Maamuzi ya idadi ya watoto ni ya nani?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ndio kiboko ya Extrovert na @releaf mirzska
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hao wazee wa dictatorship hapana aisee sasa bora hao kuna hii chata nyingine inaitwa Nyalotsi huyu anakwambia haamini katika vitabu vya dini halafu hapo hapo anakutolea mifano kutoka kwenye vitabu vya dini[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Dini zote(kama unazifuata) zina mfumo dume, huo ukristo tu umejaa mfumo dume balaa.
 
Thats ma dawg 😁😁😁
 
Dini zote(kama unazifuata) zina mfumo dume, huo ukristo tu umejaa mfumo dume balaa.
Sawa lakini ni tofauti na watu wengi wanavyochukulia ndo maana tunashauriwa tusisome biblia kama riwaya maana maandiko mengi mule ni kama mafumbo yanahitaji ufafanuzi na uelewa

Sasa watu wengi wanasoma wanayachukua kama yalivyo halafu wanakuja kutudanganya hapa eti maandiko yanasema ukija kulitafsiri hilo andiko lenyewe alilokutajia na yeye alichomaanisha unabaki unamsikitikia tu maana unaona kabisa hajalielewa
 
Kwahio utagonga P2 tu ama?
 
Huko haliondoi ukweli kwamba mfumo dume umejaa kote, ila mnajitahidi sana kuweka balance kwa sasa.
 
Umenikumbusha rafiki yangu wa kichaga maandalizi ya kujifungua ni mafuta ya kula lita 40 na vitu vingine[emoji134][emoji134]
Hadi ugali unawekwa mafuta, alitoka uzazi anatembea kama roboti.
Hahaa naomba nimuone huyo mtembea kama robot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…