Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706] hivi hua wanatuonaje? Mbona kama wanajichoresha sanaRobot la 2008 kwenye ulimwengu wa sasa ni aibu hizo
Yataendaje wakati yeye alivuluga uchaguzi akatuletea hao watu wasiojua wapo pale kufanya niniSiyo Kwa Mabaya Lakini Mazuri Ndugu Zangu
Hivi Nisipokuwepo SGR Itatembea Kweli?
Ndege Zitanunuliwa
Bwawa Litajengwa
Inanibidi Nichape Kazi Kweli Kweli
By Mzilankende, Jiwe, Chuma, Baba Jesca
Najisikia guilt kwa kupost hii video, i hope Tate Mkuu umeshaisave, naidelete! Huwa sipendi kuforward au kusave vitu vinavyonikeraKwa heshima yako tu mkuu, ngoja nikuwekee hii video! Ila inanikeraaaa, basi tu
View attachment 2991889
Nimejaribu kufungua hii clip, naona roboti ameizuia kabisa isifunguke kwenye haka kasimu kangu!Kwa heshima yako tu mkuu, ngoja nikuwekee hii video! Ila inanikeraaaa, basi tu
View attachment 2991889
Sawa Lanlady ☺️I can't relax.
Ni muhimu kupata ufafanuzi wa maswali yangu. Sikufunzwa unyonge,nilifunzwa kuhoji na kutafiti ili kupata msawazo wa fikra kwa maslahi mapana ya taifa na kizazi kijacho!
Tunawalaumu sana mababu zetu kwamba hawakutumia maarifa kwenye baadhi ya maamuzi, je sisi leo hii tunafanya nini kwa maslahi ya taifa?
Na bado wanaendelea tu kuzinunua!! Hii nchi aisee ina viongozi wa ajabu sana.Pesa za walipa kodi
View attachment 2991896
Wanakosea sana hawajui... bora wangeleta latest kama kina roboti Sophia na mengineyo siyo hili la Enzi hizo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706] hivi hua wanatuonaje? Mbona kama wanajichoresha sana
Traore wa Bokinafaso kanunua matrekta 400 na vitendea kazi za kilimo zaidi ya 300 ili kuinua maisha na uchumi wa watu wake. Sisi tumenunua Roboti la kukaribisha viongozi kwenye kumbi!!!Nimeona leo bungeni kulikuwa na robot linalokaribisha wabunge.
Je, bajeti ya manunuzi au ya kutengeneza robot hilo ilitoka wapi?
Nini hasa dhumuni la robot hilo kwa sasa katika nchi yetu yenye uchumi wa hali ya chini kwa wananchi wake wengi?
Binafsi ninayo maoni yangu, ila nitapenda kusikia kwanza hoja za watanzania wenzangu.