Albaab
JF-Expert Member
- Jun 6, 2015
- 1,555
- 2,216
Hahahaaa kwamba safari ilikua fupi mno, nimekuelewa mkuu kwakweli ulikula rahaKibosho1 angalia ndege inayotembea ardhini The one and Only in Tanzania.
Hakuna luxury yeyote ya kukuta Tahmeed hii nchi,hiyo picha yenye tv kila seat
nilipanda siku 1 aisee nilikua natoka Dar to Nairobi ila nilihisi nimetoka Dar to Kibaha...