Maamuzi ya Wakinamama yasiingiliwe

Maamuzi ya Wakinamama yasiingiliwe

Viti Maalum vya wabunge Wanawake vimewekwa ili kulipa fursa kundi hilo la jamii kwenye ulingo wa siasa.

Mantiki yake ni kuwa, katika vurugumechi za siasa, wanaume huwazidi wanawake kutokana na sababu mbalimbali za kijamii na kitamaduni.

Katika kuheshimu misingi ya malengo hayo ya kuwa na viti maalum, ni muhimu maamuzi juu ya viti maalum yakaachwa mikononi mwa wanawake wenyewe.

Haitakuwa sahihi, kikao cha wanaume kiamue kupinga maamuzi ya wanawake kuhusu nafasi za Ubunge wa wanawake.

Ni matumaini ya wajali usawa wa kijinsia kuwa Spika wa Bunge atazingatia na kulinda haki za wabunge wanawake pale itakapotokea viongozi wanaume ndani ya vyama vyao wakitumia ubabe kupindua maamuzi ya wanawake wenyewe.

Vilevile ni muhimu sasa itungwe sheria mahsusi kwa ajili ya kuyalinda makundi maalumu kama la viti maalum vya wanawake Bungeni dhidi ya ubabe na ukandamizaji wa viongozi wanaume.
Kuna wafia chama kama nawaona wanavyokucheck.
Angry.jpg
 
Mchakato ni halali na umesimamiwa na wanawake wenyewe kupitia baraza lao. Hawatakiwi kuingiliwa.
Kichwa chako ni box tupu,kisa wamesimamia wanawake ndio inaufanya uwe halali?Mbona hamkuona uhalali wa wanawake mlipowapiga mabomu kwenye mikutano yao ya ndani?
Maamuzi ya kuteua Viti maalum kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA hufanywa na "kamati kuu" ya chama na si "wanawake" kama box lako la kutunzia meno na macho linavyowaza!
 
Kilichofanyika ni zaidi ya jinai..
Hakuna jinai. Ni kuheshimu katiba ya nchi.
Chama cha siasa sio biashara binafsi. Chama kilichopata kura za kuteua wabunge wa viti maalum KINAWAJIBIKA kufanya hivyo. Ni WAJIBU sio hiyari.
 
Viti Maalum vya wabunge Wanawake vimewekwa ili kulipa fursa kundi hilo la jamii kwenye ulingo wa siasa.

Mantiki yake ni kuwa, katika vurugumechi za siasa, wanaume huwazidi wanawake kutokana na sababu mbalimbali za kijamii na kitamaduni.

Katika kuheshimu misingi ya malengo hayo ya kuwa na viti maalum, ni muhimu maamuzi juu ya viti maalum yakaachwa mikononi mwa wanawake wenyewe.

Haitakuwa sahihi, kikao cha wanaume kiamue kupinga maamuzi ya wanawake kuhusu nafasi za Ubunge wa wanawake.

Ni matumaini ya wajali usawa wa kijinsia kuwa Spika wa Bunge atazingatia na kulinda haki za wabunge wanawake pale itakapotokea viongozi wanaume ndani ya vyama vyao wakitumia ubabe kupindua maamuzi ya wanawake wenyewe.

Vilevile ni muhimu sasa itungwe sheria mahsusi kwa ajili ya kuyalinda makundi maalumu kama la viti maalum vya wanawake Bungeni dhidi ya ubabe na ukandamizaji wa viongozi wanaume.
Kweli kabisa hii WINDOW ya viti maalum imekuja kwa lengo la kutekeleza malengo ya MILENIA.Chadema wanapaswa kuzingatia kwa kuthink big than low.Kuingilia uhuru wa wanawake ni kuwanyanyapaa
 
Hizo mahakama ziko wapi! Mahakama inashiriki kufuta kesi ya jinai kwa maagizo! Usitegemee mahakama hizo kwani zimeshindwa kusimamia katiba ya nchi.
Kama chama hakiamini taasisi zote na vyombo vya dola basi hicho sio chama cha siasa bali ni kikundi kinachojiandaa na uasi.
 
Acheni kufokafoka wakalitumikie taifa! Katibu mkuu john mnyika anafoka sana! Anatoa maneno machafu kwa wanawake utafikiri siyo katibu mkuu! Kama ameona kuna dosari vikao vya ndani vipo na kikao kingetoka na maamuzi ona sasa kashafoka ndoo wanaenda kukaa kuwajadili hii imekaa vibaya sana nafasi hiyo hatoshi
 
Mtarufuku haupo ndani ya vyama vya upinzani tuu bali pia kwa chama tawala na jamii kwa ujumla.

If we really want to emancipate women in our society then itabidi kupanua wigo badala ya kujikita kwenye angle moja for self political interests.

Hili suala la akina Mdee kuteuliwa kuwa wabunge wa viti maalum whether or not limeidhinishwa na chama chao is just another example of strenghening mfume dume in our society.

Miaka ya nyuma tumejadili sana hapa jinsi viti maalum vinavyotumika ku-promote gender imbalance na hii ya kina Mdee is just another example.
Mkuu karibu sana. Muda mrefu sijaona post zako.
 
Viti Maalum vya wabunge Wanawake vimewekwa ili kulipa fursa kundi hilo la jamii kwenye ulingo wa siasa.

Mantiki yake ni kuwa, katika vurugumechi za siasa, wanaume huwazidi wanawake kutokana na sababu mbalimbali za kijamii na kitamaduni.

Katika kuheshimu misingi ya malengo hayo ya kuwa na viti maalum, ni muhimu maamuzi juu ya viti maalum yakaachwa mikononi mwa wanawake wenyewe.

Haitakuwa sahihi, kikao cha wanaume kiamue kupinga maamuzi ya wanawake kuhusu nafasi za Ubunge wa wanawake.

Ni matumaini ya wajali usawa wa kijinsia kuwa Spika wa Bunge atazingatia na kulinda haki za wabunge wanawake pale itakapotokea viongozi wanaume ndani ya vyama vyao wakitumia ubabe kupindua maamuzi ya wanawake wenyewe.

Vilevile ni muhimu sasa itungwe sheria mahsusi kwa ajili ya kuyalinda makundi maalumu kama la viti maalum vya wanawake Bungeni dhidi ya ubabe na ukandamizaji wa viongozi wanaume.
upinzani nchi hii hautakufa kwa sababu hakuna chadema. wala chadema haitakufa kwa kufukuza watu 19. upinzani hauwezi kufa kamwe kwa sababu ccm haina mawazo ya kuongoza nchi. ni hajuza. kizee. haina uwezo wa kufanya lolote mbali na kutumia maguvu na hujuma.
 
upinzani nchi hii hautakufa kwa sababu hakuna chadema. wala chadema haitakufa kwa kufukuza watu 19. upinzani hauwezi kufa kamwe kwa sababu ccm haina mawazo ya kuongoza nchi. ni hajuza. kizee. haina uwezo wa kufanya lolote mbali na kutumia maguvu na hujuma.
Upinzani hauwezi kufa. Hakuna nchi inayokosa watu abnormal. Hiyo ni kawaida.
 
Siungi mkono hoja yako.

Dhana ya viti maalumu kwa zama zile ilikuwa na tija hasa kulingana na changamoto kubwa sana za kijamii na kitamaduni lakini kwa sasa hapana hata kidogo.

Ningekuwa kwenye mamlaka ningefuta vyeo vyote hivyo vya viti maalumu maana havina tija kwa taifa asilimia kubwa wanaoenda bungeni kupitia vyeo hivyo hasa kwa chama changu cha Mapinduzi ni zaidi ya huo umaalumu .

Zama za kubebana bebana zishapitwa .

Kidumu chama tawala.
 
Siungi mkono hoja yako.

Dhana ya viti maalumu kwa zama zile ilikuwa na tija hasa kulingana na changamoto kubwa sana za kijamii na kitamaduni lakini kwa sasa hapana hata kidogo.

Ningekuwa kwenye mamlaka ningefuta vyeo vyote hivyo vya viti maalumu maana havina tija kwa taifa asilimia kubwa wanaoenda bungeni kupitia vyeo hivyo hasa kwa chama changu cha Mapinduzi ni zaidi ya huo umaalumu .

Zama za kubebana bebana zishapitwa .

Kidumu chama tawala.
 
Back
Top Bottom