Maamuzi ya kununua au kutengeneza 'robot' yalitolewa lini na ni nani walitoa maoni?

Unattributed mpunga wa watu imeishabhioo
 
Tunaenda kienyeji sana sisi kama taifa. Huwenda baadhi ya wafanya maamuzi wanafikiri haya mambo ni yakuyapaparatikia kiholela bila kuangalia hali yetu.

Sasa inaanza kuonekana hakuna sababu ya kusoma elimu ambayo matumizi ya maarifa yake yanakuja kuchukuliwa na robot. Je, sisi kama taifa tumejipima hapo? Na tulijipimajee?

Kazi tunayo.
 
Inategemea ma customization kuna yanayofikia hadi mmamilioni ya dola.
Kwa mfano hako ka mbwa kanauzwa zaido ya milioni 15
 
Mkono wa baunsa siyo?
 
Tunaomba Majibu haraka kabla hatujakinukisha
 
INTERNET AMESHINDWA MBOVU, ANAKIMBILUA MAROBOTI ,[emoji706][emoji706][emoji706]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…