Hahahaaa kwamba safari ilikua fupi mno, nimekuelewa mkuu kwakweli ulikula rahaKibosho1 angalia ndege inayotembea ardhini The one and Only in Tanzania.
Hakuna luxury yeyote ya kukuta Tahmeed hii nchi,hiyo picha yenye tv kila seat
nilipanda siku 1 aisee nilikua natoka Dar to Nairobi ila nilihisi nimetoka Dar to Kibaha...
Ndio wenyewe hao mdauView attachment 1782099View attachment 1782100View attachment 1782101View attachment 1782102View attachment 1782103View attachment 1782104View attachment 1782105
Dah aisee Kama ndo hivi basi hawa Tahmeed ni nyoko [emoji1544]
BUS VIP za tahmeed booking unafanya 1 or 2 weeks before safari,yani ukienda kukata ticket leo J5Hahahaaa kwamba safari ilikua fupi mno, nimekuelewa mkuu kwakweli ulikula raha
Sawasawa mkuu hakika nimewakubali, nikipata trip ya north ntaenda lumumba fastaNdio wenyewe hao mdau
Panda ile scania imeandikwa dar nairobi utazikuta izo siti
Panda tena ile zongtong climber imeandikwa dar nairobi ila alikuja kuifupishia ruti akawa anaishia arusha utazikuta izo siti....
Iyo ndio ndege pekee ya ardhini anaemfuatia kidogo sana ni shabiby nae alitoa moja 2 by 1 kila siti ina tv ila huko tahmeed zipo za kutosha
Kwa mtazamo wangu hata semi luxury hatuna. Yaani hao LATRA waondoe kabisa neno la luxury kwenye madaraja ya mabasi. Labda tuwe na semi ordinary, ordinary na super ordinary [emoji3] [emoji3].Yote ni semi luxury na ordinary hakuna luxury Tanzania
Aisee ibarikiwe JFBUS VIP za tahmeed booking unafanya 1 or 2 weeks before bus,yani ukienda kukata ticket leo J5
wambie unasafiri next week J5 au week ile mbele after next week,ndio utalipata hilo bus tofauti na
hapo ni bus ambalo utakaa Tanzania miaka yote na usifanikiwe lipata au kulipanda (hii siri nimeijua juzi tu hapa)
nimeshalisaka sana ila silipati naishia kwenye semi luxury zao Luxury kila nikiliwinda silipati,ndio nikauliza wahusika
nikaambiwa Bus zao VIP kuzipata ni una book hata 2 weeks before,ikifika december ndio bus limejaa Hulipati labda
ukate ticket ya January au Feb,ni bus lenye wateja wanaojitambua na wanaohitaji safari tulivu,Tahmeed heshima wapewe.
π€£ πordinary na super ordinary.
Classic sana iyo na choo na sehemu ya kutengenezea chai nyuma kuleKuna hili basi jipya linaitwa Kureed Hunters, aina ya Scania Irizar wanasema ni luxury. DAR - MWANZA, Nauli ni Tshs. 55,000/=
Mkuu regulation lazima iwepo, ukiwaruhusu wapange bei wenyewe itakula kwetu. Akili za wafanyabiashara zipo juu sanaShida nyingine ambayo nahisi inapunguza uwekezaji kwenye luxury bus ni masharti magumu ya viwango vya nauli toka Sumatra/latra,ilitakiwa basi laxury wasiweke we limit ya Kiwango cha nauli wanachoweza kumchaji abiria . Pia limit ya urefu wa mabasi nayo ni kero,,basi zetu ni fupi sana kiasi kwamba kwa nauli za serikali zilizopangwa inakua msiba kwa mwekezaji kwa kutoweza kupata siti za kutosha.
Mwenye utitiri? ππJana nimepanda basi moja na kuku.
π€£π€£π€£Mwenye utitiri? ππ
Iyo shabiby itakuwepo tu cause haina hata miaka miwili huko road ila tahmeed ni vip class isiyoimbwa midomoni mwa abiria wengi nchini na kuna wengine hata hawazijui......Sawasawa mkuu hakika nimewakubali, nikipata trip ya north ntaenda lumumba fasta
Ya shabibi naikumbuka iliitwa sharobaro sijui Kama bado ipo asee
Ina zaidi ya two years mkuu mimi nliiona 2016Iyo shabiby itakuwepo tu cause haina hata miaka miwili huko road ila tahmeed ni vip class isiyoimbwa midomoni mwa abiria wengi nchini na kuna wengine hata hawazijui......
Gari za Babati mbulu hizi babeki
Labda imefungiwa kabatini πtahmeed ni vip class isiyoimbwa midomoni mwa abiria wengi nchini na kuna wengine hata hawazijui......
Maliwato ni anasa?Luxury bus ni basi lenye huduma za anasa yaani luxury. Upya wa basi sio suala la lazima. Not necessary!
Huduma za anasa ni kama vile; Wi-Fi, kiyoyozi (AC), chakula na vinywaji, runinga, kitanda cha kulala, maliwato n.k.
Hakuna luxury buses Tanzania, zipo semi luxury ambazo hupakia idadi ndogo ya abiria kwenye 2 by 2 seatsView attachment 1780996
1. Je ni hizo huduma hapo [emoji3516] au ni upya wa basi?
2. Basi la zamani lenye vigezo hivyo huu au basi lolote jipya?
Ikitokea huduma tajwa hapo ikakosekana kwenye gari na kiwango cha nauli umelipia luxury abiria anasaidiwaje au achukue hatua gani?.
SUMATRA wanatumia kigezo gani kugawa haya madaraja?
Wajuvi tusaidiane hapo[emoji3516]
Ila nachomkubali shabiby ana basi nyingi zenye choo ndani......na ni muuzaji mzuri tu akishalitumia miaka kadhaa na kulichokaIna zaidi ya two years mkuu mimi nliiona 2016