ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Muwe mnafuatilia mipango ya serikali.Umihu wake huu hapa 👇Kwani nimekataa basi!
Mi ninachouliza lina umuhimu gani kwa mstakabali na maslahi mapana ya taifa?
Watuletee na Mwenyekiti na Raisi RobotTunachezewa Sana Wananchi
Ule Wa Robot Bungeni Ni Mzaha Mtupu, Na Lazima Mtonyo Umepigwa Mrefu Sana
Hii ya afya niliisikia. Na hata hivyo, hiyo inaweza kuwa tofauti kwasababu matibabu yanalipiwa. Na unaweza kuchagua kutohudumiwa nae. Japo bado haina tija sana!Muwe mnafuatilia mipango ya serikali.Umihu wake huu hapa 👇
View: https://www.instagram.com/reel/C68dM0tqi31/?igsh=N2I5bXlraWtyMG1w
Tija ndio hiyo nimekueleza hapo,utaanza kuwaona kwenye tiba.Hii ya afya niliisikia. Na hata hivyo, hiyo inaweza kuwa tofauti kwasababu matibabu yanalipiwa. Na unaweza kuchagua kutohudumiwa nae. Japo bado haina tija sana!
Je, huyu eunice yeye analisaidiaje taifa? Kwamba wasemaji wa wizara hawana uwezo wa kutoa taarifa kwa usahihi? Hilo robot lina tija ipi kwa taifa?
Hapo kwenye "mna akili fupi" ndipo unakosea. Badala ya kujibu hoja unatoa kauli ya kudharau uwezo wa wengine kuhoji!Tija ndio hiyo nimekueleza hapo,utaanza kuwaona kwenye tiba.
Pia seems mna akili fupi,hiyo ni kuonesha kwamba Tanzania tayari tuna teknolojia ya 5G na uwezo wa kutengeneza huyo roboti.
Leo hii tele medicine zinafanyika
Elimu mtandao
Kusikiliza.mashauri ya Mahakama.kwa.mtandao.
Roboti hili ni kwa ajili ya wenye biashara kuweka milangoni, ingia gugoo utapata wauzaji na bei zake.Nimeona leo bungeni kulikuwa na robot linalokaribisha wabunge.
Je, bajeti ya manunuzi au ya kutengeneza robot hilo ilitoka wapi?
Nini hasa dhumuni la robot hilo kwa sasa katika nchi yetu yenye uchumi wa hali ya chini kwa wananchi wake wengi?
Binafsi ninayo maoni yangu, ila nitapenda kusikia kwanza hoja za watanzania wenzangu.
NB:Kwa wanaohitaji picha; Huwa sipendi kuforward au kusave vitu vinavyonikera. Sorry for that. Mwingine anaweza kutuma kwa niaba
Acha Watu Waendelee kujipimia...Nimeona leo bungeni kulikuwa na robot linalokaribisha wabunge.
Je, bajeti ya manunuzi au ya kutengeneza robot hilo ilitoka wapi?
Nini hasa dhumuni la robot hilo kwa sasa katika nchi yetu yenye uchumi wa hali ya chini kwa wananchi wake wengi?
Binafsi ninayo maoni yangu, ila nitapenda kusikia kwanza hoja za watanzania wenzangu.
NB:Kwa wanaohitaji picha; Huwa sipendi kuforward au kusave vitu vinavyonikera. Sorry for that. Mwingine anaweza kutuma kwa niaba
Sisi ni watumiaji tu, hatuandai na hatuna sehemu ya kutengeneza ila za bia tunazo.Tija ndio hiyo nimekueleza hapo,utaanza kuwaona kwenye tiba.
Pia seems mna akili fupi,hiyo ni kuonesha kwamba Tanzania tayari tuna teknolojia ya 5G na uwezo wa kutengeneza huyo roboti.
Leo hii tele medicine zinafanyika
Elimu mtandao
Kusikiliza.mashauri ya Mahakama.kwa.mtandao.
ukipata jibu niambieNimeona leo bungeni kulikuwa na robot linalokaribisha wabunge.
Je, bajeti ya manunuzi au ya kutengeneza robot hilo ilitoka wapi?
Nini hasa dhumuni la robot hilo kwa sasa katika nchi yetu yenye uchumi wa hali ya chini kwa wananchi wake wengi?
Binafsi ninayo maoni yangu, ila nitapenda kusikia kwanza hoja za watanzania wenzangu.
NB:Kwa wanaohitaji picha; Huwa sipendi kuforward au kusave vitu vinavyonikera. Sorry for that. Mwingine anaweza kutuma kwa niaba
Rahaa ya kukaribishwa, ni ukaribishwe na binaadamu mwenzio na si robot!!Duh
Hii kitu mbunge wa Kawe askofu Dr Gwajima alishaielezea kitambo pale Kanisani kwake
Akisema alienda Japan na kupokelewa na Robot hotelini na kumpokea Mizigo na kumsindikiza hadi Chumbani
Walipofika Chumbani Robot akamwonyesha baba Askofu mambo Yote muhimu kisha akamuaga na kujitambulisha kuwa yeye ni Robot
Sitashangaa nikisikia Eunice kaletwa na baba askofu Dr Gwajima Mbunge [emoji23][emoji23]
Mlale unono [emoji3][emoji3][emoji91]
🤣 🤣 🤣Duh
Hii kitu mbunge wa Kawe askofu Dr Gwajima alishaielezea kitambo pale Kanisani kwake
Akisema alienda Japan na kupokelewa na Robot hotelini na kumpokea Mizigo na kumsindikiza hadi Chumbani
Walipofika Chumbani Robot akamwonyesha baba Askofu mambo Yote muhimu kisha akamuaga na kujitambulisha kuwa yeye ni Robot
Sitashangaa nikisikia Eunice kaletwa na baba askofu Dr Gwajima Mbunge 😂😂
Mlale unono 😀😀🔥
Huwa nawaza sana, kama nchi inaviongozi watu wazima ambao wanaona mambo yako sawa na hawajali, tusitegemee kusogea mbele kwa kasi inayostahili. Imagine watu wazima wanasogea kupata picha na limdoli! Akili zao baada ya hapo huwa zinawaza nini!Tunachezewa Sana Wananchi
Ule Wa Robot Bungeni Ni Mzaha Mtupu, Na Lazima Mtonyo Umepigwa Mrefu Sana
Nimekumiss pia etiNimekumiss☺️😊
Waoh. Ninafurahi sana😘😍Nimekumiss pia eti
Vipi yule jogoo? Leo nimeamka na hamu ya kukuWaoh. Ninafurahi sana😘😍
Yupo kanona hatari🙌Vipi yule jogoo? Leo nimeamka na hamu ya kuku