Maamuzi ya Nyerere kutuingiza AU, SADC, EAC na hatimaye Muungano yatatutesa hadi kiama. Nini kifanyike?

tunap0 pata furusa yakuandika katiba huwa tunaichezea sasa tubatunalalamikatu
 

Mbona we jamaa huna akili???

huwezi kuwa na nguvu ukiwa mwenyewe we wenzio wako timu!!


au ushawai sikia vita yyte inashindwa na mtu mmoja never!!

yaan we n tahira kuja kumpakaa matope mwelevu
 
Mbona we jamaa huna akili???

huwezi kuwa na nguvu ukiwa mwenyewe we wenzio wako timu!!


au ushawai sikia vita yyte inashindwa na mtu mmoja never!!

yaan we n tahira kuja kumpakaa matope mwelevu
Naona umetumia werevu wako kutoa maoni.

Soma upya ulichoandika kisha rudi hapa tusemezane
 
Ndio maana mnaongea pumba kama kina Lisu eti mtu akigundua Madini yawe yake [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usijifananishe na Wenye akili maana siku hizi unqongoza Kwa nyuzi zako za kipumbavu kufutwa. Unadandia hoja ya Lissu hata kuidadavua huwezi? Uliona wapi Mtu ana shamba yakigundulika madini ndani yake analipwa fidia ya miti iliyomo na hafaidi chochote kuhusu kilicho chini ya ardhi aliyokuwa anamiliki? Lissu kusema afidiwe kiasi fulani Kwa madini yaliyopatikana kwenye ardhi yake wewe Chawa unaona kakosea? Hivi huko CCM huwa mnatolewa ubongo kiasi cha kushindwa kuona Wananchi wanavyoonewa na serikali ya CCM? Mpo Kwa ajili ya kutetea viongozi lakini mwananchi masikini kwenu ni takataka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…