Mkimuyangu
JF-Expert Member
- Oct 5, 2022
- 1,054
- 1,947
Subiria tu waenderea kukaza, term hii ukombozi utaanzia makanisaniBasi ingia barabarani tukuone kama kweli ww mkereketwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiria tu waenderea kukaza, term hii ukombozi utaanzia makanisaniBasi ingia barabarani tukuone kama kweli ww mkereketwa
Bora yako wewe una angalia kula yako ila kuna wapumbavu humu wanapotosha uma kwa kutaka ugal wao uwe mkubwaMtajua wenyew,kwa ninavyojua bandari apewe mwarabu au ikibak mikononi mwetu hakuna kitakacho badirika kwa mtz kama mimi
Kwasababu ninyi ni wabaguzi na lengo len kubwa ni kugawa nchii hii wapumbavu wakubwaSubiria tu waenderea kukaza, term hii ukombozi utaanzia makanisani
Sasa kama mali zinagawiwa bure kwa wajomba unategemea nini?Kwasababu ninyi ni wabaguzi na lengo len kubwa ni kugawa nchii hii wapumbavu wakubwa
Kawafufue umeacha kuwalilia mababu zako huko kwenu walio kufanya wewe uzaliwe uko unalialia kwa watu ambao huwajuiNaamini Magufuri na Mkapa wangekuwepo, wangeungana na Chadema kuupinga huu mkataba
Kapewa mjomba ako gani uyo mbona sisi hatumjui?Sasa kama mali zinagawiwa bure kwa wajomba unategemea nini?
Ukimaliza kubishana hapa unaenda kuchukua kibunda chako LumumbaIfike mahali mnaojifanya mna uchungu wa nchi hii na kuchukulia maamuzi kwa kusema watz wote wamechoka semeni kwanafasi yenu..
Leo hii kuna agenda zinaendelea chini kwa chin kuwa watu wanapanga kufanya vurugu kuandamana kisa bandari na wameeanza kuwadanganya baadhi ya watz kuwa nchi imeuzwa hivi hii ni akili ya mtu wa kawaida
Dhumuni kubwa la hawa watu Lissu, Slaa, Bagonza na wengine ni kuona Tanzania hii watu wameeandamana wapo barabarani kutetea haki zao haki haipatikani hivi.
Lengo la watu wengi ni kuondoa CCM madarakani kuna njia sahihi ya kuondoa lakini sio kuwashawishi watu waingie barabarani hii haipo sawa hata kidogo
Kinachonishangaza zaid viongoz wa dini ambao wao pia huwa wana hamasisha amani ilindwe Leo hao wanaonekana wachochozi wakubwa wa kuvuruga amani kwanini ninyi viongozi wa dini msiombe kukutana na Rais mkaonge na mkaomba kukutana na hao wanapinga mkataba wa bandari mkawasikiliza ndipo mkaleta amani au kutatua sitofahamu.
Kila pande katika huu mgogoro upo sahihi lakini kuna namna mzuri ya kuonyana na kukosona pasipo kuvunja sheria wala kuharibu aman lakini ninyi viongozi wa dini ndio wachochezi inashangaza sana.
Kumbekeni hapa watakao hathirika ni watz masikini sisi hambao hatuna visa wala.pasport wala sehemu ya kukimbilia Leo hii tz inapokea wakimbizi kwa muda mrefu sna je mmeshawai jiuliza kesho ninyi mnakuwa waakimbizi mnakimbilia wapi?
Je, waathirika wa vitu hivyo? Wakinan? Leo wakina tundu lissu wanapata sapoti kubwa kutoka kwa mzungu na wanalipwa ni sababu mwarabu amekuwa akitaka kuwekeza sehemu nyeti sana au kitovu cha uchumi wa nchi mzungu anafitinisha na sisi Watanzania tunajaa.
Kesho sis tunagombana wao wana amani mliangalie hili kwa umakini mtz mwenye Uwezo wakufikir afikirie ipo njia sahihi lakini sio kuharibu aman
Umepaniki sana. Naona unahisi kama hao Chadema wanataka kukunyang'anya pande la nyama mdomoni.Kama sio chadema nani? Kama mnapinga sheria au mikataba kandamizi kwanini msitumie njia sahihi ambayo ni mzuri haito zua taharuki Kama mfanyavyo?
Ndivyo ulivyo zoea wewe mzee hata wewe ukimaliza kuongopea watu si account yako inacheka bila kuchekeshwa?Ukimaliza kubishana hapa unaenda kuchukua kibunda chako Lumumba
Aliepotosha umma kasemaje na umma?Bora yako wewe una angalia kula yako ila kuna wapumbavu humu wanapotosha uma kwa kutaka ugal wao uwe mkubwa
Muarabu wa sultani wa zanzibarKapewa mjomba ako gani uyo mbona sisi hatumjui?
Sipaniki kijinga ila mnachukiza sana watu wachache ambao mmeshikwa akili na chadema tena tundu lissu kumuona ana akili kuliko mtz yoyoteUmepaniki sana. Naona unahisi kama hao Chadema wanataka kukunyang'anya pande la nyama mdomoni.
Nchi imeuzwa na bandarAliepotosha umma kasemaje na umma?
Ushahidi??Muarabu wa sultani wa zanzibar
Waache waandamane tu wafanyakazi wanaishi maisha magumu kweli Hasa Hawa wa chini huenda ilawashtua walioko juu kuwa Hali ni ngumuIfike mahali mnaojifanya mna uchungu wa nchi hii na kuchukulia maamuzi kwa kusema watz wote wamechoka semeni kwanafasi yenu..
Leo hii kuna agenda zinaendelea chini kwa chin kuwa watu wanapanga kufanya vurugu kuandamana kisa bandari na wameeanza kuwadanganya baadhi ya watz kuwa nchi imeuzwa hivi hii ni akili ya mtu wa kawaida
Dhumuni kubwa la hawa watu Lissu, Slaa, Bagonza na wengine ni kuona Tanzania hii watu wameeandamana wapo barabarani kutetea haki zao haki haipatikani hivi.
Lengo la watu wengi ni kuondoa CCM madarakani kuna njia sahihi ya kuondoa lakini sio kuwashawishi watu waingie barabarani hii haipo sawa hata kidogo
Kinachonishangaza zaid viongoz wa dini ambao wao pia huwa wana hamasisha amani ilindwe Leo hao wanaonekana wachochozi wakubwa wa kuvuruga amani kwanini ninyi viongozi wa dini msiombe kukutana na Rais mkaonge na mkaomba kukutana na hao wanapinga mkataba wa bandari mkawasikiliza ndipo mkaleta amani au kutatua sitofahamu.
Kila pande katika huu mgogoro upo sahihi lakini kuna namna mzuri ya kuonyana na kukosona pasipo kuvunja sheria wala kuharibu aman lakini ninyi viongozi wa dini ndio wachochezi inashangaza sana.
Kumbekeni hapa watakao hathirika ni watz masikini sisi hambao hatuna visa wala.pasport wala sehemu ya kukimbilia Leo hii tz inapokea wakimbizi kwa muda mrefu sna je mmeshawai jiuliza kesho ninyi mnakuwa waakimbizi mnakimbilia wapi?
Je, waathirika wa vitu hivyo? Wakinan? Leo wakina tundu lissu wanapata sapoti kubwa kutoka kwa mzungu na wanalipwa ni sababu mwarabu amekuwa akitaka kuwekeza sehemu nyeti sana au kitovu cha uchumi wa nchi mzungu anafitinisha na sisi Watanzania tunajaa.
Kesho sis tunagombana wao wana amani mliangalie hili kwa umakini mtz mwenye Uwezo wakufikir afikirie ipo njia sahihi lakini sio kuharibu aman
Sasahivi mnaitumbua tu pesa ya mwarabu mmepangwa kuanzia Twitter, Facebook Kila Kona Hadi makanisaniNdivyo ulivyo zoea wewe mzee hata wewe ukimaliza kuongopea watu si account yako inacheka bila kuchekeshwa?
Acha kuwaza pumba mzee jenga hoja hapaSasahivi mnaitumbua tu pesa ya mwarabu mmepangwa kuanzia Twitter, Facebook Kila Kona Hadi makanisani