Maamuzi ya idadi ya watoto ni ya nani?

Maamuzi ya idadi ya watoto ni ya nani?

Hii hapa.

Vipi na Mimi niki make the money naruhusiwa Ku make the rule?

Kama suala ni pesa!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Hebu hili tuliache for now 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Naona limekukaa kinomaaaaa🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Ni mwili wake maamuzi ndani ya ndoa ni ya wote wawili. Kama mnatofautina idadi ya watoto wawili tatizo si kubwa mnaweza kuamua kuwa na mmoja zaidi, lakini kama mke anasema watatu na mume anataka timu ya mpira basi hapo nyumba lazima iwake moto.
Kuna wanaume ni wababee, akiamua ameamua hataki mjadala.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hebu hili tuliache for now [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Naona limekukaa kinomaaaaa[emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Hapana, wewe uliniambia nisitegemee hela mwanamke ni mwanamke tuu. Sasa ndiyo nashangaa unanirudisha kule kwenye kuamini kwamba money can buy everything.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanajf kuna jambo limenifanya niilete hii mada kwenu.

Kuna kaka alihitaji na alipendelea kuwa na watoto watatu, na walikubaliana na mkewe wawe na watoto watatu Mungu akiwajaalia.
Baada ya mkewe kujifungua mtoto wa pili akamwambia mumewe asingeweza kwenda leba tena(alijifungua kwa njia ya kawaida na hakukuwa na complications zozote).

Mume alihisi ni kwavile ametoka kujifungua ndio maana anasema hivyo, lakini baada ya miaka mi4 kupita bado msimamo wa mkewe ni uleule, amemwambia ikiwa ni lazima apate huyo mtoto wa tatu anamruhusu kwa roho safi tu akamtafute.

Naomba kuwauliza haswa wanandoa, maamuzi ya idadi ya watoto mnaohitaji kuwa nao huwa ni ya nani? And how if kila mmoja akawa na idadi yake ya watoto anaohitaji inayotofautiana na mwenzie?

Na wanawake utafanya nini ikiwa mumeo anahitaji idadi kubwa ya watoto tofauti na matakwa yako?
Maamuzi ni ya pamoja.... Binafsi nilikuwa nataka wanne, lakini mwenzangu alitaka wawili ... Tukafikia watatu na ndo tunao
 
Back
Top Bottom