Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Halafu hapo hapo, wanaume hamtulii?
Eeeh kwani ni mimi tu ndo nimepewa kazi ya kuijaza dunia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeh kwani ni mimi tu ndo nimepewa kazi ya kuijaza dunia?
Huyu mama mchungaji tayari amegoma kwenda leba mara kadhaa, yule mzungu ndio kabisa sidhani kama ataelewa somo!Chagua mmoja kwanza.
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Anaepanga ni mwanaume naomba hii ileweke yeye ni kichwa cha familia ni kiongozi anakubadilisha ubini amekutolea mahari we ni Mali yake huwezi mpangia mtu na matumizi ya Mali yake kupanga na wewe aamue tu ila haina ulazima . Watoto ni wake ndo maana wanaitwa jina lake nyie mnafanya kutubebea tu huwez nipangia nikitaka watano ni haohao ukishindwa wewe idadi watatimiza wenzio japo hatuombii tufikie huko vitu vingine tunasababishiana
Kunawataokuja na hoja zao za uchungu sjui leba. Hivo mmeumbiwa nyie sisi inatuhusu nini. Ni kama sisi tulivyoambiwa tutafuta kwa jasho ukiona mwanaume analalamika kufanya majukumu yake kutafuta kwa jasho nae pia atakuwa ni mtu wa ajabu.
We kama umembeba miezi tisa Mimi nlkuwa nimembeba kweny PU. MBU maisha yangu yote hadi ulipo kuja wewe nnakakupa unisaidie hio miez 9
Panda Mbegu shamba La mtu mwingineIkitokea hayupo tayari kwa idadi unayoitaka wewe je?
Kwamba kuzaa watoto wengi ndo kunamfanya mwanaume atulie?Halafu hapo hapo, wanaume hamtulii?
Tukamilishe timu ya netball kabisa babeUzuri kipenzi changu Khantwe ameshakubali tuunde kikosi kazi basi halina shida hilo. Mwendo utakuwa kupishanisha mwaka mwaka ili machalii waende sawa.
Babu alipiga 6, mzee 4 mimi niishie 2? Ukoo umepungua sana Haitafaa!!! Nitaongeza 6 wawe 8 tu hamna namna.
Why? Haipaswi mke kusikilizwa?
Mwambie ukipanda mazao kwenye shamba la mtu mavuno ni ya mwenye shambaHuwezi jua labda amejitolea kuwa incubator maana mi najua tuko mbioni kuwachezesha kwaito.
Mwambie ukipanda mazao kwenye shamba la mtu mavuno ni ya mwenye shamba
Aah wapiMavuno Yanakuwa Yenu Wote!
Kuna mama alileta kesi shuleni eti aligombana na mwanae kisa alikuwa anataka pesa ya study tour na yeye hana. Mama akaanza kulalamika akimwambia mwanae oooh "si mnaona mlivyo wengi halafu nahangaika mwenyewe"
Mtoto akamjibu mama yake "tatizo mama mliambiwa mkaijaze dunia wewe ukawa busy kuijaza nyumba matokeo yake ndio haya".
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaah sema huyu naye kuna uzi nilikuta anamjibu mtu kuwa vita vyangu anayeviweza ni Extrovert tu hata yeye mwenyewe huwa anakaaga pembeni eti wengine wote nawapigaga KO ila Extrovert ndo naendaga naye sambamba daah yaani mimi huwa najaribu kuwaelewesha kumbe wenzangu wanaonaga kama vile tupo kwenye ligi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna Lizarazu nae kiboko