Maamuzi ya idadi ya watoto ni ya nani?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kweli kabisa itafika pahala itabidi tu tuanze kutoa siri za kambi maana wanatuchukulia poa sana hawa viumbe
 
Nonsense
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wenzio wanataka wakisema jambo wewe ni "ndio mzee" tu, vinginevyo hawataki.
 
Duuuh!! Kama anampenda mno angemwambia.

Vitu vingi vinaitaji muda kutafakari na mengine angekua hana mtt hata mmoja kwel lkn wpo 3 hapo shida mwanamke anaweza kasirika sana
 
Vitu vingi vinaitaji muda kutafakari na mengine angekua hana mtt hata mmoja kwel lkn wpo 3 hapo shida mwanamke anaweza kasirika sana
Haina justfications hiyo, for better...for worse.
 
Mbona hata wasio nazo wanafyatua tu?
Tunazungumzia kwa wale wanaopanga,hawa wasionazo starehe yao ni kuzaa tu,ndiyo maana kwenye poor neighbourhood ndiko kwenye watu wengi katika kila kaya ukilinganisha na kule kwa wenye nguvu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…