Maamuzi ya idadi ya watoto ni ya nani?

I agreed with you
Ya wote wawili washauriane huku wakiangalia sana gharama za maisha na kipato chao. Ile dhana ya kila mtoto atakuja na riziki yake ni dhana ya jalalani kwani mtoto anapozaliwa haji na bulungutu lake.
 
Fact
 
Mwanaume ndio anatakiwa kupanga idadi ya watoto kulingana na kipato chake.

Kama mwanamke analazimisha idadi ndogo na mme anataka idadi kubwa basi uchumi wa familia uwe ndio kigezo cha maamuzi ya mwisho.
[emoji106]
 
Hahaha --kwamba wengi Wanashindwa kuwa kiss hadharani kwa kuwa wake zao ni wa baya. ...

Dah! !!!
Unajua kuna wengine huwa wanajiuliza uliza maswali .....imekuaje nikawa na wewe? kwa sababu unakuta ke kama me,na me kama ke
 
Bi mdashi, usitake kunlisha maneno hapa. Kama wewe unataka kusema uislam ndio umesema tuwatawale wake zetu through dictatorship wewe sema tu.

cc: cute b
Atoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…