Maamuzi ya Wakinamama yasiingiliwe

Maamuzi ya Wakinamama yasiingiliwe

Basi wangewachagua wengine

Sio kujipendelea wao wenye hao akina mdee wangewapeleka akina Hilda na wengine ambao hawakuawahi kuwa wabunge wangeeleweka

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Huyo Hilda kila siku anasema hawezi kisaliti chama hata iweje, na Bado anaendelea kusisitiza. Nenda Twitter ukamsome vizuri.
Kwanini wajisumbue nae...atakuja kujuta kususia nafasi aliyoipata, binti mdogo ana kiburi [emoji3][emoji3]
 
Viti Maalum vya wabunge Wanawake vimewekwa ili kulipa fursa kundi hilo la jamii kwenye ulingo wa siasa.

Mantiki yake ni kuwa, katika vurugumechi za siasa, wanaume huwazidi wanawake kutokana na sababu mbalimbali za kijamii na kitamaduni.

Katika kuheshimu misingi ya malengo hayo ya kuwa na viti maalum, ni muhimu maamuzi juu ya viti maalum yakaachwa mikononi mwa wanawake wenyewe.

Haitakuwa sahihi, kikao cha wanaume kiamue kupinga maamuzi ya wanawake kuhusu nafasi za Ubunge wa wanawake.

Ni matumaini ya wajali usawa wa kijinsia kuwa Spika wa Bunge atazingatia na kulinda haki za wabunge wanawake pale itakapotokea viongozi wanaume ndani ya vyama vyao wakitumia ubabe kupindua maamuzi ya wanawake wenyewe.

Vilevile ni muhimu sasa itungwe sheria mahsusi kwa ajili ya kuyalinda makundi maalumu kama la viti maalum vya wanawake Bungeni dhidi ya ubabe na ukandamizaji wa viongozi wanaume.
Hao 19 wote watimuliwe uanachama na chama kipeleke majina mengine!
 
Huyo Hilda kila siku anasema hawezi kisaliti chama hata iweje, na Bado anaendelea kusisitiza. Nenda Twitter ukamsome vizuri.
Kwanini wajisumbue nae...atakuja kujuta kususia nafasi aliyoipata, binti mdogo ana kiburi [emoji3][emoji3]
Hajui siasa bado
 
Viti Maalum vya wabunge Wanawake vimewekwa ili kulipa fursa kundi hilo la jamii kwenye ulingo wa siasa.

Mantiki yake ni kuwa, katika vurugumechi za siasa, wanaume huwazidi wanawake kutokana na sababu mbalimbali za kijamii na kitamaduni.

Katika kuheshimu misingi ya malengo hayo ya kuwa na viti maalum, ni muhimu maamuzi juu ya viti maalum yakaachwa mikononi mwa wanawake wenyewe.

Haitakuwa sahihi, kikao cha wanaume kiamue kupinga maamuzi ya wanawake kuhusu nafasi za Ubunge wa wanawake.

Ni matumaini ya wajali usawa wa kijinsia kuwa Spika wa Bunge atazingatia na kulinda haki za wabunge wanawake pale itakapotokea viongozi wanaume ndani ya vyama vyao wakitumia ubabe kupindua maamuzi ya wanawake wenyewe.

Vilevile ni muhimu sasa itungwe sheria mahsusi kwa ajili ya kuyalinda makundi maalumu kama la viti maalum vya wanawake Bungeni dhidi ya ubabe na ukandamizaji wa viongozi wanaume.
Mmesha wadanganya alafu mnasema oohhh maamuzi ya akina mama yaheshimie,sheria ina kata kotekote wapumbavuu hawa
 
Ni lazima watendewe haki.
Kama hawakupata baraka za chama kwanini wamekizunguka chama?Yaani leo wanashirikiana na Ndugai kukihujumu chama?Yaani Chama kimedhalilishwa sana na hawa akina mama!Muda kisheria bado upo mpaka mkutano wa 3 ambao ni April mwakani,kwanini wawahi hivyo badala ya kukaa chini na chama kutafuta muafaka?
Wafukuzwe tu,majina ya viti maalumu ni mengi!Yapelekwe majina mengine ili iwe fundisho!
 
Kama hawakupata baraka za chama kwanini wamekizunguka chama?Yaani leo wanashirikiana na Ndugai kukihujumu chama?Yaani Chama kimedhalilishwa sana na hawa akina mama!Muda kisheria bado upo mpaka mkutano wa 3 ambao ni April mwakani,kwanini wawahi hivyo badala ya kukaa chini na chama kutafuta muafaka?
Wafukuzwe tu,majina ya viti maalumu ni mengi!Yapelekwe majina mengine ili iwe fundisho!
Wazalendo hawa wameona chama kinapuuzia maslahi ya Taifa...
 
Viti Maalum vya wabunge Wanawake vimewekwa ili kulipa fursa kundi hilo la jamii kwenye ulingo wa siasa.

Mantiki yake ni kuwa, katika vurugumechi za siasa, wanaume huwazidi wanawake kutokana na sababu mbalimbali za kijamii na kitamaduni.

Katika kuheshimu misingi ya malengo hayo ya kuwa na viti maalum, ni muhimu maamuzi juu ya viti maalum yakaachwa mikononi mwa wanawake wenyewe.

Haitakuwa sahihi, kikao cha wanaume kiamue kupinga maamuzi ya wanawake kuhusu nafasi za Ubunge wa wanawake.

Ni matumaini ya wajali usawa wa kijinsia kuwa Spika wa Bunge atazingatia na kulinda haki za wabunge wanawake pale itakapotokea viongozi wanaume ndani ya vyama vyao wakitumia ubabe kupindua maamuzi ya wanawake wenyewe.

Vilevile ni muhimu sasa itungwe sheria mahsusi kwa ajili ya kuyalinda makundi maalumu kama la viti maalum vya wanawake Bungeni dhidi ya ubabe na ukandamizaji wa viongozi wanaume.
Kwanini asipewe mkeo inamaana yeye siyo mama?
 
Kumfukuza mwanachama sio suala dogo.
Wakiwafukuza nao wana haki ya kupinga kufukuzwa. Hata wakifikishana Mahakamani, wabunge hawa watashinda kwa sababu chama hakina hoja yenye uzito. Chama kinalalamikia uchaguzi lakini hakina uthibitisho wa malalamiko yao.
Kwanini malazimisha Chadema iwe na wabunge bungeni?
 
Back
Top Bottom