Maili tatu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 830
- 1,070
Ngoja wakipe uhai kidogo chama bana ,wakawasemee kina mbowe huko bungeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo inaonekana mfumo dume unaona utamezwa na wanawake!Ngoja wakipe uhai kidogo chama bana ,wakawasemee kina mbowe huko bungeni
Feminist tuliza wengeCha kushangaza povu jingi linatoka kwa wanaume Kama sio wivu na mfumo dume kitu gani?
Wanaume acheni ubinafsi wenu heshimuni wanawake
Huyo Hilda kila siku anasema hawezi kisaliti chama hata iweje, na Bado anaendelea kusisitiza. Nenda Twitter ukamsome vizuri.Basi wangewachagua wengine
Sio kujipendelea wao wenye hao akina mdee wangewapeleka akina Hilda na wengine ambao hawakuawahi kuwa wabunge wangeeleweka
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Hao 19 wote watimuliwe uanachama na chama kipeleke majina mengine!Viti Maalum vya wabunge Wanawake vimewekwa ili kulipa fursa kundi hilo la jamii kwenye ulingo wa siasa.
Mantiki yake ni kuwa, katika vurugumechi za siasa, wanaume huwazidi wanawake kutokana na sababu mbalimbali za kijamii na kitamaduni.
Katika kuheshimu misingi ya malengo hayo ya kuwa na viti maalum, ni muhimu maamuzi juu ya viti maalum yakaachwa mikononi mwa wanawake wenyewe.
Haitakuwa sahihi, kikao cha wanaume kiamue kupinga maamuzi ya wanawake kuhusu nafasi za Ubunge wa wanawake.
Ni matumaini ya wajali usawa wa kijinsia kuwa Spika wa Bunge atazingatia na kulinda haki za wabunge wanawake pale itakapotokea viongozi wanaume ndani ya vyama vyao wakitumia ubabe kupindua maamuzi ya wanawake wenyewe.
Vilevile ni muhimu sasa itungwe sheria mahsusi kwa ajili ya kuyalinda makundi maalumu kama la viti maalum vya wanawake Bungeni dhidi ya ubabe na ukandamizaji wa viongozi wanaume.
Ni lazima watendewe haki.Hao 19 wote watimuliwe uanachama na chama kipeleke majina mengine!
Hajui siasa badoHuyo Hilda kila siku anasema hawezi kisaliti chama hata iweje, na Bado anaendelea kusisitiza. Nenda Twitter ukamsome vizuri.
Kwanini wajisumbue nae...atakuja kujuta kususia nafasi aliyoipata, binti mdogo ana kiburi [emoji3][emoji3]
Mmesha wadanganya alafu mnasema oohhh maamuzi ya akina mama yaheshimie,sheria ina kata kotekote wapumbavuu hawaViti Maalum vya wabunge Wanawake vimewekwa ili kulipa fursa kundi hilo la jamii kwenye ulingo wa siasa.
Mantiki yake ni kuwa, katika vurugumechi za siasa, wanaume huwazidi wanawake kutokana na sababu mbalimbali za kijamii na kitamaduni.
Katika kuheshimu misingi ya malengo hayo ya kuwa na viti maalum, ni muhimu maamuzi juu ya viti maalum yakaachwa mikononi mwa wanawake wenyewe.
Haitakuwa sahihi, kikao cha wanaume kiamue kupinga maamuzi ya wanawake kuhusu nafasi za Ubunge wa wanawake.
Ni matumaini ya wajali usawa wa kijinsia kuwa Spika wa Bunge atazingatia na kulinda haki za wabunge wanawake pale itakapotokea viongozi wanaume ndani ya vyama vyao wakitumia ubabe kupindua maamuzi ya wanawake wenyewe.
Vilevile ni muhimu sasa itungwe sheria mahsusi kwa ajili ya kuyalinda makundi maalumu kama la viti maalum vya wanawake Bungeni dhidi ya ubabe na ukandamizaji wa viongozi wanaume.
Kama hawakupata baraka za chama kwanini wamekizunguka chama?Yaani leo wanashirikiana na Ndugai kukihujumu chama?Yaani Chama kimedhalilishwa sana na hawa akina mama!Muda kisheria bado upo mpaka mkutano wa 3 ambao ni April mwakani,kwanini wawahi hivyo badala ya kukaa chini na chama kutafuta muafaka?Ni lazima watendewe haki.
Hawa ni wazalendo, wamefuata ushauri wa Pascal MayallaMmesha wadanganya alafu mnasema oohhh maamuzi ya akina mama yaheshimie,sheria ina kata kotekote wapumbavuu hawa
Wazalendo hawa wameona chama kinapuuzia maslahi ya Taifa...Kama hawakupata baraka za chama kwanini wamekizunguka chama?Yaani leo wanashirikiana na Ndugai kukihujumu chama?Yaani Chama kimedhalilishwa sana na hawa akina mama!Muda kisheria bado upo mpaka mkutano wa 3 ambao ni April mwakani,kwanini wawahi hivyo badala ya kukaa chini na chama kutafuta muafaka?
Wafukuzwe tu,majina ya viti maalumu ni mengi!Yapelekwe majina mengine ili iwe fundisho!
Maslahi ya taifa au maslahi ya matumbo yao!Wazalendo hawa wameona chama kinapuuzia maslahi ya Taifa...
Wameshaapishwa. Sasa ni wabunge halali...Maslahi ya taifa au maslahi ya matumbo yao!
Hao ni kufukuza wote na kuchukua majina mengine na kupeleka tume!
[emoji23][emoji23][emoji23]natulizaje wenge kwa wanaume waonevu kwa nafasi za wanawake bila aibu.
Kuapishwa sio shida,wanaweza kutimuliwa kama mchakato ulikuwa batili!Wameshaapishwa. Sasa ni wabunge halali...
Kwanini asipewe mkeo inamaana yeye siyo mama?Viti Maalum vya wabunge Wanawake vimewekwa ili kulipa fursa kundi hilo la jamii kwenye ulingo wa siasa.
Mantiki yake ni kuwa, katika vurugumechi za siasa, wanaume huwazidi wanawake kutokana na sababu mbalimbali za kijamii na kitamaduni.
Katika kuheshimu misingi ya malengo hayo ya kuwa na viti maalum, ni muhimu maamuzi juu ya viti maalum yakaachwa mikononi mwa wanawake wenyewe.
Haitakuwa sahihi, kikao cha wanaume kiamue kupinga maamuzi ya wanawake kuhusu nafasi za Ubunge wa wanawake.
Ni matumaini ya wajali usawa wa kijinsia kuwa Spika wa Bunge atazingatia na kulinda haki za wabunge wanawake pale itakapotokea viongozi wanaume ndani ya vyama vyao wakitumia ubabe kupindua maamuzi ya wanawake wenyewe.
Vilevile ni muhimu sasa itungwe sheria mahsusi kwa ajili ya kuyalinda makundi maalumu kama la viti maalum vya wanawake Bungeni dhidi ya ubabe na ukandamizaji wa viongozi wanaume.
Kwanini malazimisha Chadema iwe na wabunge bungeni?Kumfukuza mwanachama sio suala dogo.
Wakiwafukuza nao wana haki ya kupinga kufukuzwa. Hata wakifikishana Mahakamani, wabunge hawa watashinda kwa sababu chama hakina hoja yenye uzito. Chama kinalalamikia uchaguzi lakini hakina uthibitisho wa malalamiko yao.
Mchakato ni halali na umesimamiwa na wanawake wenyewe kupitia baraza lao. Hawatakiwi kuingiliwa.Kuapishwa sio shida,wanaweza kutimuliwa kama mchakato ulikuwa batili!