Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Hii hapa.
Vipi na Mimi niki make the money naruhusiwa Ku make the rule?
Kama suala ni pesa!
Asipoona Mimi nipo nita screenshot halafu najua pa kumtumia.Relief usijifanye huoni swali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Anazengua sana huyo mdau, Extrovert njoo u-deal na mtu wako aisee
Kuna wanaume ni wababee, akiamua ameamua hataki mjadala.Ni mwili wake maamuzi ndani ya ndoa ni ya wote wawili. Kama mnatofautina idadi ya watoto wawili tatizo si kubwa mnaweza kuamua kuwa na mmoja zaidi, lakini kama mke anasema watatu na mume anataka timu ya mpira basi hapo nyumba lazima iwake moto.
Msemaji mkuu upande wetu atakuja kutoa jibu.Naomba ujibu kwanza "kwoti" ya msemaji mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo juu.
Mimi nawewe tutamalizana taratibu!
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Relief usijifanye huoni swali.
Hahahahahahah anashushaga magazeti ya haja.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Extrovert huwa anatamani kuchapa simu makofi.
Ukija basi pitia bank please nina kimeo cha maana my dia. Please usisahau[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sawa nitakufuata unijibu.
Hapana, wewe uliniambia nisitegemee hela mwanamke ni mwanamke tuu. Sasa ndiyo nashangaa unanirudisha kule kwenye kuamini kwamba money can buy everything.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu hili tuliache for now [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Naona limekukaa kinomaaaaa[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahahahahah anashushaga magazeti ya haja.
Tena huu Uzi ukipoa poa na Saint anne atakuja kusema jambo kibiblia zaidi.
Hahaha hahaha hahah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Extrovert huwa anatamani kuchapa simu makofi.
Kuna wanaume ni wababee, akiamua ameamua hataki mjadala.
Sasa why tuwe na wawili???Si ndio anakushauri muwe na watoto wawili badal aya 6 unaotaka.
Maamuzi ni ya pamoja.... Binafsi nilikuwa nataka wanne, lakini mwenzangu alitaka wawili ... Tukafikia watatu na ndo tunaoWanajf kuna jambo limenifanya niilete hii mada kwenu.
Kuna kaka alihitaji na alipendelea kuwa na watoto watatu, na walikubaliana na mkewe wawe na watoto watatu Mungu akiwajaalia.
Baada ya mkewe kujifungua mtoto wa pili akamwambia mumewe asingeweza kwenda leba tena(alijifungua kwa njia ya kawaida na hakukuwa na complications zozote).
Mume alihisi ni kwavile ametoka kujifungua ndio maana anasema hivyo, lakini baada ya miaka mi4 kupita bado msimamo wa mkewe ni uleule, amemwambia ikiwa ni lazima apate huyo mtoto wa tatu anamruhusu kwa roho safi tu akamtafute.
Naomba kuwauliza haswa wanandoa, maamuzi ya idadi ya watoto mnaohitaji kuwa nao huwa ni ya nani? And how if kila mmoja akawa na idadi yake ya watoto anaohitaji inayotofautiana na mwenzie?
Na wanawake utafanya nini ikiwa mumeo anahitaji idadi kubwa ya watoto tofauti na matakwa yako?