ya kuzaa , outing nitatoka na Nani[emoji3][emoji3].SI wengine tunapenda sifa unatoka outing na mwanamke yupo in shape anavutia sifa na pata Mimi kidume...
Mke wa jamaa ni mashine safiiiiiiii ndo nataka hivyo[emoji23][emoji23][emoji23], heshima.
Typing....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaume wa mpakani tuwasamehe tu mama maana hata huyo mmoja ni shughuli hivyo maamuzi wanayo wanawake.
Naam nafuatilia mjadala huu kwa makini....ila kwa hili muamuzi ni pesa tu. Si mwanamke wala mwanamume
@khantwe huyuhuyu wa Kaboom[emoji134][emoji134]Uzuri kipenzi changu Khantwe ameshakubali tuunde kikosi kazi basi halina shida hilo. Mwendo utakuwa kupishanisha mwaka mwaka ili machalii waende sawa.
Babu alipiga 6, mzee 4 mimi niishie 2? Ukoo umepungua sana Haitafaa!!! Nitaongeza 6 wawe 8 tu hamna namna.
Hahah washapata kisingizio kumbeKuzaa kunamfanya mwanamke achoke Mkuu??
Sidhani, mwanamke akiwa na nidhamu ya kula na mazoezi toka akiwa na mimba mpaka kujifungua hata azae watoto 4 shape inabaki pale pale.
Hawamuoni Zari, Hamisa wamezaa ila bado wako vizuri tu.Kuzaa kunamfanya mwanamke achoke Mkuu??
Sidhani, mwanamke akiwa na nidhamu ya kula na mazoezi toka akiwa na mimba mpaka kujifungua hata azae watoto 4 shape inabaki pale pale.
Tatizo haujatengua kauli.Jamani unaninanga kinomaaaaa
Mwanaume ha admit kushindwa bwana.Aaaggghhhh! Kwa kweli nishajitolea kushindwa arguments zote between mimi na yeye
kwani mwanamke mwenye uwezo wa kuzaa ni yeye tu !Kwahiyo uchumi ukiwa unatosheleza idadi anayoitaka mwanaume na mke hayuko tayari kwa idadi kubwa?
Halafu kisingizo cha kitoto ha ha ha haHahah washapata kisingizio kumbe
I see , like[emoji48][emoji34][emoji34][emoji34]Then I will.....
The babies will be so mwwwaaaahhhhh!!