And that is where you are badly mistaken believing that every man is more intelligent than every woman anyway let me leave you with that belief of yours because even if I'll try to criticize you with some strong points you'll still think I'm being feminist on thisIntelligence.!! harsh Truth men are more intelligent than women.
na hata ujasiri pia.
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Serious?Anayeenda 'leba' ndio wa kupanga...kubeba ujauzito si ishu ndogo
Hahaha hahaha hahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bangi unayovuta nami naomba auntie.
Mwanaume ndio anatakiwa kupanga idadi ya watoto kulingana na kipato chake.
Kama mwanamke analazimisha idadi ndogo na mme anataka idadi kubwa basi uchumi wa familia uwe ndio kigezo cha maamuzi ya mwisho.
Naweza anza kuamini..[emoji1787]Ukiona mke anataka azae zaidi watoto na wewe,jua ya kuwa mbegu zako ni bora zinatoa product zenye mvuto........natania tu lakini
Ni mwanamme ndio atapanga idadi ya watoto watakaopatikana, I mean there is no objection from the husband side if the wife need more and more kids. There will always be objections from the wife's side if a husband wants more and more kids, if you know what I mean!
You can't just tell me utazaa watoto watatu eti because unataka umaintain umbo lako, that's crap! Give me the acceptable reasons like health reasons.
I will get the number of kids I want with you, or without you! In my world, I make the money, i make the rule.......
Wewe ndio unahisi hivyo. Kama anamake more money bado ntamwambia I want 8 kids, yeye akisema watatu basi watano waliobaki si ntawapata tu kwengine.Tatizo lako wewe upo kizamani sana.. imagine mkeo ana make more money kuliko wewe. Huoni hako kamseko kako hakana maana.
Mwanaume kuwa cheti ukaenda kuoa mwanamke mwenye digrii jua hujajitambua na utapata taabu sana.Kama mwanamke ana degree .. mwanamke ndio atapanga lakini kama mwanamke hana degree ana elimu ya certificate .. uwanja wako mwanaume kupanga unacho taka.[emoji1787]
Mkuu, uachane na maisha ya kwenye tamthiliya.Unaota kweupe hivi? Hebu amka kutoka kwenye hiyo ndoto
Serious?
Good for you mkuu, i thought it's a discussion between the two of you.Indeed mkuu
kudo kudoYewooomi[emoji134]
Good for you mkuu, i thought it's a discussion between the two of you.
Tamthilia? Mbona mimi siyo mtazamaji wala mpenzi wa tamthilia? Kwani maisha ya kwenye tamthilia ndo yakoje hayo mbona siyajui? Mimi nazungumzia haya haya maisha halisi tuliopo ila wewe mwenzangu naona kama unazungumzia maisha ya kwenye ndoto sijui.Mkuu, uachane na maisha ya kwenye tamthiliya.
Njoo kwenye maisha halisi ya kiafrica.!!
Ha ha ha ha mtoto wa kwanza wapili sura inalia,unategemea utashawishika kuongeza mwingineNaweza anza kuamini..[emoji1787]
Nampa pole atakaye/aliyekuoa.Tamthilia? Mbona mimi siyo mtazamaji wala mpenzi wa tamthilia? Kwani maisha ya kwenye tamthilia ndo yakoje hayo mbona siyajui? Mimi nazungumzia haya haya maisha halisi tuliopo ila wewe mwenzangu naona kama unazungumzia maisha ya kwenye ndoto sijui.
HahahaBila ubabe hawa viumbe watakufanya uishi kama kangedere.