Mkimuyangu
JF-Expert Member
- Oct 5, 2022
- 1,054
- 1,947
Upi tena? Si bandari na maziwa yetu uwekezaji bila kikomoUshahidi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upi tena? Si bandari na maziwa yetu uwekezaji bila kikomoUshahidi??
Ili tufe tuache watoto wetu wakiwa omba omba kisa lissu?Waache waandamane tu wafanyakazi wanaishi maisha magumu kweli Hasa Hawa wa chini huenda ilawashtua walioko juu kuwa Hali ni ngumu
Weww hapo unataaluma gani?Upi tena? Si bandari na maziwa yetu uwekezaji bila kikomo
Bora yako wewe una angalia kula yako ila kuna wapumbavu humu wanapotosha uma kwa kutaka ugal wao uwe mkubwa
Ninyi mnapotosha umaWewe ambaye hupotoshi pambanua vizuri wananchi wakuelewe kuhusu huyo DP WORLD
Sio uite wengine wapumbavu huku hujipambanui kuwa tofauti na wao zaidi ni ngojera tu kama yule mwenyekiti wa Ccm wilaya ya nyamagana
Mnasik8lizwa vipi uku mnatukana?Hakuna aliyekataa uwekezaji wa huyo mwarabu haya mambo et wazungu wanaona mwarabu anapewa bandari waone wivu ni yako.
Si hao DP WORLD wapo bandari ya wazungu hapo uingereza au mwingereza sio mzungu ni mwarabu?
Adam malima mzee waryoba butiku na viongozi wa kidini nao ni chadema kama Lisu we vp?
Amani mnaivuruga wenyewe kwa kutosikiliza wenye nchi.
Elezeni faida ya uwekezaji hamsemi wenye nchi wapo sahihi kudhibiti mali yao sio vinginevyo
Sina taalumu yeyote ile, ni mzururaji kama weweWeww hapo unataaluma gani?
Bas sawa tuishie hapa kwa leoSina taalumu yeyote ile, ni mzururaji kama wewe
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Mi sihusiki kuvuruga amani na sina mpango wa kufanya maandamano yoyote, iwe ya CCM au Chadema.
Nachokijua ni kwamba , Mungu tu ndo mwenye maamuzi ya kuiondoa CCM maana kwa njia za kibinadamu zinaonekana kushindikana.
kinachonishangaza mimi hakuna raisi ata mmoja hapa TANZANIA hajawahi kusemwa vibaya,kupigwa majunguna,kuonekana m2 hovyo na kutungiwa majina ya kudhalilisha,,nakumbuka nikiwa mdogo sana,,,,ata sijaanza vidudu,kuna watu walikuwa wakimtuhumu nyerere eti alikuwa anasababisha umasikini,anauwa watu,wakimhusisha eti na kifo cha marehemu sokoine,oooh sijui alimuua marehem rais wa zanzibar karume,,,oooh sijui alikuwa dikteta mpaka baadhi ya watu wakakimbia nchi,,,lakini kwa sasa wanamsifia sana kwa bila yeye TANZANIA isifikia hapa ilipo kwa amani na,mshikamano na maendeleo{vigeugeu}..akaja Ali Hassan Mwinyi,,,akiwa madarakani walimsema vibaya sana hasa aliposema kila kitu ruksa na wakampa jina la mzee ruksa,oooh analeta ubepari{kumbuka wakati wa nyerere walimtuhumu kwa siasa zake za siasa za ujamaa!!!!!sasa unajiuliza wanataka nini hawa wagonoko?, lakini baada kuachia madaraka,,,sasa anasifika kila kona kwamba alikuwa na siasa za kistaarabu na alijenga siasa za kistaarabu{vigeugeu},akaja mkapa,,,,wakamtuhumu kwa siasa za kubinafsisha mashirika ya umma,akaja kikwete wakamwita mwizi na fisadi,akaja magufuli,wakalalamika anateka wa2 na kuwaua,anafilisi wa2,dikteta na anatawala kwa mkono wachuma,,,kwa sasa wanamkumbuka balaa wanatamani afufuke{vigeugeu}''''kwa sishangai haya yanayoendelea kwa mama samia hassan suluhu..naoma MUNGU akimaliza muda wake niwe hai nisikilizie mapambio ya hawa vigeugei!!!Ifike mahali mnaojifanya mna uchungu wa nchi hii na kuchukulia maamuzi kwa kusema watz wote wamechoka semeni kwanafasi yenu..
Leo hii kuna agenda zinaendelea chini kwa chin kuwa watu wanapanga kufanya vurugu kuandamana kisa bandari na wameeanza kuwadanganya baadhi ya watz kuwa nchi imeuzwa hivi hii ni akili ya mtu wa kawaida
Dhumuni kubwa la hawa watu Lissu, Slaa, Bagonza na wengine ni kuona Tanzania hii watu wameeandamana wapo barabarani kutetea haki zao haki haipatikani hivi.
Lengo la watu wengi ni kuondoa CCM madarakani kuna njia sahihi ya kuondoa lakini sio kuwashawishi watu waingie barabarani hii haipo sawa hata kidogo
Kinachonishangaza zaid viongoz wa dini ambao wao pia huwa wana hamasisha amani ilindwe Leo hao wanaonekana wachochozi wakubwa wa kuvuruga amani kwanini ninyi viongozi wa dini msiombe kukutana na Rais mkaonge na mkaomba kukutana na hao wanapinga mkataba wa bandari mkawasikiliza ndipo mkaleta amani au kutatua sitofahamu.
Kila pande katika huu mgogoro upo sahihi lakini kuna namna mzuri ya kuonyana na kukosona pasipo kuvunja sheria wala kuharibu aman lakini ninyi viongozi wa dini ndio wachochezi inashangaza sana.
Kumbekeni hapa watakao hathirika ni watz masikini sisi hambao hatuna visa wala.pasport wala sehemu ya kukimbilia Leo hii tz inapokea wakimbizi kwa muda mrefu sna je mmeshawai jiuliza kesho ninyi mnakuwa waakimbizi mnakimbilia wapi?
Je, waathirika wa vitu hivyo? Wakinan? Leo wakina tundu lissu wanapata sapoti kubwa kutoka kwa mzungu na wanalipwa ni sababu mwarabu amekuwa akitaka kuwekeza sehemu nyeti sana au kitovu cha uchumi wa nchi mzungu anafitinisha na sisi Watanzania tunajaa.
Kesho sis tunagombana wao wana amani mliangalie hili kwa umakini mtz mwenye Uwezo wakufikir afikirie ipo njia sahihi lakini sio kuharibu aman
Mkuu sikiliza pande zote bila jazba na bila kuegemea upande.Bora yako wewe una angalia kula yako ila kuna wapumbavu humu wanapotosha uma kwa kutaka ugal wao uwe mkubwa
Andamaneni nchi hiwe kama sudani leo kenya wanalia na kusaga meno yote hiyo maandamanoHakuna njia sahihi ya kuiondoa CCM .
Serikali iwasikize mala ngapi leo kesi hiko mahakamani,viongozi wa dini walisha pewa nafasi yao unataka iwasikize vipi?Na huu ndiyo ukweli mchungu kwenu. Majivuno, ujuaji, kiburi, dharau, umungu mtu, ukaidi, ubishi, ubabe, ubinafsi, nk. Vimewajaa viongozi wengi waliopewa dhamana ya kuwaongoza wengine.
Kama wananchi waliowaweka madarakani wanakataa jambo fulani lisifanyike kwa manufaa ya nchi, kwa nini msiwasikilize?
Siwezi andamana kwasababu sioni sababu yoyote ya kufanya hivyo.Andamaneni nchi hiwe kama sudani leo kenya wanalia na kusaga meno yote hiyo maandamano