Maamuzi ya idadi ya watoto ni ya nani?

Inategemea nani ni anatawala nyumba
 
Nini tena?? Bibi zetu walizaa mpaka 15. Madingi zetu wakaanza kulegeza, sasa na Sisi tukilegeza itafika kipindi mtatuambia tuzae mmoja tu.

8 please
Aisee ..
Utafananisha maisha ya enzi hizo na siku hizi? Mke awe hausiwaifu labda!
 
Hapana si niliona siku amekuambia.
Halafu hapo hapo akakutandika injili hadi ukamkimbia[emoji23][emoji23][emoji23]akabaki Don kagangamala weee na yeye yakamshinda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Oooh kumbe!!
 
Bi mdashi, usitake kunlisha maneno hapa. Kama wewe unataka kusema uislam ndio umesema tuwatawale wake zetu through dictatorship wewe sema tu.

cc: cute b
Atoto
Mimi sijasema hivyo infact ninachojua ni kwamba hakuna dini inayofundisha kwamba mwanaume anatakiwa amtawale mwanamke through dictatorship japo kuna watu (ambao ni waislam) waliwahi kuniambia kuwa katika uislam mwanamke hana sauti kabisa japo sikukubaliana nao ila ilibidi niwaamini tu kishingo upande sababu ni dini yao na mimi sheria za kiislam sizijui
 
Mkuu usifananishe wanawake wa kizungu na wanawake wa kibongo wanawake wengi wa kibongo hawana matunzo yaani waume zao wanataka watoto wengi ila hawako tayari au hawana uwezo wa kuwatunza wake zao mwanamke anahitaji matunzo
Kuna dada jirani yetu amefariki asilimia 90 yule mumewe alichangia mwanamke katoka kujifungua anamshindisha na vipiro vya ugali afya ilikuwa mbaya akawa wakijani usoni kwa kukosa rishe alifariki yule dada kaacha watoto 3😪.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…