MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
Kwanza Wana majumui waafrika walikuwa ni waota ndoto za mchana(Day dreamer)Duh... !.
Kiukweli somo la Uumajumui wa Pan Africanism linahitajika sana kwa Watanzania!. Mwalimu Nyerere alikuwa ni Pan Africanist, alikuwa yuko tayari hata kuchelewesha uhuru wa Tanganyika ili tuwasubirie wengine!. Si wengi wanajua hata WB, IMF ni regional blocks, Gaddafi alitaka tuanzishe AB na AMF kuachana na WB na IMF, mabeberu wakampoteza!. Africa is the richest continent, kwanini tuwategemee WB na IMF?
Sasa tumeanzisha Afcfta ili Waafrika tununue bidhaa za Africa na kuinuana na sio kutegemea bidhaa za mabeberu. Huhitaji kuwauliza wananchi kujiunga na regional blocks.
Ila muungano, Bunge la Tanganyika liliridhia, hivyo Watanganyika tulishirikishwa, ila Zanzibar, ndio hawakushirikishwa!.
P
Hawakuangalia hali halisi ya kipindi hicho na wakati ujao ambao kila nchi ingeangalia maslahi yake.
Tatu Muungano huu wa Tanganyika na Zanzibar ulikuwa wa Viongozi na wananchi hawakushirikishwa.
Ndio maana huu muungano hauachwi kupingwa toka kale, Sasa na wakati ujao